Wewe ni mnafiki, mchawi, mzushi na muuaji kabisa na uzuri umejishtukia sana, tena mno kwenye uzi wako huu
1. Usalama wa Taifa na vyombo vyake vyote vinasoma kila kinachoendelea mitandaoni, magazetini ndani na nje ya nchi, KUSEMA Pascal alikuwa anashadadia ni sawa na kusema vyombo vya usalama vinamtegemea Pascal Mayala??? kuwa hawao hawajui ila wameamshwa na Pascal??? HAPA umekosea
2. JF ni familia kubwa, Pascal MAYALA ni mwanafamilia humu, HAPA tuna dare kuongea kwa uwazi, IKITOKEA KILA MAADA YA mtu humu ikahusishwa na kila kinachoendelea serikalini na uraiani UTAPATA mpaka wachawi humu; wako waliowahi kusema fulani atakufa mwisho wa mwaka na ikawa!! wako waliowahi kusema fulani ajiangalie, na IKAWA, wako waliowahi mpaka kusema mbovu juu ya mahusiano ya wenza wawili na wenza hao uhusiano wao ukafa!!! wako mpaka ambao tushawahi sema waziri fulani hana siku nyingi ofisini na ikawa!!
Pascal alikuwa ana post kwa mawazo yake, na mitazamo wako akiwa kwenye mood zake na uwanja wake binafsi!! kumuhusisha na Kibendera sio sawa kabisa
How come leo unamkaanga member mwenzio? alipotoa ile post that very time uliipinga? ulisema italeta matatizo? HUKUWEZA KUSEMA maana zilikuwa post za kawaida za kila siku kama zingine; umekuja kuwaza baada ya kuanza kutafuta mchawi??? usitafute wachawi humu.. NA NI UKO WARD, haupingi wala hauangaiki Kibenedera atoke, unaangalia nani ni chanzo?? seriously??
akina Maxence wanakesha mahakamani wewe na mimi tuwe huru, watu wanasema chochote na hakuna PERSONAL humu!! weka hoja mezani na usiongee KUFIRIKA kwa ku assume fulani ni mbaya unamchafua..
yakupasa uombe radhi
3. Sidhani kama kila ulichosema wewe katika maisha hakikuwahi kutokea na hakuna aliyekuhusisha nayo, why kwa member mwenzako
Pamoja na uzoefu wako humu ume loose sense of unity, sense of protection unamtoa mwenzako achafuke mtaani, jina lake waliseme vibaya, pengine hata wengine kumuua, KISA umefikiria tu mkuu
zamani humu, tulikuwa na utaratibu wa kuweka attachments, kama proof ya unachokisema...siku hizi imebaki ku assume tu
Nimeamka vizuri leo, ningeingia deep kukufafanua. ACHA hiyo tabia