Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Kuna ushahidi gani kwamba KABENDERA NDIYE MWANDISHI WA MAKALA ZILE.

Au humu ndimo mmeamua kumshuhudia ili apewe kesi ingine.

Je ni ERICK au FREDRICK anayehadiliwa hapa ...

UZI UMEJAA HISIA TU. KUANZIA MLETA MADA HADI WACHANGIAJI.
Hivi Pascal Mayalla ndo aliemtuma Erick kuandika huko The Economist ?.Kina Zitto na Membe ndo wanaomtuma hao ndo waliomponza.Eti mwandishi wa habari za kiuchunguzi ? Uchunguzi gani wakati alikuwa anasubiri Rais aongee ndo yeye achambue hotuba in a negative way. Nimesoma maandishi yake yote kule The Economist hakuna habari ya uchunguzi zote ni against projects anazofanya JPM mara eti Rais anapenda mega projects alitaka apende minor projects ? Haya kina Zitto wakamsaidie na kunyea ndoo huko Segerea.
 
Kama serikali haikuwa inafatilia hilo gazeti na tuhuma zake ni wazi mtoa mada umeamua kuongeza kuni kwenye tanuru la Kabendera bila kujijua
 
Hufanani kabisa kuuliza swali hili.
Napenda uwe binadam.
Anafanana kabisa. Usimchanganye na Sky Eclat. Huyu ndio zake haswa. Ni yeye mwenye kulazimisha tabasamu. Matokeo yake sura mshupao. Huyu ni binti Adam, mnyama kama mwingine tu. Anakosa kabisa utu. Binadamu + utu = mtu. Huyu ni mjukuu tu wa Adam. Utu anapishana nao sana. Shule kama kaenda. Hakubahatika kuelimika! Hujitoa ufahamu sana. Anatafutwa kuokotwa jalalani na kichaa!
 
Ndio hiyo aina naisema, tofauti za kiitikadi ni lazima kwa wanadamu na kamwe ulingano usitegemewe, sasa msitumie tofauti kutukanana, kutishiana, kuvunjiana heshima, kutekana na kuuwana, tofauti itumike kufikirisha namna bora ya kujadiliana kwa hoja na staha, haupo upande utakaokosa kukosolewa ila lugha ngumu na matusi ni kutiana jazba na visasi vya kuambukizana...
Taratibu za kisheria zitumike pale pande zinaposhindwa elewana na sio hisia za kuumizana ....
Je wanaowateka, kuwatesa, kuwamiminia risasi na hata kuwapoteza/kuwaua wenye mawazo tofauti unawaweka kundi gani?
 
Duuuuu, mkuu inaonekana umempania ile mbaya, hiyo nguvu yako ni ya muda wote au ni kipindi cha awamu hii tu? Inaleta burudani ya aina yake.
Awamu hii ambayo inatupeleka vifua wazi tukiona jinsi nchi inavyoenda kwa kasi katika kujenga miundombinu.
 
Hili linatoka moyoni mwangu, KAMA KUNA MTU MKABILA, MKABILA, ALIYETUKUKA NI Pascal Mayalla, A Tribalist and defined as : an advocate or practitioner of strong loyalty to one's own tribe or social group.
Pascal haoni doa lolote katika Jiwe, anamuona kama malaika Gabriel! Huyu naye akiwa Rais uwaja wa ndege utajengwa chooni kwake (if that could be possible anyway, he can dare do that!).
Mayalla namuheshimu sana enzi zake kabla ya Jiwe, sasa siye kabisa.
MAYALA kama jina lake, ni watu wa njaa njaa tu, hawana msimamo, huyu siyo yule MAYALA aliyemlima jiwe maswali ya akili, nilimheshimu sana, kumbe zilikuwa njaa tu kama alivyo sema mheshimiwa raisi
 
Hata kipindi cha ukoloni watu wapuuzi kama nyie mlikuwepo!
Kama mawazo yangu ni ya kipuuzi basi mawazo ya kipuuzi ni muhimu kuliko mawazo ya nyie mnaojiona ni werevu lakini majuha.
 
The home of pure facts
[emoji1436]‍♂️[emoji1436]‍♂️[emoji1436]‍♂️[emoji1436]‍♂️. The mbembez
Who say mayala kamchongea
No the fact is the guy kajimaliza mwenyewe
 
Ni kweli huyu jamaa amechangia sana kutekwa kwake, either knowingly or unknowingly. Lakini yeye kama mwandishi alitakiwa kujua kwamba alichokuwa anafanya ni uchochezi na hatimaye angejua kwamba huyo correspondent wa the Economist angetafutwa ukizingatia "serikali" tuliyonayo ni dhalimu
 
Mbona sijaona ulichoandika hapo kumtuhumu huyo pascal?
What if walidukua mawasiliano ya Kabendera?
Lakini pia kumbuka kashtakiwa kwa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Wacha due process of law iamue.

Do you still believe in the due process of law in this country? you must be out of your mind!!
 
Yaani article aandike kabendera halafu lawama ziende kwa paschal mayalla.
Kweli nyumbu ataendelea kuwa nyumbu
 
Back
Top Bottom