Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kumbukumbu nzuri sana. Ni kweli maendeleo hayana chama wala kanda kwa tunachoshuhudia?Ukiwa Mkuu wa Nchi asipokuandika hapo ndio tutathibitisha ukabila..., Huenda katika heka heka za kutafuta mkate wa kila siku inabidi kuandika chenye manufaa kwake (kinachouza..)
Yana vyama na Ukanda..., Je hayo tutayaondoa kwa sisi pia kushiriki katika ukanda wetu kwa kuona kanda ile haifai, au kuwapuuza wale wanaoleta ukanda na sio kanda ya wale wanaoleta ukanda ?Una kumbukumbu nzuri sana. Ni kweli maendeleo hayana chama wala kanda kwa tunachoshuhudia?
"unapojaribu'Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!
Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.
Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"
Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.
Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.
Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.
HOJA.
Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?
Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.
Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.
Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?
Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.
Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?
Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.
Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.
Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.
Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""
Kumbe mleta mada ndiye aliyekosea na huyo dada aliyeuliza yupo sahihi, ok poa
Ha ha ha ha ha, Pascall Mayalla Mungu anakuona eti. Wakati bwana Erick Kafrag akipambana kutoa shombo zake kupitia gazeti la Mabeberu wewe ulikuwa busy kuzipandisha shombo zake kwa mbwembwe na nakishi za kutosha humu jamvini. Ona sasa mwenzako yuko nyavuni. Mungu anakuona bro.
Pascal Mayalla Ni "Panya" smart sana ajuaye vyema kung'ata huku akipuliza.
Binafsi naheshimu uamuzi wake wakuzileta humu JF Makala Zile za lile Jarida kwa minajili kwamba alikuwa akimtetea Mkulu dhidi ya aliouita "Uongo na Matusi Yao kwa Mh. Rais" ingawa kwa hakika alikuwa ndio anafanya jukumu la kusambaza articles husika kwani kupitia Yeye wapo Wana JF wengi ndio walikua wanasoma hizo articles, at the same time he exaggerated a lot.
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!
Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.
Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"
Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.
Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.
Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.
HOJA.
Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?
Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.
Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.
Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?
Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.
Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?
Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.
Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.
Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.
Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""
Kama ulisoma vizuri makala za P ni rahisi sana kukubaliana na mleta mada, kwenye hizo makala za P alikuwa haeleweki kwanza alizileta kimtindo wa swali then anaonyesha kutaka watu wajue ambacho kinaandikwa nje nchi yetu, wakati mwingine ni kama anamkaanga rais wetu ila kimtindo.
If it's a genuine question
Nikusaidie kidogo
Ni Mtanzania
Kama ni swali la kebehi
Nikukumbushe
Ni Mtanzania
Mtoto wa mtu
Ni provider wa familia
**'Utu haununuliwi dukani
Yupo mahabusu kwa makosa yasiyoeleweka
Hufanani kabisa kuuliza swali hili.
Napenda uwe binadam.
Hahaha niliwahi kusema humu, Pascal Mayalla taratibu mtafanya kama Makonda.
Hahaha Mimi nakili sina IQ hata moja best, naogopa sana kumpakazia mtu. Mleta mada anaweza kuwa na uhakika, lakini sioni kama ninauona kwenye bandiko lake, hivyo sijui kwanini kuna watu wanaamini kwamba nikweli, nakili kichwa changu kina shida.IQ zenu zina shida smwhr...!
Mkuu ,Mada nzima amezungumziwa Binadamu mwenye Jina hata kama lilikosewa bado haliondoi kuwa anazungumziwa Binadamu ktk Hoja hii.
Huyo mwana Dada ama ameamua kuuchagua Ujinga ktk kuuliza na pengine anajua anacho kifanya kwa makusudi flani.
Mwana Jamiiforums mwenzetu anahusika kwa Asilimia kubwa kwa kujua au kutokujua ,Sababu ktk masuala ya Usalama kila Sababu ni Sababu hata kama ni ndogo kiasi gani.
Hahaha Mimi nakili sina IQ hata moja best, naogopa sana kumpakazia mtu. Mleta mada anaweza kuwa na uhakika, lakini sioni kama ninauona kwenye bandiko lake, hivyo sijui kwanini kuna watu wanaamini kwamba nikweli, nakili kichwa changu kina shida.
Ndiyo nimezaa. Una lingine?hivi ww kahaba wa ccm umezaa kweli ww?😏😏