Pascal Mayalla amchambua Dkt. Bashiru, adai aliandaliwa kuwa Rais 2025

Pascal Mayalla amchambua Dkt. Bashiru, adai aliandaliwa kuwa Rais 2025

There's always next time... Pascal can somersault and make unexpected come back!!!
Oh yes, Pascal anaweza ku-somersault au ku-loop like hydra
Dr. Bashiru Ally katemwa kabisaa na Mhimili wa Rais - Executive, karushwa kwenye Mhimili mwingine kwa Ndugai - Legislative. This is more than serious kwa Bashiru Ally!!!!...yaani Serikali imeamua kumrusha kuleeeee, hawamtaki kabisa kufanya nae kazi...
What a bunch of crap!!! Hata aibu huna - hizi Mickey Mouse stories unazo tuletea hapa umezitunga tu kutaka kufurahisha baraza.

FYI rabid hatred zenu kuhusu Dk.Bashiru hazitawafikisha popote,labda niwakumbushe kitu - leo hii tumeshuhudia standing ovation wakati Dk.Bashiru anakwenda kula kiapo Bungeni - what does that tell you? Ni wazi anakubalika kwa wana CCM ndani na nje ya Bunge pamoja na uraiani - kundi linalo mchukia Bashiru lina kuwa driven na kuogopa msimamo wake wa kiitikadi ambao hauna tofauti na JPM na Baba wa Taifa vile vile zoezi lake la kunusuru mali za CCM zilizo kuwa zimeporwa na kumilikishwa na mafisadi papa ndani ya Chama tawala hao ndio wamepania kumukomoa kwa kumjengea hoja zisizo kuwa na mantiki - akili zao zipo kwenye chaguzi za 2025 wanaona wamu-cut to size kabla ya 2025 kwa kuwa anaonekana atakuwa tishio kwenye kinyanganyilo come 2025, ukiwa na jicho la tatu utagunduwa kwamba hilo ndilo ni bone of contention mengine ni danganya toto tu.
 
Hahahahaa nyumbu anamshangaa mamba
Yaani wewe unaweza kujua faida yako hapa duniani bali pascal asiijue?

Basi kama ni hivyo, nyumbu mmejitambua sasa hamtaliwa na mamba.
Paschal hana jipya ni njaa tu inamsumbua hajui hata anafanya nini hapa duniani
 
Mchumia tumbo huyo, ajaanza tuu kujipendekeza pendekeza kwa mama?? Teuzi za jiwr zilimpitia mbali
 
Mwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa akimwandaa Dr Bashiru kuwa Rais 2025.

Mayala amedai Dr Bashiru aliyeibukia kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya kuhakiki Mali za chama hicho alichukiwa mno kutokana na style yake ya uongozi.

Amesema amekinyoosha mno chama hadi kupitiliza na kusababisha kuchukiwa mno kuliko Katibu Mkuu yeyote katika Historia ya CCM. Pia amedai Dr Bashiru ni mjamaa mno au Mnyerere na Marehemu Magufuli alimkubali na kumpenda Sana na alipanga kumuachia Urais 2025.

Mayala amedai pia haoni njia ya Bashiru kufufuka tena kisiasa na ndiyo hivyo Mama Samia Suluhu ameshampoteza na Wana CCM wamefurahi mno.

Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.

Source: Radio DW Swahili, Leo mchana saa Saba, 01/04/2021.

Huyu mwamba angalipo? Hana habari mpya zozote kuhusiana na lile genge letu pendwa la kwetu?

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom