Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana Ufipa wanakuja kuokota Lumumba wagombea maana hawana maandalizi."Aliandaliwa kuwa Rais", inazidi kuthibitika sio wananchi wanaoamua nani awe Rais wa hii nchi, ni kikundi kidogo cha watu ndio kinatuchagulia Rais wamtakaye.
Watanzania tunahitaji Katiba Mpya sasa kuliko wakati mwingine wowote.
Naweza kupata wapi alichoongea leo?Paschal ameongea kwa weled mkubwa Sana leo
Nadhan baada ya kutoweka kwa hayat amepata ujasir wa kuongea haya vingnevyo asingeweza
Hii somersault ndiyo sambasoti ha ha kwa kiswahiliThere's always next time... Pascal can somersault and make unexpected come back!!!
Mr. Njaa zimefyatukaMwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa Sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa akimwandaa Dr Bashiru kuwa Rais 2025.
Mayala amedai Dr Bashiru aliyeibukia kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya kuhakiki Mali za chama hicho alichukuwa mno kutokana na style ya uongozi.
Amesema amekinyoosha mno chama hadi kupitiliza na kusababisha kuchukiwa mno kuliko Katibu Mkuu yeyote ktk Historia ya CCM. Pia amedai Dr Bashiru no mjamaa mno au Mnyerere na Marehemu Magufuli alimkubali na kumpenda Sana na alipanga kumuacha Urais 2025.
Mayala amedai pia haoni njia ya Bashiru kufufuka tena kisiasa na ndiyo hivyo Mama Samia Suluhu ameshampoteza na Wana CCM wamefurahi mno.
Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.
Source: Radio DW Swahili, Leo mchana saa Saba, 01/04/2021.
[emoji3]kuna majira na nyakati vyote vinatumia muda.. Na muda ndio game changer mkuu... TumuombeeHii somersault ndiyo sambasoti ha ha kwa kiswahili
Basi ngoja tuone kama atainuliwa this tym
Sasa mwandishi amekosea kuunganisha na mabanoDeuch Welle
Wewe unadhani Magufuli asingeweza kumuandaa Mtu peke yake? Yule alithibiti CCM, Bunge, Baraza la Mawaziri, Mahakama na Deep state au Mhimili uliojichimbia zaidi."Aliandaliwa kuwa Rais", inazidi kuthibitika sio wananchi wanaoamua nani awe Rais wa hii nchi, ni kikundi kidogo cha watu ndio kinatuchagulia Rais wamtakaye.
Watanzania tunahitaji Katiba Mpya sasa kuliko wakati mwingine wowote.
Dochi VeleDW ndio nn mkuu
Hii somersault ndiyo sambasoti ha ha kwa kiswahili
Basi ngoja tuone kama atainuliwa this tym
Ongeza nyama pls.. uzuri kwny nini?Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.
Akiwa humu anaziponda Media za Mabeberu, akiwa kwenye Media za Mabeberu anawaponda Mataga, akiwa na Mataga anauponda Upinzani.Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa
Na wote tuseme AminaDr. Bashiru Ally Kakurwa...rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2025....[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2839][emoji2839][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827] !!! Mipango ya mtu mwana adamu si ya Mungu muumbaji
Ujamaa mamboleo wa ccmWatu wanajua tafsiri ya Mjamaa au ?
Au Maana ya Mjamaa ni kulimbikiza mali kwa wajamaa wachache (CCM) na kuacha wengine wasio na vyama na wasio CCM kama watazamaji ?