Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020

Pasco hivi uliandika lolote kabla huyu man of God ahajapatwa na madhira haya?
Soma tuu tarehe ya bandiko hili
Ila pia lazima uwe na angalau uwezo wa kusoma in between the lines, ikitokea hauna, then mimi nitakuinbweeniini for you.
P
 

 
P
Huwa nakusoma kwa utuvu sana.. na kukuelewa nyuzi zako ngoja niisome sasa
 
Kama una maono kwa nini ujaona na ....
 
Hata mimi ninamkubali sasa!
 

Usitake kumpa sifa hizo wakati pia ana bandiko akisema baada ya Magufuli Makonda atatufaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…