Kada maarufu wa CCM leo amefurahia kwa bashasha zote .
Amempigia simu Paul Makonda na kumpongeza kwa kupata uteuzi wa heshima.
Mbali na hilo amefurahia CCM kupata mchapa kazi na jembe .
IDs zina nini? Hujui kuwa sisi ni binadamu?Umefahamuje hayo?
Hizi IDs hizi loh
Hapo UDOM bora wangekuwa chawa. Pale wamejaa kunguni. Ukilala tu wanaanza kazi yao hadi usingizi unapotea kabisa.Ameanza Kujikomba Na Kutafuta Connection, Chawa Ni Wengi Kama UDOM
Mayalla aligombea Ubunge awamu ya 5 iliyokuwa Dominated na Wasukuma alijua atachaguliwa then akaambulia kuitwa "Njaa"Nyinyi bado hamumjui vizuri paschal...
Sio low level hizo mnazofikiri
Sio kila anae enda kugombea..anagombea kweliMayalla aligombea Ubunge awamu ya 5 iliyokuwa Dominated na Wasukuma alijua atachaguliwa then akaambulia kuitwa "Njaa"
Kama ni kweli basi ni usukuma wake ndo umempelekea kufanya hivyo.Kada maarufu wa CCM leo amefurahia kwa bashasha zote .
Amempigia simu Paul Makonda na kumpongeza kwa kupata uteuzi wa heshima.
Mbali na hilo amefurahia CCM kupata mchapa kazi na jembe .
Bahati mbaya wengi hawamsomi between the line Pasco. Pasco haitaji kujipendekeza Serikalini.Sio kila anae enda kugombea..anagombea kweli
Kwahiyo unataka kusema Nchi hii kila Msukuma ni Usalama wa CCM?Sio kila anae enda kugombea..anagombea kweli
Kuna Lucas Mwashambwa,huyu mshamba anakesha humu kumsifia Samia lakini anapishana na teuzi masikiniPascal Mayalla ndo chawa mwenye maumivu makali kuliko wote.
Unateseka ukiwa wapi?? Ha ha ha ha na badoMayalla ni kipimo cha Uidiot wa Wasomi wa Tanzania katika kuendekeza Ukabila.
Pongezi zote hizo na kusifia sifia Msukuma mwenzake mwenye vyeti feki.
Ampeleke mchakamchaka mkewe aliyeshindwa kumtia mimba hadi kwenda kukamuliwa mbegu kama ng'ombe zikarutubishwe kwenye maabara.yani chadema itapelekwa mchakamchaka sipati picha walah
Hongera mkuuIDs zina nini? Hujui kuwa sisi ni binadamu?
Ampeleke mchakamchaka mkewe aliyeshindwa kumtia mimba hadi kwenda kukamuliwa mbegu kama ng'ombe zikarutubishwe kwenye maabara.
Viroba kuonekana baharini kwa kasi kuko njiani.Sabaya nae yuko jikoni..Ni suala la muda tu.
'kujikomba' siyo.. kiswahili Cha tabora, shinyanga,mwanzaAmeanza Kujikomba Na Kutafuta Connection, Chawa Ni Wengi Kama UDOM