BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hahaaha hio laana huikwepi mzeePPascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola
Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist? Hapa naomba nieleweke,hata watmishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma...www.jamiiforums.com
Mkuu Hufi Leo, kwanza sikujitokeza kujibu tuhuma hizi kwa kuzipuuzia tuu kuwa kwa vile huu ni uongo na uzushi, uongo mwingine na uzushi ukiuupuuzia tuu utayeyuka na kupita tuu kama upepo hivyo nilipuuza kwa matumaini ni upepo tuu na utapita. Lakini leo baada ya kifo cha mama yake, nimeona nisiendelee kunyamaza hivyo ndio nimejotokeza leo na kukujibu in points format.
Hatua yangu ya kwanza, ni kutuma Salaam maalum kwa rais Magufuli.
Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...www.jamiiforums.com
Kisha nikawaka hoja zako in points format ili kujibu kila hoja
Nampa pole sana Eric Kabendera kwa mapito anayopitia.
- Hukuna uthibitisho kuwa ni andiko langu lilipelekea jarida hilo lifuatiliwe, hakuna uthibitisho wowote kuwa sasa jarida hilo linafuatiliwa na hakuna uthibitisho wowote kuwa Eric Kabendera ndie mwandishi wa makala mimi nilizokuwa nazileta humu.
- Mimi sina uthibitisho wowote kuwa watu wa Idara nyeti walianza kufuatilia jarida lile baada ya bandiko langu humu jf, lakini kwa vile hata sisi humu jf hatujuani nani ni nani, its good to know that na pia sikuwahi kumjua mwandishi wa makala zile, I'm now learning from you.
- Kwenye makala zangu nilikiwa naweka kila cha kweli na cha uongo, niliukubali ukweli na kuupinga uongo na sio kwa lengo la kujipendekeza kwa Msukuma mwenzangu. Kazi ya mwandishi wa habari ni kusema ukweli na kuandika ukweli, mimi ni mkweli, msema kweli na mwandika ukweli bila kujali ukweli huo utamfurahisha nani au kumchukiza nani.
- Naendelea kusisitiza sikuwahi kumjua mwandishi ni nani, ila hata ningemjua, as long as anachoandika ni kweli, bado nisinge muita mwandishi yoyote kumuonya kwa kazi yake yoyote bali bado ningeendelea kukosoa au na mimi kuandika makala zangu kwenye magazeti yangu ninayoandikia. Hapa nilipo kuna waandishi wengi critical tunafahamiana na kuheshimiana, andiko lolote linajibiwa kwa andiko na sio kwa kuitana.
- Hii ni personal opinion, kuna watu wenye roho za kishetani ambao wanafurahia binaadamu wenzao wanapopata matatizo, very unfortunately mimi sii miongoni mwa watu wa kundi hili, wanaonijua wananijua na wanaonisoma, wananisoma.
- Kwavile tangu mwanzo sikujua kama ni Eric Kabendera wala sikujua nini kitatokea, pia hili sikulijua.
- Hili sii kweli.
- Ungeliweka hilo andiko
- Waandishi wa habari hawawezi kulifanya hili.
- Nimeunga mkono rai yako.
Pĺ
Bibi BibiPascal Mayalla ufataani anao kweli kweli, kwa hilo siwezi mkatalia au mtetea. Tena ni nyoka haswa mwenye vichwa viwili, kimoja mbele kimoja nyuma, kikikukosa cha mbele cha nyuma kinakungoja.
Binafsi nimeshamueleza mara nyingi sana humuhumu JF kuwa yu fataani.
Nnawashangaa sana kuwa ndiyo kwanza mnayajuwa hayo, nikizipata posts nilizowahi kumwambia kuwa yu fataani nitawawekea humu muone kuwa nililiona hilo zamani sana.
Na fataani mwengine na ndumila kuwili ni anaejiita Mzee Mwanakijiji.
Mungu atakulipa sawa na Matendo yako....utafikiri na kuwaza kwa kutumia tumbo...sababu wewe ni njaa kama Rais alivyotutafsiria ulivyo kwa kisukuma...Baada ya kutokea huu msiba wa mama yale Eric,
Leo ndio najibu hoja za bandiko hili
PPersonal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...www.jamiiforums.com
Nashangaa sana aisee
Wanamuonea Paschal bure! Mtu anaandika title serious Halafu ushahidi ni ujinga! SIjaona ubaya wa Paschal
Pascal Mayalla nenda ukachukue mgao wako wa nyama ya marehemu mama Kabendera, uliyotaka yametimia wewe na washirika wako. Unachumia tumbo mpaka unasababisha kifo cha mzazi wa mwenzio. Laana ikuangukie wewe hao wenzio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal Mayalla ufataani anao kweli kweli, kwa hilo siwezi mkatalia au mtetea. Tena ni nyoka haswa mwenye vichwa viwili, kimoja mbele kimoja nyuma, kikikukosa cha mbele cha nyuma kinakungoja.
Binafsi nimeshamueleza mara nyingi sana humuhumu JF kuwa yu fataani.
Nnawashangaa sana kuwa ndiyo kwanza mnayajuwa hayo, nikizipata posts nilizowahi kumwambia kuwa yu fataani nitawawekea humu muone kuwa nililiona hilo zamani sana.
Na fataani mwengine na ndumila kuwili ni anaejiita Mzee Mwanakijiji.
Kama ni yy basi alaaniwe atokapo nyumbani, alaaniwe aingiapo nyumbani, alaaniwe apitapo njiani, alaaniwe asimamapo, alaaniwe aketipo, alaaniwe alalapo, alaaniwe asubuhi na jioni hata majira yote.
Na majira kama haya msiba utue kwenye nyumba yake.
BWANA akaoneshe utukufu wake kwa hili jambo nasi tuseme ameni.
Pascal Mayalla ufataani anao kweli kweli, kwa hilo siwezi mkatalia au mtetea. Tena ni nyoka haswa mwenye vichwa viwili, kimoja mbele kimoja nyuma, kikikukosa cha mbele cha nyuma kinakungoja.
Binafsi nimeshamueleza mara nyingi sana humuhumu JF kuwa yu fataani.
Nnawashangaa sana kuwa ndiyo kwanza mnayajuwa hayo, nikizipata posts nilizowahi kumwambia kuwa yu fataani nitawawekea humu muone kuwa nililiona hilo zamani sana.
Na fataani mwengine na ndumila kuwili ni anaejiita Mzee Mwanakijiji.
Maandiko yake mara nyingi ni ya kifataani na undumila kuwili. Hana fikra njema wala hana chembe ya staha. Wanomfahamu "personal" watathibitisha kuwa anaweza kukugeuka wakati wowote kwa lolote lile.Tupe sababu, kwa kweli wewe ni mtu ninayekuheshimu sana, ukitoa shutuma kama hizi siwezi kupuuza, hemu sema sababu ya shutuma Zako!?