Pascal Mayalla kutoka kuwa Mwandishi Nguli hadi Mtangazaji wa kawaida East Africa Radio inamaanisha nini katika Tasnia?

Tanzania haina Journalists usisumbuke.
 
Muda wote alipokuwa Hewani leo EA Radio kazi yake ilikuwa ni Kukosoa tu W Watangazaji sasa kama anajiona ni Nguli kwanini asianzishe tu Chuo chake cha Uandishi wa Habari ili awafunde vizuri huko huko Darasani? Anaboa....!!
 
Umeelezea Ukweli mtupu Ndugu. Heko.
 

Mambo yanabadilika kila siku na katika kila nyanja hivyo ni lazima mtu ahakikishe kuwa kadiri Dunia na mambo yake yanapobadilka nae pia anaendana na mabadiliko hayo ama sivyo ataachwa nyuma!!!
Technology imebadilisha sana tasnia ya habari hivyo kama mwandishi hawezi kubadilika kuendana na mabadiliko hayo matokeo yake ni kubaki nyuma na broadsheets wakati wenzie wanakwenda na digital!! Huoni siku hizi wazee nao wanajikongoja na PODCASTS!!
 
Mtafutaji hakati tamaa, ajaribu kwa Mama, anaweza kuteuliwa lkn lazima awe na connecton/mtu wa kum connect na mama. Pascal Mayalla . Mayala ulifika wakati ukawa huoni kasoro katika Jiwe, ukamsifia pale TBC1 mpaka ukawa kinyaa! Tulikushangaa sana......
 
Hata angeenda wapi mradi yuko kwenye kupata rizki its OK...pengine Huyo Abdala unayemsema sasa hivi anashika pesa nyingi kuliko alipokuwa mtangazaji jina na huku pesa hakuna haina maana yoyote.....pigana Pascal bills zinakungoja.
 
Waandishi wengi wa habari Tanzania ni vilaza haswa. Hawajui kutamka maneno mengi ya kiswahili kwa ufasaha na na hawajui kufanya uchambuzi ukiacha ule wa mpira. Wengi wako kikomedi komedi tu.
Muda wote alipokuwa Hewani leo EA Radio kazi yake ilikuwa ni Kukosoa tu W Watangazaji sasa kama anajiona ni Nguli kwanini asianzishe tu Chuo chake cha Uandishi wa Habari ili awafunde vizuri huko huko Darasani? Anaboa....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…