Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #161
Tuombe uhai ya Mungu mengi. Mwezi February ungeambiwa Magufuli hatokuwepo na serikali itasukwa upya ungebisha hadi Aridhi ipasuke pwaaaaahh.Atausikia kwenye bomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe uhai ya Mungu mengi. Mwezi February ungeambiwa Magufuli hatokuwepo na serikali itasukwa upya ungebisha hadi Aridhi ipasuke pwaaaaahh.Atausikia kwenye bomba
A wise man will say something because there's something to say. A fool will say something because he has to say something.Pascally huyu huyu alidai Makonda ndio raia wa 2025, njaa mbaya sana
Mkuu Paschal Mayalla sasa mbona katika maelezo yako unapiga kona wakati Awali ulisema ni penalty. Wewe mwenyewe umeonyesha kumpenda Bashiru awe Rais wako 2025 kwa kuwa ni Mnyerere sana ni Mjamaa mzuri sana. Mwishoni una maliza kutomuunga mkono.Mwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa akimwandaa Dr Bashiru kuwa Rais 2025.
Mayala amedai Dr Bashiru aliyeibukia kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya kuhakiki Mali za chama hicho alichukiwa mno kutokana na style yake ya uongozi.
Amesema amekinyoosha mno chama hadi kupitiliza na kusababisha kuchukiwa mno kuliko Katibu Mkuu yeyote katika Historia ya CCM. Pia amedai Dr Bashiru ni mjamaa mno au Mnyerere na Marehemu Magufuli alimkubali na kumpenda Sana na alipanga kumuachia Urais 2025.
Mayala amedai pia haoni njia ya Bashiru kufufuka tena kisiasa na ndiyo hivyo Mama Samia Suluhu ameshampoteza na Wana CCM wamefurahi mno.
Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.
Source: Radio DW Swahili, Leo mchana saa Saba, 01/04/2021.
Mwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa akimwandaa Dr Bashiru kuwa Rais 2025.
Mayala amedai Dr Bashiru aliyeibukia kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya kuhakiki Mali za chama hicho alichukiwa mno kutokana na style yake ya uongozi.
Amesema amekinyoosha mno chama hadi kupitiliza na kusababisha kuchukiwa mno kuliko Katibu Mkuu yeyote katika Historia ya CCM. Pia amedai Dr Bashiru ni mjamaa mno au Mnyerere na Marehemu Magufuli alimkubali na kumpenda Sana na alipanga kumuachia Urais 2025.
Mayala amedai pia haoni njia ya Bashiru kufufuka tena kisiasa na ndiyo hivyo Mama Samia Suluhu ameshampoteza na Wana CCM wamefurahi mno.
Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.
Source: Radio DW Swahili, Leo mchana saa Saba, 01/04/2021.
Nafasi hiyo kachukua Msigwa. Namtabiria kwenda Ikulu.Lengo la Paschal ni kuteuliwa idara ya habari maelezo wana hana jipya
Hata Dr Kigwangala kaanza kutema chechePaschal ameongea kwa weled mkubwa Sana leo
Nadhan baada ya kutoweka kwa hayat amepata ujasir wa kuongea haya vingnevyo asingeweza
Anaeleweka Sana. Ni kati ya watu ambao hulamba mkate upande ule uliyowekwa siagi aka opportunist.Halafu huyu mayalla mbona huwa haeleweki. Nini kimemchanganya namna hii?
Asahau Hilo. Sana sana TISS. Like father like son.Nafasi hiyo kachukua Msigwa. Namtabiria kwenda Ikulu.
Hahaaa.Anaeleweka Sana. Ni kati ya watu ambao hulamba mkate upande ule uliyowekwa siagi aka opportunist.
OkeyNafasi hiyo kachukua Msigwa. Namtabiria kwenda Ikulu.
Alafu kakosa uteuzi, nilijua ipo siku atakumbukwa ila wapiTangu akutane ikulu na ule Mhimili uliojikita chini zaidi ya mingine akaishia kufilisika na kukataliwa kufanya kazi yoyote ya serikali kaka paskali ameathirika sana kisaikolojia na hata kiuchumi na kiafya msameheni bure tu kwasababu hajui atendalo , yaani baada ya mhimili ule kufutika duniani ndio anaamka sasa pole yake sana
Dawa za WagonjwaDW ndio nini mkuu
Pascal Samia Rais mzuri kuliko Magufuli , acha kujikomba kutafuta uteuzi. Samia is no better than any Dictator on EarthMwana JF nguli, Akihojiwa Radio DW Pascal Mayala, amemchambua Dr Bashiru. Amesema Dr Bashiru kapata ajali kubwa sana kisiasa na hatoinuka tena. Pia kadai Magufuli amiini usiamini alikuwa akimwandaa Dr Bashiru kuwa Rais 2025.
Mayala amedai Dr Bashiru aliyeibukia kuwa Katibu Mkuu wa CCM baada ya kuhakiki Mali za chama hicho alichukiwa mno kutokana na style yake ya uongozi.
Amesema amekinyoosha mno chama hadi kupitiliza na kusababisha kuchukiwa mno kuliko Katibu Mkuu yeyote katika Historia ya CCM. Pia amedai Dr Bashiru ni mjamaa mno au Mnyerere na Marehemu Magufuli alimkubali na kumpenda Sana na alipanga kumuachia Urais 2025.
Mayala amedai pia haoni njia ya Bashiru kufufuka tena kisiasa na ndiyo hivyo Mama Samia Suluhu ameshampoteza na Wana CCM wamefurahi mno.
Amesema kwa uhakika utawala wa Mama Samia Suluhu atakuwa Rais mzuri Sana kuliko Rais Magufuli.
Source: Radio DW Swahili, Leo mchana saa Saba, 01/04/2021.
Alafu kakosa uteuzi, nilijua ipo siku atakumbukwa ila wapi
ShukraniDawa za Wagonjwa
Nimewahi kumsikia Dr Mwakyembe akiutoa msemo huu BungeniA wise man will say something because there's something to say. A fool will say something because he has to say something.
aligusa pasipogusika - lazima uwe mpole kaka hamna namna.Dr Bashiru mwenyewe sikuiz kapowa Sana.
Duuuhh, hatariMarehemu alikuwa anatuandalia watu wa ajabu ajabu .. eti Makonda awe waziri mkuu, Sabaya awe waziri mambo ya ndani - kutakuwa na nchi hapo ndugu zangu.