Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Huyo Mayala Pascal yn hadi kawaumiza ndo munalalamika wenye akili tuligundua anacho fanya humu jamii forum mulimushangilia bila kufikiria

Huyo Pascal ni mkabila mara elfu hana nia njema na waandishi wenzake
Hilo kuwa angemuonya limetoka wapi? Acheni ujinga yy nani?
Huyo pascal ni mutafuta fursa na ipo tayari

Yote aliyo kuwa anaandika yalichonganisha waanfishi wenzake na siyo kujenga

Jifunzeni kwa nyakati kwnn kipindi aanze kuandika
Mara eti jamaa kabadilika huyu Mayala kipimo cha kumuita Raisi kabadilika je alijua vipi kama sio munafiki huyu

Naunga mkono huyu jamaa atengewe hadi kabendera atoke nje.musicheke na joka hili linalo itwa Mayala
Ataanza mafumbo kwa mtu mwingine naye Atakamatwa soon
Mwenye kura nyama ya mtu haachi

Eti wasukuma si wakabila je anakipimo gani kujua kabila lipi lina ukabila na lipi halina ukabila, acha kugawa watanzania wewe mayalaNjaa itakuua

Lyamba lya mufipa


looser
 
Kisa yuko kinyume na unachotaka aandike. Kwanza 96% sijui Kama IQ yako inamwelewaga Mayalla. Ndo mtu anayejielewa na yuko huru kama mwandishi. Ukiona mwandishi anaandika ubaya Wa CDM tu Au ubaya Wa CCM tu basi huyo Sio mwandishi ni mwanachama Wa upande mmoja. Demokrasia na Maendeleo mnatuambia inasimamia pia uhuru Wa mtu kaniandika ukweli na pia kutoa maoni yake. Humu wote maandikia hisia za kijinga. Then mnakaa mnadhani vyama ndo vitawaletea Maendeleo. Majungu mwaka mzima. No job. Kwa aina ya maisha ya uvivu na majungu Hakuna Kiongozi atakayekuja kuwafaa huko. JPM anawatosha. Kawabana mnabaki kumtungia Mambo as if Yeye katibu wa nyumba kumi. So kama ukweli ndo unakubore my dear just Die.
Natamani wafuasi wa vyama wakuelewe vema..
Wao kutofautiana itikadi ni dhambi kwao, wao MTU wa upande Fulani hapaswi kutoa maoni yake ataambulia matusi na kudhalilishwa kwa kila aina, wao demokrasia ni kusifia vyama vyao na viongozi wao na ukiwa kinyume chao utapata kadhia kuliko mtuhumiwa...
Sijajua mwisho wa hii attitude..
 
Mleta mada uko sahihi

Ni Paschal Mayala kila mara alikuwa analeta mada humu za "Gazeti la Economist lamtukana Rais Magufuli", kila mara kila wakati hizo ndo zilikuwa mada zake za kichonganishi.
Sikutegemea kama uko low this much!!!
Huelewi kabisa kipi mayala huandika?
By the way uhuru wa habari na demokrasia unamruhusu mtu kuandika lolote juu ya hisia zake japo kwa sasa kuna wanaolazimisha hisia zao ziwe za wote...
Aliimba Afande Sele, ikiiondoka yanga simba itapata nani mtani wa jadi?...tafakari
 
Natamani wafuasi wa vyama wakuelewe vema..
Wao kutofautiana itikadi ni dhambi kwao, wao MTU wa upande Fulani hapaswi kutoa maoni yake ataambulia matusi na kudhalilishwa kwa kila aina, wao demokrasia ni kusifia vyama vyao na viongozi wao na ukiwa kinyume chao utapata kadhia kuliko mtuhumiwa...
Sijajua mwisho wa hii attitude..
Je wanaowateka, kuwatesa, kuwamiminia risasi na hata kuwapoteza/kuwaua wenye mawazo tofauti unawaweka kundi gani?
 
Mbona sijaona ulichoandika hapo kumtuhumu huyo pascal?
What if walidukua mawasiliano ya Kabendera?
Lakini pia kumbuka kashtakiwa kwa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Wacha due process of law iamue.
Ukitafakari vizuri unagundua jamaa anaonewa, kabambikiwa tuhuma na zitamuweka jele kiukweli.
Swali jepesi la kujiuliza, "walikuwa wapi muda woote kumfatilia hadi baada ya matoleo ya zile makala za the economist?"
Kwa kazi ile moja kwa moja ni internatinal corresponder wa hilo gazeti na hata stahiki zake analipwa fedha za kigeni na ili azitumia lazima abadili na hapo ndo imefanyika faulo.
 
Control maneno mabaya tafadhali, binadamu wote hamuwezi fanana mitizamo hata kidogo...kutofautiana ideology sometimes ni changamoto positive kujipima ufahamu na umahiri wa kiintelijensia...
Mshambulie kwa hoja, not good maneno makali.....

Hapo nimejikontrol...! ulitaka niandike upendavyo ww au?
 
Kuna kaukweli Hapa wewe paschal mayalla sisi wasukuma asilia hatunaga umbea umbea hususani wanaume wewe msukuma gani au watokea gamboshi nawewe?
 
Kuna ushahidi gani kwamba kabendera ndiye mwandishi wa makala ZILE?

Au huu uzi ndio ushahidi.
Ninaumia Sana ninapoona mateso wanayopitia wasema kweli ninaamini Kabendera atatoka salama
Mungu ibariki Tanzania
 
Kumbe wasukuma wote NI NDUGU ...
Kosa kubwa alilofanya Pascal ni kujitambulisha kuwa ni msukuma na akajulikana kuwa ni msukuma, atajuta kwa kipindi chote cha uongozi wa ndugu yake, hata aje na uzi gani huu atahusishwa na ukabila, too bad.
 
Bado hujajibiwa na mleta mada.

Badala yake umetukanwa na wachangiaji wanaodhani mleta mada anamaanisha ERICK.

WANAJADILI MTU TOFAUTI NA ALIYETAMKWA NA MLETA MADA.
Ndo maana nimeuliza. Nasahihisha vipi wakati ndani ya text yote anatajwa Fredrick? What if mwandishi anamaanisha Fredrick Kabendera kweli? KUULIZA SI UJINGA. NILITAKA KUJUA FREDRICK NI YUPI HUYO?
 
Back
Top Bottom