Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Nakubaliana na wewe, njaa zinamsumbua.Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa duniani
Mpiga pambio mashuhuri yule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe, njaa zinamsumbua.Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa duniani
SureNakubaliana na wewe ,, njaa zinamsumbua.
Mpiga pambio mashuhuri yule.
Hata huko hapati! Mwenyekiti atamkataMayalla yuko sawa asilimia 100. Huyo ndo kapotea jumla. Yeye asubiri kwenda kuomba Ubunge Jimboni kwake. He is completely finished.
Oh yes, Pascal anaweza ku-somersault au ku-loop like hydraThere's always next time... Pascal can somersault and make unexpected come back!!!
What a bunch of crap!!! Hata aibu huna - hizi Mickey Mouse stories unazo tuletea hapa umezitunga tu kutaka kufurahisha baraza.Dr. Bashiru Ally katemwa kabisaa na Mhimili wa Rais - Executive, karushwa kwenye Mhimili mwingine kwa Ndugai - Legislative. This is more than serious kwa Bashiru Ally!!!!...yaani Serikali imeamua kumrusha kuleeeee, hawamtaki kabisa kufanya nae kazi...
🤣🤣🤣🤣Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa duniani
Huku ameshapoteza umaarufu na credibility yake....Alilamba viatu vya Meko na akaambulia patupuMhhh! Paschali Mayalla ana akaunti humu kwanini akasemee huko DW?
Tulia mkuu🤣🤣🤣🤣
Yeye katoa maoni kwa kuombwa na mtangazaji.Pascal kawa kama chawa yaani mara hii kamsahau magufuli kaanza kusaka fursa kwa samia
Nimecheka kwa sauti kubwa, eti hajui anafanya nn hapa duniani.Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa duniani
Deutsche welleDeuch Welle
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] Spelling za Kijerumani zilinipiga chenga kubwa ya mwili[emoji3]Deutsche welle
Kweli mkuu siyo uongoNimecheka kwa sauti kubwa, eti hajui anafanya nn hapa duniani.
Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa duniani
Mwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa akimwandaa Dr Bashiru kuwa Rais 2025.
Mayala amedai Dr Bashiru aliyeibukia kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya kuhakiki Mali za chama hicho alichukiwa mno kutokana na style yake ya uongozi.
Amesema amekinyoosha mno chama hadi kupitiliza na kusababisha kuchukiwa mno kuliko Katibu Mkuu yeyote katika Historia ya CCM. Pia amedai Dr Bashiru ni mjamaa mno au Mnyerere na Marehemu Magufuli alimkubali na kumpenda Sana na alipanga kumuachia Urais 2025.
Mayala amedai pia haoni njia ya Bashiru kufufuka tena kisiasa na ndiyo hivyo Mama Samia Suluhu ameshampoteza na Wana CCM wamefurahi mno.
Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.
Source: Radio DW Swahili, Leo mchana saa Saba, 01/04/2021.
Alo ww ndio Mh Rais wa jamuhuli ya muungano"?!Naheshimu maoni ya Pascal na wengine napia nitaendelea kumuheshimu Dr Bashiru maana amefanya kazi kubwa ndani ya chama!
Kidumu chama cha Mapinduzi