Juuchini
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 1,644
- 2,300
Ok sawaNi katika mahojiano yaliyorushwa leo mchana na chombo hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok sawaNi katika mahojiano yaliyorushwa leo mchana na chombo hicho
Deuch WelleDW ndio nn mkuu
Tatizo tamaaKama Pascal aliyoyaongea yana ukweli Bashiru alikua na future nzuri.
Ndio matunda ya uhuru wa kutoa habariPaschal ameongea kwa weled mkubwa Sana leo
Nadhan baada ya kutoweka kwa hayat amepata ujasir wa kuongea haya vingnevyo asingeweza
Anamaanisha Magufuli yuleyule aliyekua Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania?Ni maono ya ndugu yetu Pascal Mayalla kwa ndugu Bashiru. Na ana amini Bashiru alikua chaguo sahihi kwa nchi ila alichukiwa na wengi ndani ya CCM sababu alitoka from nowhere, ila alikua kipenzi cha Mwendazake
Huyo mtu si wa kumwamini kama wapiga debe wa stendiPascally huyu huyu alidai makonda ndio raia wa 2025,njaa mbaya sana
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa duniani
Kumbe nawe ulimskia?Paschal Mayalla kaanza ramli zake. Does he have solid evidence? Au ndo kaamua atoke na hiyo baada ya kuwa kimya kitambo?
Anafahamika kwa jina la Jiwe piaAnamaanisha Magufuli yuleyule aliyekua Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Yule yule!?
DuhLengo la Paschal ni kuteuliwa idara ya habari maelezo wana hana jipya
There's always next time... Pascal can somersault and make unexpected come back!!!Mayalla aendelee tu na kuhoji watu kwenye maonyesho mbalimbali huu utawala wa mwendazake naye ulimfanya aonekane asiyefaa kama ambavyo amesema Bashiru hatainuka tena ndivyo ilivyo kwake pia ndiyo kaisha hivyo