Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Hakuna tabia mbaya Kama kupenda kujipendekeza kwa wakubwa au wenye navyo,yaani mtu hata aone mwenzie anateketea yeye anazidisha udananda wake tu ili aonekane yeye ndo mwema.
 
Ukiwa Mkuu wa Nchi asipokuandika hapo ndio tutathibitisha ukabila..., Huenda katika heka heka za kutafuta mkate wa kila siku inabidi kuandika chenye manufaa kwake (kinachouza..)
Una kumbukumbu nzuri sana. Ni kweli maendeleo hayana chama wala kanda kwa tunachoshuhudia?
 
Una kumbukumbu nzuri sana. Ni kweli maendeleo hayana chama wala kanda kwa tunachoshuhudia?
Yana vyama na Ukanda..., Je hayo tutayaondoa kwa sisi pia kushiriki katika ukanda wetu kwa kuona kanda ile haifai, au kuwapuuza wale wanaoleta ukanda na sio kanda ya wale wanaoleta ukanda ?
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""
"unapojaribu'
FB_IMG_15640569721067473.jpeg
 
Kumbe mleta mada ndiye aliyekosea na huyo dada aliyeuliza yupo sahihi, ok poa

Mkuu ,Mada nzima amezungumziwa Binadamu mwenye Jina hata kama lilikosewa bado haliondoi kuwa anazungumziwa Binadamu ktk Hoja hii.

Huyo mwana Dada ama ameamua kuuchagua Ujinga ktk kuuliza na pengine anajua anacho kifanya kwa makusudi flani.

Mwana Jamiiforums mwenzetu anahusika kwa Asilimia kubwa kwa kujua au kutokujua ,Sababu ktk masuala ya Usalama kila Sababu ni Sababu hata kama ni ndogo kiasi gani.
 
Ha ha ha ha ha, Pascall Mayalla Mungu anakuona eti. Wakati bwana Erick Kafrag akipambana kutoa shombo zake kupitia gazeti la Mabeberu wewe ulikuwa busy kuzipandisha shombo zake kwa mbwembwe na nakishi za kutosha humu jamvini. Ona sasa mwenzako yuko nyavuni. Mungu anakuona bro.


Bora ww unamwelewa Mayala..kiukweli watz akilk zetu baadhi zimelala mnoo! hv hamjui P Mayala ni mchochea kuni maarufu jamani?😂😂😂...P anakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa..huyu ni wale mgongo wako una mabaka baka lakini atakushauri uvae backdress😂😂😂..!uumbuke! atakupamba utajiona King kumbe sio lolotr!mtoa mada umejiabisha sana sana
 
Pascal Mayalla Ni "Panya" smart sana ajuaye vyema kung'ata huku akipuliza.

Binafsi naheshimu uamuzi wake wakuzileta humu JF Makala Zile za lile Jarida kwa minajili kwamba alikuwa akimtetea Mkulu dhidi ya aliouita "Uongo na Matusi Yao kwa Mh. Rais" ingawa kwa hakika alikuwa ndio anafanya jukumu la kusambaza articles husika kwani kupitia Yeye wapo Wana JF wengi ndio walikua wanasoma hizo articles, at the same time he exaggerated a lot.


Uko MSMART sana ww
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""

Kama ni kweli ndiye alikuwa anaandikia The Economist hakika hafai kuwa nje ya gereza tumepambana sana kumjua mtoa matusi na mharibu taswira ya nchi yetu

Alichokuwa analipwa ili kuchochea hasira dhidi ya Mataifa ya nje na wananchi kisaidie ndg zake

Mshenzi sana na kundi lake lililokuwa likimtuma

Asante umetufumbuwa macho
 
Kama ulisoma vizuri makala za P ni rahisi sana kukubaliana na mleta mada, kwenye hizo makala za P alikuwa haeleweki kwanza alizileta kimtindo wa swali then anaonyesha kutaka watu wajue ambacho kinaandikwa nje nchi yetu, wakati mwingine ni kama anamkaanga rais wetu ila kimtindo.


Paskali mada zake zote hata haizijitaj kuwa na Phd jaman kujua anamaanisha nn😂😂 kwanza mie nasoma nikiwa nacheka naishia kisonya..P hafaii..yaan bora Kabendera Paskali hafai kbs..!
 
If it's a genuine question

Nikusaidie kidogo
Ni Mtanzania

Kama ni swali la kebehi

Nikukumbushe
Ni Mtanzania
Mtoto wa mtu
Ni provider wa familia
**'Utu haununuliwi dukani

Yupo mahabusu kwa makosa yasiyoeleweka


Ndo maana huwa nakupenda! Nataman wanawake wote tungekuwa na utu hata robo kama ww...kuna wanawake ni watesi sana wa watoto wa wenzao! Vicky akiongoza..!
 
Hahaha niliwahi kusema humu, Pascal Mayalla taratibu mtamfanya kama Makonda.
Sio vizuri kupakaziana, Mnaweza kuleta utani, mwenzenu hana ulinzi yule akauwawa.
Simtetei, sijui chochote kuhusu hili, Ila sipendi kutuhumu bila uhakika, nanyi wenzangu msifanye hivyo.
 
Mkuu ,Mada nzima amezungumziwa Binadamu mwenye Jina hata kama lilikosewa bado haliondoi kuwa anazungumziwa Binadamu ktk Hoja hii.
Huyo mwana Dada ama ameamua kuuchagua Ujinga ktk kuuliza na pengine anajua anacho kifanya kwa makusudi flani.
Mwana Jamiiforums mwenzetu anahusika kwa Asilimia kubwa kwa kujua au kutokujua ,Sababu ktk masuala ya Usalama kila Sababu ni Sababu hata kama ni ndogo kiasi gani.

Ok
 
Back
Top Bottom