george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 2,023
Au ndo yule aliemuuliza jiwe maswali magumu siku kikao na waandishi wa habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1995 mkuuUmezaliwa mwaka gani labda tuanzie hapo?!
Ni kama Polepole wa Tume ya Warioba akikutana na Polepole huyu wa Lumumba zitapigwa hadi majogoo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pascal yule wa kiti moto akikutana na pascal huyu wa JF ya awamu ya Meko lazima Pascal wa kitimoto atamtandika mavibao kujaribu kumzindua ila uzuri mleta mada umekiri kuwa ni uzee umemuingia Pascal, ila mimi kwa upande wangu naamini sababu ingine pia ya Pascal kuingiza venje(ubaridi) ni hii ccm ya mataga inakivunja kiti kabla hakijawa cha moto.
ie: kitimoto alichowekwa Pascal Bungeni.
Swali la press la mwisho kuulizwa na Pascal wa kiti moto alimuuliza Magufuli Ikulu na majibu ya swali lile naamini ni moja ya sababu ya Pascal kutumia kiti baridi badala ya kile cha moto kile cha ujanani.
Ila yule aliyekuwa bosi wa ATCL kawanyuka wanaume wenzake wengi sana hata yule Huseni mikufu kamnyuka sana.si ndio huyu aliyekuwa anafanya mapenzi ya jinsia moja na yule boss mstaafu wa ATCL
Japo umemsifia sana lakini Pascal yule hana tofauti na huyu wa sasa wote wawili ni wanafiki na wachumia tumbo .Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana.
Huyu jamaa hanijui lkn Mimi namjua Sana,Watanzania wengi twamjua Sana,EAC wengi wanamjua Sana ingawa yeye anawanua kwa kuwaona watu wachache Sana,lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania,umaarufu wake ulsababishwa na Nini?
Kwa wasiokua historian huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai Hadi Leo la KITI MOTO
Neno kiti Moto leo linatumika Kama hivi" da Leo nyumbani nimeweka kiti Moto na wazee kwnini sitaki kuoa"
"Yule mtu Leo kawekwa kiti Moto Hadi kalipa Deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi,"twendeni nikawanunulie kiti Moto pale wanajua Sana kuitengeneza nyama ya kiti Moto"
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi Kama sijakosea Pascol alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi Sana na hata wasio Watanzania,kipindi hiki ukuikosa unajuta,maofisini,mitaani,magengeni,mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi Cha Jana usiku Cha kiti Moto.
Kiti Moto ilikua inaita watu maarufu hususan viongozo Pascal alikua anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikua wanaona kiti kinaunguza nicha Moto,hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu Hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali Tata Sana Hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kifupi kilikua kipindi kitamu Sana watu making hwakupenda kukosa kukiona.maswali yake yalikua mazuri ya msingi ya kujenga inagawa wakuu walikiona Cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule,najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka
Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kizielewa kwa vijana wa leo.mada za mafumbo,zakuuma na kupuliza,za kutotaka lawama,anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
TvT.Alikuwa akiendesha kipindi akiwa TV gani mkuu,,,,,maana mi namkumbuka wakati yuko RTD
Daaah sisi wa 1994 ngoja tukae kimyaaNo kweli alikuwa kichanga Paschal 1984 alikuwa Ilboru hgl hivyo wengine kweli wamemjulia humu jf lkn tuliyesoma naye pale Ilboru we know the guy
Naona Pasko umeakuja na Id nyingine hongera sanaWatu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana.
Huyu jamaa hanijui lkn Mimi namjua Sana,Watanzania wengi twamjua Sana,EAC wengi wanamjua Sana ingawa yeye anawanua kwa kuwaona watu wachache Sana,lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania,umaarufu wake ulsababishwa na Nini?
Kwa wasiokua historian huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai Hadi Leo la KITI MOTO
Neno kiti Moto leo linatumika Kama hivi" da Leo nyumbani nimeweka kiti Moto na wazee kwnini sitaki kuoa"
"Yule mtu Leo kawekwa kiti Moto Hadi kalipa Deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi,"twendeni nikawanunulie kiti Moto pale wanajua Sana kuitengeneza nyama ya kiti Moto"
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi Kama sijakosea Pascol alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi Sana na hata wasio Watanzania,kipindi hiki ukuikosa unajuta,maofisini,mitaani,magengeni,mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi Cha Jana usiku Cha kiti Moto.
Kiti Moto ilikua inaita watu maarufu hususan viongozo Pascal alikua anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikua wanaona kiti kinaunguza nicha Moto,hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu Hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali Tata Sana Hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kifupi kilikua kipindi kitamu Sana watu making hwakupenda kukosa kukiona.maswali yake yalikua mazuri ya msingi ya kujenga inagawa wakuu walikiona Cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule,najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka
Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kizielewa kwa vijana wa leo.mada za mafumbo,zakuuma na kupuliza,za kutotaka lawama,anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Pascal wa "Kiti Moto" ni kama mtu tofauti kabisa na huyu wa JF.Pascal gani amewahoji wanasiasa mwaka 1995, Pascal huyuhuyu wa JamiiForums au mwingine ???
Not even a shadow of his former self..Pascal wa "Kiti Moto" ni kama mtu tofauti kabisa na huyu wa JF.
Ni kama kaibiwa password.
Ingawa ni mtu mmoja yule yule.
Hate attracts more hate and joy attract more joyAlafu linavyojikuta lijuaji sasa unaweza dhani ni jitu la maana sana hilo kumbe toto la juzi.
Rubbish
Kawagonga wengi sana makada wa CCMIla yule aliyekuwa bosi wa ATCL kawanyuka wanaume wenzake wengi sana hata yule Huseni mikufu kamnyuka sana.
Huyu nasikia alionywa ndiyo maana katuliaPascal wa "Kiti Moto" ni kama mtu tofauti kabisa na huyu wa JF.
Ni kama kaibiwa password.
Ingawa ni mtu mmoja yule yule.
I don't praise a village idiot!Hate attracts more hate and joy attract more joy