Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Si kweli ,ana uwezo mzuri wa kufikiria kuchambua MamboAna pepo la utambuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli ,ana uwezo mzuri wa kufikiria kuchambua MamboAna pepo la utambuzi.
Uzuri wa if, ina tunza kumbukumbu, unaonaje ukiweka link ya bandiko la huyo member lililocopiwa?Ila kuna watu wanakopi thread za memba wengine na kuanza kujisifia.
Unaweza kutuwekea links ya hilo bandiko lako la 2016 na bandiko la huyo jamaa unalosema alikopi 2017 ?.Kuna ambalo niliandika 2016 jamaa akakopi 2017 halafu anaanza kujisifia.
Watu bhana.
Acha mbwembwe we jamaa unakopi thread za watu unajifanya umetabiri.Unaweza kutuwekea links ya hilo bandiko lako la 2016 na bandiko la huyo jamaa unalosema alikopi 2017 ?.
P
Maono.....maono maono ....kama LemaUnaweza kutuwekea links ya hilo bandiko lako la 2016 na bandiko la huyo jamaa unalosema alikopi 2017 ?.
P
Onyesha ushahidi mkuu, tofouti na hapo yatakuwa majungu tu,Acha mbwembwe we jamaa unakopi thread za watu unajifanya umetabiri.
Sio mara moja ni mara mbili umefanya hivyo.
Nimekaa kimya sio kwamba nashindwa kufanya hicho unachosema bali lengo langu ni kumfahamisha tu kuwa nafahamu anachokifanya na sio kushusha heshima ya mleta mada.Onyesha ushahidi mkuu, tofouti na hapo yatakuwa majungu tu,
Na utakuwa miongoni wanaotaka kushusha heshima ya JF
Nitakushukuru sana kama ukiniwekea thread yangu yoyote ambayo nimecopy nikajifanya nimetabiri.Acha mbwembwe we jamaa unakopi thread za watu unajifanya umetabiri.
Sio mara moja ni mara mbili umefanya hivyo.
Mayalla fanya na wewe ufungue kanisa lako la upako upige pesa, una maono sana wewe mtu wa Mungu.Nitakushukuru sana kama ukiniwekea thread yangu yoyote ambayo nimecopy nikajifanya nimetabiri.
P
Moja ya sifa kuu za JF ni truthfulness and transparency. Kanuni ya haki ni, he who alleges must prove. Kunituhumu mimi kufanya plagiarism ni tuhuma very serious kwangu. Hivyo nakuomba Kwa hisani yako unitendee haki kwa kuleta links, ila sikulazimishi, na ikitokea usilete links zozote kwa kisingizio chochote, usijali, nitaelewa.Nimekaa kimya sio kwamba nashindwa kufanya hicho unachosema bali lengo langu ni kumfahamisha tu kuwa nafahamu anachokifanya na sio kushusha heshima ya mleta mada.
Nilichoandika hapa atakua amenielewa. Sitaenda zaidi ya hapa. I am done.
SawasawaPascal Mayalla yule jamaa ni kichwa sana, sijui ni nini kilimtokea. Ni kati ya watu wachache ninao waheshimu kwa namna ya pekee humu JF.
Ana maono sana.
Ana mambo ya kipuuzi tangu alipopewa hela kwenye ile project iliyoshindea ya yakuiua chademaNi kweli paschal ni mjuzi, tatizo kuna kipindi aliacha kuwa objective akajikita kwenye ukada na ushabiki zaidi ili aonekane kwa akina fulani
Mkuu Flano , vinasaba vya DNA ya security conscious ninavyo, na kuna hoja recruitment ya huko ni kupeleka watoto wao, sasa sisi tumezaliwa watoto 8, jee watoto wote 8 watakuwa recruited?.Mayalla fanya na wewe ufungue kanisa lako la upako upige pesa, una maono sana wewe mtu wa Mungu.
Ile tabiri yako ya 2014 kuhusu Magufuli ilinifanya nikuheshimu sana ingawa najua kabisa mtoto wa nyoka hawezi kua mjusi.
Baba nyoka, mama nyoka halafu mtoto anakataa katakata kua DNA yake inaonyesha yeye ni mjusi na haina vinasaba vyovyote vya nyoka.
Naona mnagombea kujisifia upumbavu sasa huo utabili ulikuwa unaonyesa huyu zuzu ni bora kuliko JPM matokeo yake nchi inazama , rais zuzu anakuambia bei ya mafuta tz ni rahisi kuliko USA hivyo sisi tupo vizuri kimaisha kuliko wamarekani ? Very primitive president....totally shit hole thingsAcha mbwembwe we jamaa unakopi thread za watu unajifanya umetabiri.
Sio mara moja ni mara mbili umefanya hivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu Flano , vinasaba vya DNA ya security conscious ninavyo, na kuna hoja recruitment ya huko ni kupeleka watoto wao, sasa sisi tumezaliwa watoto 8, jee watoto wote 8 watakuwa recruited?.
Ningekuwa huko ningeweza kweli kuibua hoja kama hili ?TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Au ushauri kama huu Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?, ningeuleta humu JF?.
Mimi ni Mwandishi tuu wa habari wa kawaida, ila pia nakiri, kudhaniwa kupo, na kunasaidia saidia kupenya sehemu sehemu kama hizi
Wale 'jamaa zetu' wanakupisha wakiamini ni mwenzao!.
Ukifika mahali ukakutana na foleni ya ajabu, na mbele kuna traffic, unatanua hadi kwa frafiki na kumsalimia jambo, hakuulizi kitu, unajipitia. Hivyo inasaidia saidia!. Hata katika mambo yetu yalee!, ni mteremko...!
P
Asante Sana kwa ushauri, nitauzingatia, ila pia na wewe Mkuu Flano , you have the powers fulani nimezinote!.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa mkuu lakini kila nikijitahidi kuidanganya nafsi yangu kwa kuiaminisha kua wewe ni mjusi tu uliozaliwa na nyoka inakataa kabisa.
Anyway mkuu fuata ushauri wangu wa kufungua kanisa la maono ya upako hakika lazima utajilaumu sana kua siku zote ulikua wapi mpaka ukachelewa kufungua kituo cha huduma za kiroho kwa hawa dada zetu wanaoshinda makanisani kusubiria bwana awatendee miujiza katika maisha yao.
Mkuu Stroke aka statesman, nitakushukuru sana kama utatuwekea links ya hilo bandiko lako original la 2016 na plagiarized copy ya 2017, au supposed umelisahau jina, then hata ukituwekea links tuu ya bandiko lako lolote... nitakushukuru!.Kuna ambalo niliandika 2016 jamaa akakopi 2017 halafu anaanza kujisifia.
Watu bhana.
Mkuu Stroke aka statesman, nitakushukuru sana kama utatuwekea links ya hilo bandiko lako original la 2016 na plagiarized copy ya 2017, au supposed umelisahau jina, then hata ukituwekea links tuu ya bandiko lako lolote... nitakushukuru!.
P