Pre GE2025 Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

Pre GE2025 Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwanachama mwenzetu akipata nafasi ya kutuwakilisha kwenye matukio makubwa na akipata nafasi ya kuchangia chochote ni vyema tukampongeza kwanza kwa ujasiri wa kujiweka public mbele ya kamera na watu wote hii si mara ya kwanza Paskal kujitokeza na kuuliza maswali magumu.

Haya maswali yake mara nyingi yamesababisha watu kulipukwa na moyo. Aliwahi muuliza swali JPM na ni hakika mpaka JPM anakufa hakuna mtu jasiri aliyewahi muuliza swali gumu na wengi wao walimpongeza na kumpa sifa...

Ila leo kisa kaulizwa Lissu, basi waliokuwa hawakupenda ule ushauri wa Paskali wamekuja juu zaidi ya Lissu aliyelengwa na lile swali..je ni wangapi wanaweza kujitokeza na kutaja id fake zao mbele ya kamera.....

wengi ni mahodari hapa kwenye vidole ujasiri mbele ya kamera au maandamano zero...

Muwache paskal atambe na ajinasibu na kujimwambafai na jukwaa lake pendwa mimi nimekubali kuwakilishwa....

Mnakataa udikteta kumbe baadhi yenu ni mqdokteta...paskal hongera na jf hongera kwa kutoa member smart na bright kutuwakilisha...

Paskal endelea na misumari ila mradi usivunje sheria ukaitwa kamati ya maadili kwa mara nyingine ...

Lissu ni nani asiulizwe? Tena ushauri mzuri tu apitie jukwaani kusoma hamuoni hata hayo mawazo yenu Lissu anaweza yasoma na kwenda kuyafanyia kazi!
Asante sana Mkuu Kipara, kipara kipya .
P
 
Wazee kama Hawa wanamchango mdogo Kwa taifa!!
Huyu anasahausahau sana kwani hajui walishakaa na kuyaongea lkn ccm hawawezi uchaguzi huru na hakika?
Hawa wamezoea uchaguzi wa wizi na dhulma na wanajua bilahivyo watapoteza kula yao
 
Mwanachama mwenzetu akipata nafasi ya kutuwakilisha kwenye matukio makubwa na akipata nafasi ya kuchangia chochote ni vyema tukampongeza kwanza kwa ujasiri wa kujiweka public mbele ya kamera na watu wote hii si mara ya kwanza Paskal kujitokeza na kuuliza maswali magumu.

Haya maswali yake mara nyingi yamesababisha watu kulipukwa na moyo. Aliwahi muuliza swali JPM na ni hakika mpaka JPM anakufa hakuna mtu jasiri aliyewahi muuliza swali gumu na wengi wao walimpongeza na kumpa sifa...

Ila leo kisa kaulizwa Lissu, basi waliokuwa hawakupenda ule ushauri wa Paskali wamekuja juu zaidi ya Lissu aliyelengwa na lile swali..je ni wangapi wanaweza kujitokeza na kutaja id fake zao mbele ya kamera.....

wengi ni mahodari hapa kwenye vidole ujasiri mbele ya kamera au maandamano zero...

Muwache paskal atambe na ajinasibu na kujimwambafai na jukwaa lake pendwa mimi nimekubali kuwakilishwa....

Mnakataa udikteta kumbe baadhi yenu ni mqdokteta...paskal hongera na jf hongera kwa kutoa member smart na bright kutuwakilisha...

Paskal endelea na misumari ila mradi usivunje sheria ukaitwa kamati ya maadili kwa mara nyingine ...

Lissu ni nani asiulizwe? Tena ushauri mzuri tu apitie jukwaani kusoma hamuoni hata hayo mawazo yenu Lissu anaweza yasoma na kwenda kuyafanyia kazi!
Hajatuwakilisha yeye katutaja tuu atuwakilishe kwani tulimtuma akaulize hivyo vihoja? Nani asojua wameshakaa mara nyingi bila mafanikio? Majitu yaliyozoea dhulma ningumu kuacha hata wakoloni walitenda dhulma lkn waliona kuwa nihaki yao kuwafanya babuzetu slaves!! Siyo kilakitu hupatikana Kwa maongezi ndiyomana maandamano nihaki kikatiba mtu kasoma be Sheria lkn hamna kitu kichwani kisa kutafuta teuzi
 
Hajatuwakilisha yeye katutaja tuu atuwakilishe kwani tulimtuma akaulize hivyo vihoja? Nani asojua wameshakaa mara nyingi bila mafanikio? Majitu yaliyozoea dhulma ningumu kuacha hata wakoloni walitenda dhulma lkn waliona kuwa nihaki yao kuwafanya babuzetu slaves!! Siyo kilakitu hupatikana Kwa maongezi ndiyomana maandamano nihaki kikatiba mtu kasoma be Sheria lkn hamna kitu kichwani kisa kutafuta teuzi
KIchekesho cha wanaharakati vidole maandamano haki yao lakini tarehe 23/9/2024 hawa kuonekana!
 
Nimemnafikia nani?

Nitakushukuru sana, kama utanionyesha hata bandiko langu moja tuu la kichawa chawa!.
P

Majibu ya maswali yako👆👆
 
Back
Top Bottom