Pascal Mayalla kazeeka haoni mbele

Au ndo yule aliemuuliza jiwe maswali magumu siku kikao na waandishi wa habari
 
Ni kama Polepole wa Tume ya Warioba akikutana na Polepole huyu wa Lumumba zitapigwa hadi majogoo.
 
Kama ni pascal huyo basi bado yuko vizuri kwani mitazamo yake haijabadilika mpaka sasa ila alichobadili ni uandishi tu big up pascal
 
Ahsante sana mtu unajiuliza mpinzani anayeshindwa kumwelewa pascal anajielewa kwel?
 
Pascal Mayala ukimsoma kwa makini utauelewa uandishi wake. Nyakati za sasa si nzuri! Hivyo ameamua kuficha makali ya kisu kwenye ala yake. Undishi wake ni wa kisengere nyuma, anaandika uozo unaofanywa na kiranja kwa kuusifu huku akiweka na data zake kiusahihi kabisa.

Uandishi wa namna hiyo ni wa kumnanga mtu, ni sawa sawa na kumng'ong'a mtu. Alichokifanya ni sawa sawa na yule aliyekifanya kwa mfalme Juha.
 
Japo umemsifia sana lakini Pascal yule hana tofauti na huyu wa sasa wote wawili ni wanafiki na wachumia tumbo .

Labda kabla ya kumsifia ulipaswa kujua kidogo watu aliokuwa anashirikiana nao kwenye kipindi kile akiwemo Joshua Mwaituka , je ni akina nani watu hawa na leo wako wapi na wanafanya nini na kwanini ?
 
No kweli alikuwa kichanga Paschal 1984 alikuwa Ilboru hgl hivyo wengine kweli wamemjulia humu jf lkn tuliyesoma naye pale Ilboru we know the guy
Daaah sisi wa 1994 ngoja tukae kimyaa
 
Naona Pasko umeakuja na Id nyingine hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…