Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola


Dah...sijasoma andiko hili mpaka mwisho....Lakini naweza kusema kuwa Ndugu yetu Pascchal Mayala alitumia uhuru wa kutoa maoni kwa kulipinga hilo gazeti la Economist kwa article yao dhidi ya JPM kama ambavyo huyo anayeitwa sijui Kabendera alivyotumia kalamu yake akidai ni uhuru wa kutoa maoni kwa kumshutumu vikali Rais wetu JPM...Yaani huyo anayeitwa Kabendera alisambaza habari kwa wazungu akimshambulia Rais wetu...
 
Nimekuelewa
Hahaha asante best, ila kuna watu humu wanashabikia, wakipata breaking news kwamba Pascal Mayalla kauwawa, hao hao watakuja kusikitika humu.
Huu sio utani mzuri kabisa, mwenzenu kazi zake zinategemea public, kumu acuse kiasi hiki lazima uwe na,solid evidence, na sio vitu vya kufikirika.
Tupingane kwa hoja lakini hili linaweza kumuharibia mahusiano na watu, wakati kazi yake inategemea mahusiano na watu.
Nchi za wenzetu hili linaweza kumfunga mleta mada, kumsababishia Pascal Mayalla msongo wa mawazo, na psychological effects. Madhira ya hili yanaweza kupelekea mtu kujiua, kwasababu reputation yake kwa jamii imevurugwa. Tusishabikie haya kama hatuna uhakika nayo.
 
Tumwelewe Pasco,
Haandiki hapa kuitetea Serikali bali kutupa Habari. Someni vizuri maandiko ya Paskali, someni katikati ya mstari. Pasco hawezi mchoma Kabendera kamwe. Pasco alikuwa anataka tusome magazeti bila kuonekana anayaunga mkono. Ni falsafa
 
Kosa la Pascal silioni.Kabendera anashtakiwa na jamhuri.
Kabendera hakulazimishwa kuandika,wala hajahukumiwa bado ni tuhuma tu.
Naona mkuu umekuza mambo bure,mwombe Paskali msamaha.
Kosa la Erick ni kuandika makala au utakatishaji ?
 



Unaenda mbali sana..sema mtoa mada uwezo wake wa kupambanua mambo ni finyu sana!arudi shule
 
Unaenda mbali sana..sema mtoa mada uwezo wake wa kupambanua mambo ni finyu sana!arudi shule
Hahaha nilifikiria mbali sana best, huwa naona habari mtu kajinyonga kwa kukataliwa na mpenzi wake, nikajiuliza hivi msongo ukizidi hapa mtu anaweza kupata high blood pressure, hata kupelekea stroke.
Tuko tofauti bali wote tunaweza kupatwa na hayo.
Nimekuelewa.
 
Ukweli mtupu huu bila unafiki japo mie pia ni mpinzani wa jiwe kwenye sera zake ila kichaka changu ni mtani wngu kokote nasema ili wazi wazi hata jamaa zangu wa St Peter msijisumbue na mie sie watani Bwana...
 
Kwa hili nakuunga mkono asilimia mia...
 


Paskali hawez pata stroke kwa mada za kitoto kama hizi! kwanza huko anacheka..amefikisha ujumbe kwa hadhira vzr sana tumeanza kukanyagana
 

Mkuu naona umetoa maana yako mpaka ukaona bora Ututusi, kwamba wote humu tunaandika hisia za kijinga! hapo nadhani ni kasoro ww tu ndio unaandika hisia za maana. Tutake radhi samahani.
 
Pascal huwa simuelewi huwa ana like hadi quote za kijinga huwa najua kazi yake ni kumark watu humu jf and then wanafuatiliwa Trust me. Ukiona Pascal kale comment kwako basi uwe makini sana ikiwezekana change ip zako the guy is so fukin dangerous Men.
 
Mleta mada ni mkanda na mkabila. Period
kabisa kabisa,na anajaribu kwa nguvu zote kumuhusisha Mayala na yanayompata,kaflag!.
kama ikiwq ni kweli mayala kasababisha bas ni mafanikio kwa jf kuws wanatusoma vzr na jf si ya wqpinzani au watawala ni jukwaa huru kila mtu ruksa povu liwe lq kijani ,blue ,jeupe au la chama lolote lile
 
Mshamba kaonekana na kundi kubwa la JKT nyumbani kwake...hao "migambo"hawawezi kukusaidia kitu mabeberu wakikutamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…