Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Mkuu Pascal umemchomea mwenzako...!! Duh

Mambo ya Primary haya badala ya kumtonya mshikaji anyamaze wewe unamwandika mpiga kelele darasani kisha unapeleka karatasi kwa mwalimu wa darasa!!

Njoo chief ujitetee, tuhuma nzito sana hii; Kabendera ana familia kama ulivyo wewe.
 
Na kwanin unahisi kila mtu Tanzania hii kaijua hiyo habari baada ya kusoma jf!?
Hii sio sawa na ni akili ndogo hii kutuhumu watu kisa tu aliandika kuhusu hiyo ishu. Wajinga peke ndo watakubaliana na wewe hii hoja dhaifu sana na sio the way of great thinker.
 


Wewe ni mnafiki, mchawi, mzushi na muuaji kabisa na uzuri umejishtukia sana, tena mno kwenye uzi wako huu

1. Usalama wa Taifa na vyombo vyake vyote vinasoma kila kinachoendelea mitandaoni, magazetini ndani na nje ya nchi, KUSEMA Pascal alikuwa anashadadia ni sawa na kusema vyombo vya usalama vinamtegemea Pascal Mayala??? kuwa hawao hawajui ila wameamshwa na Pascal??? HAPA umekosea

2. JF ni familia kubwa, Pascal MAYALA ni mwanafamilia humu, HAPA tuna dare kuongea kwa uwazi, IKITOKEA KILA MAADA YA mtu humu ikahusishwa na kila kinachoendelea serikalini na uraiani UTAPATA mpaka wachawi humu; wako waliowahi kusema fulani atakufa mwisho wa mwaka na ikawa!! wako waliowahi kusema fulani ajiangalie, na IKAWA, wako waliowahi mpaka kusema mbovu juu ya mahusiano ya wenza wawili na wenza hao uhusiano wao ukafa!!! wako mpaka ambao tushawahi sema waziri fulani hana siku nyingi ofisini na ikawa!!

Pascal alikuwa ana post kwa mawazo yake, na mitazamo wako akiwa kwenye mood zake na uwanja wake binafsi!! kumuhusisha na Kibendera sio sawa kabisa

How come leo unamkaanga member mwenzio? alipotoa ile post that very time uliipinga? ulisema italeta matatizo? HUKUWEZA KUSEMA maana zilikuwa post za kawaida za kila siku kama zingine; umekuja kuwaza baada ya kuanza kutafuta mchawi??? usitafute wachawi humu.. NA NI UKO WARD, haupingi wala hauangaiki Kibenedera atoke, unaangalia nani ni chanzo?? seriously??

akina Maxence wanakesha mahakamani wewe na mimi tuwe huru, watu wanasema chochote na hakuna PERSONAL humu!! weka hoja mezani na usiongee KUFIRIKA kwa ku assume fulani ni mbaya unamchafua..

yakupasa uombe radhi

3. Sidhani kama kila ulichosema wewe katika maisha hakikuwahi kutokea na hakuna aliyekuhusisha nayo, why kwa member mwenzako


Pamoja na uzoefu wako humu ume loose sense of unity, sense of protection unamtoa mwenzako achafuke mtaani, jina lake waliseme vibaya, pengine hata wengine kumuua, KISA umefikiria tu mkuu

zamani humu, tulikuwa na utaratibu wa kuweka attachments, kama proof ya unachokisema...siku hizi imebaki ku assume tu


Nimeamka vizuri leo, ningeingia deep kukufafanua. ACHA hiyo tabia
 
Mleta maada asingetaja wasukuma basi bandiko lake lingekosa wachangijaji ndo maana kajihami kwa wasukuma ili wachangiji wanaokuja waje kuchangia wakiamin wasukuma ni wabaya na wakabila wakati hawa hawa walikuwa wanasema magufur siyo msukuma bali ni mhaya saiv tena wanamvisha usukuma ambao mwanzo walimuvua na kumuita mnyarwanda
 
una hakika na unachoongea, tatizo watu wengine hapa mnataka kusoma maandiko yanayoendana naa mtazamo wenu lakini akitokea mtu akaandika tofauti na mnavyotaka mnaanza kumzushia tuhuma ambazo hazina ukweli wowote.
Itokee Paskal kwa bahati mbaya akavamiwa na majambazi tukikutuhumu wewe uko nyuma ya hilo tukio tutakuwa tumekutendea hak?
 
Mbona sijaona ulichoandika hapo kumtuhumu huyo pascal?
What if walidukua mawasiliano ya Kabendera?
Lakini pia kumbuka kashtakiwa kwa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Wacha due process of law iamue.
Shida sio ati hukuona, apana shinda ni kuwa you have no ability to comprehend critical issues
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…