Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Haya mambo si ya kila mtu kuelewa; bali wachache wataelewa. Iwe press conference ya polisi au mtu awaye yote, inakuwa sio kesi mpaka imesajiliwa katika masjala ya mahakama. Na kesi hainaga press conference. Ndo maana nakueleza kesi ni iliyosajiliwa mahakamani hizi nyingine ni kesi zenu za twitter,fb, jf, insta, n.k
 

Mleta mada ana matatizo....naamini mawazo kama haya yana mwelekeo wa 'ugaidi'
 
Ukiona Pascal kale comment kwako basi uwe makini sana ikiwezekana change ip zako the guy is so fukin dangerous Men.
Sio poa mkuu! Usimjengee chuki mwenzako. Ina maana unataka watu wabadili utambulisho wao humu kila siku kukwepa likes za Mayalla? Acha hizo bhana....
 
Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?
Wewe umeamua kumshambulia PASCAL MAYALA. Lakini pascal yeye hakumshambulia Eric , alijenga hoja na ikajengeka: mwache eric apate haki yake mahakamani na uache kumjengea chuki pascal
 
kama wanataka kumvua uraia mbona nchi za kwenda zipo nyingi tu???sudan kusini,syria etc
 
Tumwelewe Pasco,
Haandiki hapa kuitetea Serikali bali kutupa Habari. Someni vizuri maandiko ya Paskali, someni katikati ya mstari. Pasco hawezi mchoma Kabendera kamwe. Pasco alikuwa anataka tusome magazeti bila kuonekana anayaunga mkono. Ni falsafa
👍!
 
nini maana ya analysis
ndicho alichofanya Mayala ni analysis ya habari
Erick alikuwa anauza habari siyo anaandika habari lazima mjue hilo,,Watanzania muamke anamchunguza nani hapa Tanzaniee.
 
andika uzi wako tuone utakaa aje,huwezi elewa kilichoadikwa sababu ya uelewa wako mdogo

Sasa mimi na wewe nani uelewa wake mdogo? Umeelewa vizuri content ya comment yangu? Nyie ndiyo mnasababisha wadada wengi wadharaulike
 
Kwahiyo mkosoaji hakutakiwa kukosolewa? Hizi akili gani? Mayalla alitumia utashi wake kukosoa Magu na huyo Bendera. Na wewe leo unatumia utashi wako kumkosoa Mayalla na Magu. Lakini Kibendera asipingwe? Kila mtu apambane na hali yake, kwani hakujua ana wanaomtegemea wakati anafanya maamuzi aliyokuwa anafanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…