Pre GE2025 Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani kuna Mwakilishi officially ?!!! Ukizingatia humu wengi ni anonymous....

Anyway mtu unaweza ukawa self appointed; na yeye kama anapenda kuonyesha domicile yake binafsi sioni shida na nadhani mara nyingi huwa hasemi Pascal mwakilishi wa JF (Na kama anasema huenda uongozi umemtuma kuchukua news) ila huwa anasema Pascal wa JF..., huenda anatofautisha na yule Pascal wa FB au Kijiweni....

Ni hayo tu.., ila huu muda tungetumia kupinga alichosema kama hakifai na sio kumu attack binafsi hence kujaribu kumziba mdomo (Sisi tunaogombania Uhuru / Demokrasia huenda ndio madikteta wa kutupwa)
 
Pascal Mayalla ni verified user
 
Maxence Melo tunaomba hili lizingatiwe. Huyu jamaa hawezi kuwa badala yetu.
Jamii Forums ina badala yenu ? JF ina Muwakilishi Officially ? Hata founder akisema kitu haimaanishi kinakubalika kwa wote ? Je ni kosa kuwa self appointed, Na kusema Fulani wa JF ni sawa ni kusema ninawakilisha watu wa JF, Au ukisema kwamba wewe ni Rais wa Mtaani kwenu does it mean hao watu walikuchagua ?

Nadhani watu tunatoka kwenye point za maana ingawa mimi nimeamua nitoke kidogo sababu nimeanza kuona tatizo la kuzibana midomo au personal attack sababu tu mtu haukubaliani na anachosema....

I might disapprove of what he says, but I will defend to the death for his right to say it.

Alivyomuuliza JPM kuna watu walimsifia kwa kuwawakilisha vyema (leo hii huenda kasema msioyakubali, hivyo mnamshukia kama Mwewe); Achana na Pascal hata Samia anachokiongea does not necessarily mean ni watanzania hata awapo kwenye hafla ya wawakilishi wa Tanzania....
 
Unaandika mengi bila kuwa na point. Siyo mwakilishi wa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…