Rais kama alisema haya, na bado mtu anaishia kumtukana, maana yake huyo mtu hana adabu na anatakiwa awajibishwe.Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.
andika uzi wako tuone utakaa aje,huwezi elewa kilichoadikwa sababu ya uelewa wako mdogoHuu ni upuuzi na nimeshindwa kusoma kwa sababu unachanganya r na l,
Asingeleta hapa ingebaki siri?I fully dis agree with you sir,ukisoma vizuri you just join the dots
Noted with thanks sirHili linatoka moyoni mwangu, KAMA KUNA MTU MKABILA, MKABILA, ALIYETUKUKA NI Pascal Mayalla, A Tribalist and defined as : an advocate or practitioner of strong loyalty to one's own tribe or social group.
Pascal haoni doa lolote katika Jiwe, anamuona kama malaika Gabriel! Huyu naye akiwa Rais uwaja wa ndege utajengwa chooni kwake (if that could be possible anyway, he can dare do that!).
Mayalla namuheshimu sana enzi zake kabla ya Jiwe, sasa siye kabisa.
Its you who cant point out those key evidences that the writer has pointed out sir, think like a lawyer sirMkuu to be honest haujaonyesha Ushahidi wenye nguvu wakuweza kutushawishi na kutuaminisha kwamba "Pascal is behind the scene " naomba kusanya Valid and Tangible evidences kinyume na hapo itakuwa ni tuhuma tu ambazo hazina mashiko
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wewe ni mnafiki, mchawi, mzushi na muuaji kabisa na uzuri umejishtukia sana, tena mno kwenye uzi wako huu
1. Usalama wa Taifa na vyombo vyake vyote vinasoma kila kinachoendelea mitandaoni, magazetini ndani na nje ya nchi, KUSEMA Pascal alikuwa anashadadia ni sawa na kusema vyombo vya usalama vinamtegemea Pascal Mayala??? kuwa hawao hawajui ila wameamshwa na Pascal??? HAPA umekosea
2. JF ni familia kubwa, Pascal MAYALA ni mwanafamilia humu, HAPA tuna dare kuongea kwa uwazi, IKITOKEA KILA MAADA YA mtu humu ikahusishwa na kila kinachoendelea serikalini na uraiani UTAPATA mpaka wachawi humu; wako waliowahi kusema fulani atakufa mwisho wa mwaka na ikawa!! wako waliowahi kusema fulani ajiangalie, na IKAWA, wako waliowahi mpaka kusema mbovu juu ya mahusiano ya wenza wawili na wenza hao uhusiano wao ukafa!!! wako mpaka ambao tushawahi sema waziri fulani hana siku nyingi ofisini na ikawa!!
Pascal alikuwa ana post kwa mawazo yake, na mitazamo wako akiwa kwenye mood zake na uwanja wake binafsi!! kumuhusisha na Kibendera sio sawa kabisa
How come leo unamkaanga member mwenzio? alipotoa ile post that very time uliipinga? ulisema italeta matatizo? HUKUWEZA KUSEMA maana zilikuwa post za kawaida za kila siku kama zingine; umekuja kuwaza baada ya kuanza kutafuta mchawi??? usitafute wachawi humu.. NA NI UKO WARD, haupingi wala hauangaiki Kibenedera atoke, unaangalia nani ni chanzo?? seriously??
akina Maxence wanakesha mahakamani wewe na mimi tuwe huru, watu wanasema chochote na hakuna PERSONAL humu!! weka hoja mezani na usiongee KUFIRIKA kwa ku assume fulani ni mbaya unamchafua..
yakupasa uombe radhi
3. Sidhani kama kila ulichosema wewe katika maisha hakikuwahi kutokea na hakuna aliyekuhusisha nayo, why kwa member mwenzako
Pamoja na uzoefu wako humu ume loose sense of unity, sense of protection unamtoa mwenzako achafuke mtaani, jina lake waliseme vibaya, pengine hata wengine kumuua, KISA umefikiria tu mkuu
zamani humu, tulikuwa na utaratibu wa kuweka attachments, kama proof ya unachokisema...siku hizi imebaki ku assume tu
Nimeamka vizuri leo, ningeingia deep kukufafanua. ACHA hiyo tabia
Well said !!Wewe ni mnafiki, mchawi, mzushi na muuaji kabisa na uzuri umejishtukia sana, tena mno kwenye uzi wako huu
1. Usalama wa Taifa na vyombo vyake vyote vinasoma kila kinachoendelea mitandaoni, magazetini ndani na nje ya nchi, KUSEMA Pascal alikuwa anashadadia ni sawa na kusema vyombo vya usalama vinamtegemea Pascal Mayala??? kuwa hawao hawajui ila wameamshwa na Pascal??? HAPA umekosea
2. JF ni familia kubwa, Pascal MAYALA ni mwanafamilia humu, HAPA tuna dare kuongea kwa uwazi, IKITOKEA KILA MAADA YA mtu humu ikahusishwa na kila kinachoendelea serikalini na uraiani UTAPATA mpaka wachawi humu; wako waliowahi kusema fulani atakufa mwisho wa mwaka na ikawa!! wako waliowahi kusema fulani ajiangalie, na IKAWA, wako waliowahi mpaka kusema mbovu juu ya mahusiano ya wenza wawili na wenza hao uhusiano wao ukafa!!! wako mpaka ambao tushawahi sema waziri fulani hana siku nyingi ofisini na ikawa!!
Pascal alikuwa ana post kwa mawazo yake, na mitazamo wako akiwa kwenye mood zake na uwanja wake binafsi!! kumuhusisha na Kibendera sio sawa kabisa
How come leo unamkaanga member mwenzio? alipotoa ile post that very time uliipinga? ulisema italeta matatizo? HUKUWEZA KUSEMA maana zilikuwa post za kawaida za kila siku kama zingine; umekuja kuwaza baada ya kuanza kutafuta mchawi??? usitafute wachawi humu.. NA NI UKO WARD, haupingi wala hauangaiki Kibenedera atoke, unaangalia nani ni chanzo?? seriously??
akina Maxence wanakesha mahakamani wewe na mimi tuwe huru, watu wanasema chochote na hakuna PERSONAL humu!! weka hoja mezani na usiongee KUFIRIKA kwa ku assume fulani ni mbaya unamchafua..
yakupasa uombe radhi
3. Sidhani kama kila ulichosema wewe katika maisha hakikuwahi kutokea na hakuna aliyekuhusisha nayo, why kwa member mwenzako
Pamoja na uzoefu wako humu ume loose sense of unity, sense of protection unamtoa mwenzako achafuke mtaani, jina lake waliseme vibaya, pengine hata wengine kumuua, KISA umefikiria tu mkuu
zamani humu, tulikuwa na utaratibu wa kuweka attachments, kama proof ya unachokisema...siku hizi imebaki ku assume tu
Nimeamka vizuri leo, ningeingia deep kukufafanua. ACHA hiyo tabia
Upumbavu mtupu! Nyie ndio mlistahili kuwekwa zoo kama manyani yavaayo nguo!Hata wewe unatakiwa kufunzwa adabu. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulikwengu. Mtu yeyote asiheshimu mamlaka ni wa kufunzwa
Nanyi dawa yenu ipo jikoni. Tumewavumilia vya kutoshaUpumbavu mtupu! Nyie ndio mlistahili kuwekwa zoo kama manyani yavaayo nguo!
KivipiMi mgeni huku mbona umenikomalia hivi?