Pre GE2025 Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

Pre GE2025 Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimezungumzia utopian politics, uchaguzi hauzuoliki!, huu ndio utopia wenyewe!
Wewe ni mwanasheria , nikuulize swali jepesi unaamini uchaguzi huru ukifanyika na uchaguzi usio huru ukifanyika upi unatoa mwanya zaidi wa kuchochea machafuko.

Kumbuka napozungumzia uchaguzi huru nazungumzia usimamizi wa uchaguzi kwa tume iliyo huru kimfumo na sio huru kwa jina.
An.

Ukisusa, sie twala!.
Kwenye maelezo yangu, nimesema uchaguzi wa 2025 ni bonge la fursa adimu na adhimu kwa TAL!.
P
Unaweza kuelezea fursa tano (5) CHADEMA itakazopata kwa kushiriki uchaguzi kupitia usimamizi wa tume hii hii iliyofanyia dhuluma 2020?

Ukibisha nakuwekea na ushahidi wa video ambapo ballot papers zilikuwa pre -ticked na uwepo wa multiple voting.

Sasa ubishe kama ulivyobisha ile 2020 ukisema New York times inatumia diaspora kueneza chuki ,kwa akili zenu mkafikiri mkizima internet dunia haitojua giza linaloendelea Tanzania.
 
Madhara yake ni kwamba mawazo yako yanaweza yasiwe mazuri na yasiwe mawazo yetu,
Kwenye freedom of expression na freedom of opinion, kila mtu yuko huru kutoa maoni yake yoyote, bila kujali maoni hayo yatamfurahisha nani, au yatamuudhi nani, hivyo everyone has the right to his/her opinion!.
kama (zingatia neno kama) umejitambulisha unawakilisha JF kama jukwaa.
Sijawahi kujitambulisha ni mwakilishi wa jf, huwa najitambulisha kuwa mimi ni member wa jf.
Unless otherwise (zingatia neno unless otherwise) uwe umejitambulisha "unatoka" JF...
Huwa najitambulisha mimi ni member wa jf, sijawahi jitambulisha ni mwakilishi wa jf, na sijawahi kusema nimetoka jf.
Au labda uwe umejitambulisha unawakilisha JF kama uongozi...
Sijawahi kuwa kiongozi wa jf, wala kujitambulisha mimi ni kiongozi jf!.
Kama kosa langu ni kujitambulisha kuwa ni member wa jf, then, hili nitalizingatia!.
P
 
Kwenye freedom of expression na freedom of opinion, kila mtu yuko huru kutoa maoni yake yoyote, bila kujali maoni hayo yatamfurahisha nani, au yatamuudhi nani, hivyo everyone has the right to his/her opinion!.

Sijawahi kujitambulisha ni mwakilishi wa jf, huwa najitambulisha kuwa mimi ni member wa jf.

Huwa najitambulisha mimi ni member wa jf, sijawahi jitambulisha ni mwakilishi wa jf, na sijawahi kusema nimetoka jf.

Sijawahi kuwa kiongozi wa jf, wala kujitambulisha mimi ni kiongozi jf!.
Kama kosa langu ni kujitambulisha kuwa ni member wa jf, then, hili nitalizingatia!.
P
Great Thinker 👊👊🤛🤛👏👏💪💪🤝🤝🙏🙏
Respect Mzee wa Kitimoto!!
 
Siku hizi hajifichi anafanya uchawa wazi wazi
Mimi sio chawa na sijawahi kuwa chawa, kosa langu humu jf ni kuwa mkweli daima, mtu akifanya vyema, namsifu, akiboronga namkosoa, chawa kazi yao ni kufagilia tuu, na kuimba nyimbo za sifa na mapambio, kamwe huwezi kuwasikia wakikosoa!.
Mimi kwenye mazuri, nasifu, kwenye makosa na mapungufu nakosoa, na kwenye mabaya na maovu, nalaani!.

P.
 
Umenena vema mkuu. Mimi namshukuru sana kwa kuniwakilisha huko. Ingawa sijui amesemaje. Lakini kwa kuwa ni mtu mwenye weledi wa kutosha najua ameniwakilisha vema.
Mkuu Mkata Mawe, stonecutter , ni kweli, nimewakilisha vema jf, nimemuuliza TAL kama huwa anasoma ushauri wetu humu jf kuhusu Chadema.
P
 
Back
Top Bottom