Pascal Mayalla kazeeka haoni mbele

Pascal Mayalla kazeeka haoni mbele

Au ndo yule aliemuuliza jiwe maswali magumu siku kikao na waandishi wa habari
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pascal yule wa kiti moto akikutana na pascal huyu wa JF ya awamu ya Meko lazima Pascal wa kitimoto atamtandika mavibao kujaribu kumzindua ila uzuri mleta mada umekiri kuwa ni uzee umemuingia Pascal, ila mimi kwa upande wangu naamini sababu ingine pia ya Pascal kuingiza venje(ubaridi) ni hii ccm ya mataga inakivunja kiti kabla hakijawa cha moto.
ie: kitimoto alichowekwa Pascal Bungeni.

Swali la press la mwisho kuulizwa na Pascal wa kiti moto alimuuliza Magufuli Ikulu na majibu ya swali lile naamini ni moja ya sababu ya Pascal kutumia kiti baridi badala ya kile cha moto kile cha ujanani.
Ni kama Polepole wa Tume ya Warioba akikutana na Polepole huyu wa Lumumba zitapigwa hadi majogoo.
 
Kama ni pascal huyo basi bado yuko vizuri kwani mitazamo yake haijabadilika mpaka sasa ila alichobadili ni uandishi tu big up pascal
 
Ahsante sana mtu unajiuliza mpinzani anayeshindwa kumwelewa pascal anajielewa kwel?
 
Pascal Mayala ukimsoma kwa makini utauelewa uandishi wake. Nyakati za sasa si nzuri! Hivyo ameamua kuficha makali ya kisu kwenye ala yake. Undishi wake ni wa kisengere nyuma, anaandika uozo unaofanywa na kiranja kwa kuusifu huku akiweka na data zake kiusahihi kabisa.

Uandishi wa namna hiyo ni wa kumnanga mtu, ni sawa sawa na kumng'ong'a mtu. Alichokifanya ni sawa sawa na yule aliyekifanya kwa mfalme Juha.
 
Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana.
Huyu jamaa hanijui lkn Mimi namjua Sana,Watanzania wengi twamjua Sana,EAC wengi wanamjua Sana ingawa yeye anawanua kwa kuwaona watu wachache Sana,lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania,umaarufu wake ulsababishwa na Nini?
Kwa wasiokua historian huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai Hadi Leo la KITI MOTO
Neno kiti Moto leo linatumika Kama hivi" da Leo nyumbani nimeweka kiti Moto na wazee kwnini sitaki kuoa"
"Yule mtu Leo kawekwa kiti Moto Hadi kalipa Deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi,"twendeni nikawanunulie kiti Moto pale wanajua Sana kuitengeneza nyama ya kiti Moto"
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi Kama sijakosea Pascol alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi Sana na hata wasio Watanzania,kipindi hiki ukuikosa unajuta,maofisini,mitaani,magengeni,mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi Cha Jana usiku Cha kiti Moto.
Kiti Moto ilikua inaita watu maarufu hususan viongozo Pascal alikua anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikua wanaona kiti kinaunguza nicha Moto,hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu Hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali Tata Sana Hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kifupi kilikua kipindi kitamu Sana watu making hwakupenda kukosa kukiona.maswali yake yalikua mazuri ya msingi ya kujenga inagawa wakuu walikiona Cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule,najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka
Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kizielewa kwa vijana wa leo.mada za mafumbo,zakuuma na kupuliza,za kutotaka lawama,anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Japo umemsifia sana lakini Pascal yule hana tofauti na huyu wa sasa wote wawili ni wanafiki na wachumia tumbo .

Labda kabla ya kumsifia ulipaswa kujua kidogo watu aliokuwa anashirikiana nao kwenye kipindi kile akiwemo Joshua Mwaituka , je ni akina nani watu hawa na leo wako wapi na wanafanya nini na kwanini ?
 
No kweli alikuwa kichanga Paschal 1984 alikuwa Ilboru hgl hivyo wengine kweli wamemjulia humu jf lkn tuliyesoma naye pale Ilboru we know the guy
Daaah sisi wa 1994 ngoja tukae kimyaa
 
Watu waliomjua Pascal Kupitia JF pekee poleni sana.
Huyu jamaa hanijui lkn Mimi namjua Sana,Watanzania wengi twamjua Sana,EAC wengi wanamjua Sana ingawa yeye anawanua kwa kuwaona watu wachache Sana,lakini mamilioni ya watu tunamjua.
Kwa sababu gani?
Kwa sababu ni mtu mtangazaji marufu Sana hapa Tanzania,umaarufu wake ulsababishwa na Nini?
Kwa wasiokua historian huyu ndo mwanzilishi wa jina maarufu lililo hai Hadi Leo la KITI MOTO
Neno kiti Moto leo linatumika Kama hivi" da Leo nyumbani nimeweka kiti Moto na wazee kwnini sitaki kuoa"
"Yule mtu Leo kawekwa kiti Moto Hadi kalipa Deni lake"
Lakini kubwa kuliko yote jina Hilo likaitwa kwa hivi,"twendeni nikawanunulie kiti Moto pale wanajua Sana kuitengeneza nyama ya kiti Moto"
Mwanzilishi wa jina au msemo huo maarufu ni Pascal Mayala.
Umaarufu wake ni huu.
Kwa kifupi miaka ya 1995 hivi Kama sijakosea Pascol alianzisha kipindi kilichopendwa na kutazamwa na Watanzania wengi Sana na hata wasio Watanzania,kipindi hiki ukuikosa unajuta,maofisini,mitaani,magengeni,mabaa mahospitalini na maeneo mengine mazungumzo yalikua ni juu ya kipindi Cha Jana usiku Cha kiti Moto.
Kiti Moto ilikua inaita watu maarufu hususan viongozo Pascal alikua anawauliza masuali ambayo kwa kweli walikua wanaona kiti kinaunguza nicha Moto,hata kiongozi ajitetee vipi dogo Pascal atambana tu Hadi mhojiwa atapoteza mwelekeo.
Pascal alihoji maswali Tata Sana Hadi wewe mtazamaji unaanza kumuonea huruma muulizwa.
Kifupi kilikua kipindi kitamu Sana watu making hwakupenda kukosa kukiona.maswali yake yalikua mazuri ya msingi ya kujenga inagawa wakuu walikiona Cha Moto kweli.
Huyu Pascal wa JF sio yule,najua kazeeka yule alikua Bomba akiwepo kwenye press live akipewa nafasi ya kuuliza swali watazamaji wote utulivu ili kumsikiliza.
Huyu wa JF kazeeka
Ameamua kukubalika kutukanwa mitandaoni kisa anatoa mada ngumu kizielewa kwa vijana wa leo.mada za mafumbo,zakuuma na kupuliza,za kutotaka lawama,anaishia kutukanwa na madogo.
Yeye ukimlaumu atakuambua
"Read between the lines"
Naona Pasko umeakuja na Id nyingine hongera sana
 
Back
Top Bottom