Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Pascal Mayalla umehusika kwa namna moja kuchangia kifo cha mama Erick Kabendela
kwa hili huwezi kuliepuka
Namfahamu Pascal Mayalla. Hajafikia level ya ukatili huo.
Ana mapungufu kama sisi wengine tulivyo na mapungufu lakini hana sababu, hana uwezo, hana nia wala hafaidiki na chochote kinachomkuta Kabendera. Muondoeni huyu mzee kwenye hizi kashfa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namfahamu Pascal Mayalla. Hajafikia level ya ukatili huo.
Ana mapungufu kama sisi wengine tulivyo na mapungufu lakini hana sababu, hana uwezo, hana nia wala hafaidiki na chochote kinachomkuta Kabendera. Muondoeni huyu mzee kwenye hizi kashfa.

Sent using Jamii Forums mobile app
yeye mwenyewe amekiri kwamba ndiye alifichua kuzichapisha habari zile humu

akajifanya kupinga kwa kumtetea jiwe na mwishowe jiwe akaamua yaliyotokea
 
Nimejaribu kusoma .. sijaona ushahidi wa moja kwa moja dhini ya bwana Mayala. I am just here confused why so many people hate this guy 🧐.
 
yeye mwenyewe amekiri kwamba ndiye alifichua kuzichapisha habari zile humu

akajifanya kupinga kwa kumtetea jiwe na mwishowe jiwe akaamua yaliyotokea
OGOPA SANA KWA ZALIO LA WATU WA SYSTEM MTOTO WA NYOKA NI NYOKA HATA KAMA HATAUMA ATABAKI KUWA NYOKA. WAPO TUNAISHI NAO
 
Mkuu Hufi Leo, kwanza sikujitokeza kujibu tuhuma hizi kwa kuzipuuzia tuu kuwa kwa vile huu ni uongo na uzushi, uongo mwingine na uzushi ukiuupuuzia tuu utayeyuka na kupita tuu kama upepo hivyo nilipuuza kwa matumaini ni upepo tuu na utapita. Lakini leo baada ya kifo cha mama yake, nimeona nisiendelee kunyamaza hivyo ndio nimejotokeza leo na kukujibu in points format.

Hatua yangu ya kwanza, ni kutuma Salaam maalum kwa rais Magufuli.

Kisha nikawaka hoja zako in points format ili kujibu kila hoja
  1. Hukuna uthibitisho kuwa ni andiko langu lilipelekea jarida hilo lifuatiliwe, hakuna uthibitisho wowote kuwa sasa jarida hilo linafuatiliwa na hakuna uthibitisho wowote kuwa Eric Kabendera ndie mwandishi wa makala mimi nilizokuwa nazileta humu.
  2. Mimi sina uthibitisho wowote kuwa watu wa Idara nyeti walianza kufuatilia jarida lile baada ya bandiko langu humu jf, lakini kwa vile hata sisi humu jf hatujuani nani ni nani, its good to know that na pia sikuwahi kumjua mwandishi wa makala zile, I'm now learning from you.
  3. Kwenye makala zangu nilikiwa naweka kila cha kweli na cha uongo, niliukubali ukweli na kuupinga uongo na sio kwa lengo la kujipendekeza kwa Msukuma mwenzangu. Kazi ya mwandishi wa habari ni kusema ukweli na kuandika ukweli, mimi ni mkweli, msema kweli na mwandika ukweli bila kujali ukweli huo utamfurahisha nani au kumchukiza nani.
  4. Naendelea kusisitiza sikuwahi kumjua mwandishi ni nani, ila hata ningemjua, as long as anachoandika ni kweli, bado nisinge muita mwandishi yoyote kumuonya kwa kazi yake yoyote bali bado ningeendelea kukosoa au na mimi kuandika makala zangu kwenye magazeti yangu ninayoandikia. Hapa nilipo kuna waandishi wengi critical tunafahamiana na kuheshimiana, andiko lolote linajibiwa kwa andiko na sio kwa kuitana.
  5. Hii ni personal opinion, kuna watu wenye roho za kishetani ambao wanafurahia binaadamu wenzao wanapopata matatizo, very unfortunately mimi sii miongoni mwa watu wa kundi hili, wanaonijua wananijua na wanaonisoma, wananisoma.
  6. Kwavile tangu mwanzo sikujua kama ni Eric Kabendera wala sikujua nini kitatokea, pia hili sikulijua.
  7. Hili sii kweli.
  8. Ungeliweka hilo andiko
  9. Waandishi wa habari hawawezi kulifanya hili.
  10. Nimeunga mkono rai yako.
Nampa pole sana Eric Kabendera kwa mapito anayopitia.
 
2020 hii hapa. Uteuziiiiiiii....
Baada ya kutokea huu msiba wa mama yale Eric,
Leo ndio najibu hoja za bandiko hili
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha Unafiki PERIOD!!!

Mkuu Hufi Leo, kwanza sikujitokeza kujibu tuhuma hizi kwa kuzipuuzia tuu kuwa kwa vile huu ni uongo na uzushi, uongo mwingine na uzushi ukiuupuuzia tuu utayeyuka na kupita tuu kama upepo hivyo nilipuuza kwa matumaini ni upepo tuu na utapita. Lakini leo baada ya kifo cha mama yake, nimeona nisiendelee kunyamaza hivyo ndio nimejotokeza leo na kukujibu in points format.

Hatua yangu ya kwanza, ni kutuma Salaam maalum kwa rais Magufuli.

Kisha nikawaka hoja zako in points format ili kujibu kila hoja
  1. Hukuna uthibitisho kuwa ni andiko langu lilipelekea jarida hilo lifuatiliwe, hakuna uthibitisho wowote kuwa sasa jarida hilo linafuatiliwa na hakuna uthibitisho wowote kuwa Eric Kabendera ndie mwandishi wa makala mimi nilizokuwa nazileta humu.
  2. Mimi sina uthibitisho wowote kuwa watu wa Idara nyeti walianza kufuatilia jarida lile baada ya bandiko langu humu jf, lakini kwa vile hata sisi humu jf hatujuani nani ni nani, its good to know that na pia sikuwahi kumjua mwandishi wa makala zile, I'm now learning from you.
  3. Kwenye makala zangu nilikiwa naweka kila cha kweli na cha uongo, niliukubali ukweli na kuupinga uongo na sio kwa lengo la kujipendekeza kwa Msukuma mwenzangu. Kazi ya mwandishi wa habari ni kusema ukweli na kuandika ukweli, mimi ni mkweli, msema kweli na mwandika ukweli bila kujali ukweli huo utamfurahisha nani au kumchukiza nani.
  4. Naendelea kusisitiza sikuwahi kumjua mwandishi ni nani, ila hata ningemjua, as long as anachoandika ni kweli, bado nisinge muita mwandishi yoyote kumuonya kwa kazi yake yoyote bali bado ningeendelea kukosoa au na mimi kuandika makala zangu kwenye magazeti yangu ninayoandikia. Hapa nilipo kuna waandishi wengi critical tunafahamiana na kuheshimiana, andiko lolote linajibiwa kwa andiko na sio kwa kuitana.
  5. Hii ni personal opinion, kuna watu wenye roho za kishetani ambao wanafurahia binaadamu wenzao wanapopata matatizo, very unfortunately mimi sii miongoni mwa watu wa kundi hili, wanaonijua wananijua na wanaonisoma, wananisoma.
  6. Kwavile tangu mwanzo sikujua kama ni Eric Kabendera wala sikujua nini kitatokea, pia hili sikulijua.
  7. Hili sii kweli.
  8. Ungeliweka hilo andiko
  9. Waandishi wa habari hawawezi kulifanya hili.
  10. Nimeunga mkono rai yako.
Nampa pole sana Eric Kabendera kwa mapito anayopitia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
P. Mayala umechangia kifo cha mama yake Erick. Over.
Baada ya kutokea huu msiba wa mama yale Eric,
Leo ndio najibu hoja za bandiko hili
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha ha, Pascall Mayalla Mungu anakuona eti. Wakati bwana Erick Kafrag akipambana kutoa shombo zake kupitia gazeti la Mabeberu wewe ulikuwa busy kuzipandisha shombo zake kwa mbwembwe na nakishi za kutosha humu jamvini. Ona sasa mwenzako yuko nyavuni. Mungu anakuona bro.
Naomba definition ya beberu!
 
Mkuu Hufi Leo, kwanza sikujitokeza kujibu tuhuma hizi kwa kuzipuuzia tuu kuwa kwa vile huu ni uongo na uzushi, uongo mwingine na uzushi ukiuupuuzia tuu utayeyuka na kupita tuu kama upepo hivyo nilipuuza kwa matumaini ni upepo tuu na utapita. Lakini leo baada ya kifo cha mama yake, nimeona nisiendelee kunyamaza hivyo ndio nimejotokeza leo na kukujibu in points format.

Hatua yangu ya kwanza, ni kutuma Salaam maalum kwa rais Magufuli.

Kisha nikawaka hoja zako in points format ili kujibu kila hoja
  1. Hukuna uthibitisho kuwa ni andiko langu lilipelekea jarida hilo lifuatiliwe, hakuna uthibitisho wowote kuwa sasa jarida hilo linafuatiliwa na hakuna uthibitisho wowote kuwa Eric Kabendera ndie mwandishi wa makala mimi nilizokuwa nazileta humu.
  2. Mimi sina uthibitisho wowote kuwa watu wa Idara nyeti walianza kufuatilia jarida lile baada ya bandiko langu humu jf, lakini kwa vile hata sisi humu jf hatujuani nani ni nani, its good to know that na pia sikuwahi kumjua mwandishi wa makala zile, I'm now learning from you.
  3. Kwenye makala zangu nilikiwa naweka kila cha kweli na cha uongo, niliukubali ukweli na kuupinga uongo na sio kwa lengo la kujipendekeza kwa Msukuma mwenzangu. Kazi ya mwandishi wa habari ni kusema ukweli na kuandika ukweli, mimi ni mkweli, msema kweli na mwandika ukweli bila kujali ukweli huo utamfurahisha nani au kumchukiza nani.
  4. Naendelea kusisitiza sikuwahi kumjua mwandishi ni nani, ila hata ningemjua, as long as anachoandika ni kweli, bado nisinge muita mwandishi yoyote kumuonya kwa kazi yake yoyote bali bado ningeendelea kukosoa au na mimi kuandika makala zangu kwenye magazeti yangu ninayoandikia. Hapa nilipo kuna waandishi wengi critical tunafahamiana na kuheshimiana, andiko lolote linajibiwa kwa andiko na sio kwa kuitana.
  5. Hii ni personal opinion, kuna watu wenye roho za kishetani ambao wanafurahia binaadamu wenzao wanapopata matatizo, very unfortunately mimi sii miongoni mwa watu wa kundi hili, wanaonijua wananijua na wanaonisoma, wananisoma.
  6. Kwavile tangu mwanzo sikujua kama ni Eric Kabendera wala sikujua nini kitatokea, pia hili sikulijua.
  7. Hili sii kweli.
  8. Ungeliweka hilo andiko
  9. Waandishi wa habari hawawezi kulifanya hili.
  10. Nimeunga mkono rai yako.
Nampa pole sana Eric Kabendera kwa mapito anayopitia.
I am unfeigned worried with JF members' comments and views about the matter, it's very cumbersome for us to personally attack people's arguments Na Mayalla inclusively!

Kaka Mayalla kwanza nikupongeze kwa ukimya wako, nilifuatilia uzi huu kwa ukaribu mno juu ya maoni ya wana JF, nasikitika mno kuona maoni ya wenzetu humu ambao kwa mara zote wamekuwa wakitaka haki na uhuru wa watu bahati mbaya sana hawajui ama wanataka uhuru huo uegemee katika kutimiza hisia za walio wengi, hii ni hatari!

Katika mkutano wa Mh Rais na waandishi wa habari,ni Paskal Mayalla pekee aliyeuliza swali ambalo hata mheshimiwa alitikisa kichwa, , Mayalla hakuuliza hili swali kama Mayalla au msukuma no alitimiza haki yake kikatiba na kama mwandishi wa habari anayesimamia peofession yake.

Vivyo hivyo ndg Mayalla uliendelea kutimiza haki yako kukosoa,kusahihisha na kupongeza mambo kadha wa kadha, kama msomi na mwandishi wa habari ulifanya vile kutoa maoni yako juu ya kinachoonekana leo kwamba wewe ndio source,

Kwa muktadha ule ule ulikosoa kwa kuubeba utanzania wako kama mtanzania juu ya bandiko,hivyo hukupaswa kabisa ujibiwe personally badala yake watu walitakiwa wajibu hoja na si mtu!

Wasamehe kaka Mayalla, MUNGU ndie anayejua na siku zote mwanadamu hana shukurani na asiyekutakia mema hakuchagulii tusi, leo unaonekana weww mbaya wakati ulifanya jambo la msingi kama mwingine ambavyo anatoa maoni humu jamvini na uzuri ulikuwa unajenga hoja lakini leo watu wamesahau, nimesoma mwenzentu mmja kaenda mbali na kusema eti kwa hili lazima ubebe lawama duh binadamu kweli muda mwingine hatujui hata nini tunachotaka!
Pole kaka kwa hili lakini baki imara,

Be blessed!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti hilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti hilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke, hata watumishi wa idara nyeti walianza kufatilia gazeti hilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia, kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100% ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure."

======
Sioni busara ya kuendelea kuzungumzia suala ambalo tayari liko mahakamani.
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti hilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti hilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke, hata watumishi wa idara nyeti walianza kufatilia gazeti hilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia, kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100% ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure."

======
Acha uongo paskali hawezi wala hana sababu ya kufanya hivyo
 
Maandiko yake mara nyingi ni ya kifataani na undumila kuwili. Hana fikra njema wala hana chembe ya staha. Wanomfahamu "personal" watathibitisha kuwa anaweza kukugeuka wakati wowote kwa lolote lile.

Ni mtu hatari sana.

Angeelewa maana ya usemi huu "Pen is mightier than the sword". Asingekuwa anafanya huo ujinga.
Wewe sema tu kwakuwa huwa anakukosoa ukiandika mashudu yako ya kidini ndio mana unamlalamikia.

Wewe upo kidini zaidi Mjahidina weye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanaompinga mayalla so ndo wale wale vibaraka, kila mtz mwenye nia njema na Tz hawezi ku-expose mambo ya ndani kwa maadui. Jeshini hao huwa hawana uhai
Hivi kutoa habari za nchi yako kwa adui ndo shitaka lake linaitwa kutakatisha fedha? Au mpaka Leo nchi hii hakuna sheria inayozuia raia wake kuisaliti nje ya nchi? Je , Penal Code yetu haina kifungu hicho? Sheria ya Usalama wa Taifa haina kifungu hicho? Kama kipo, mbona si moja ya mashtaka dhidi ya ERICK kama kweli hao unaowatukuza wamefanya kazi yao vizuri waligundua ERICK ni msaliti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jf siku hizi inakuwa ya kiswazi swazi,sababu ni kuacha hisia za wati ziamue juu ya maisha ya wengine.

hili nililiona hata kwa mchora katuni masudi kipanya,very bright.
siku akinanga upande wa watu furani ,basi anakuwa na wakati mbaya sana siku hiyo.bahati mbaya taaluma yake haimtaki kuwa upande wowote.ni ujinga wa mazuzu fulani kuamini hivyo.

pascal mayala,wewe ni babu sasa.
mbali na kuwa umekuwa kwenye taaluma hiyo muda mrefu tu,lakini pia unajua vyema mambo mengi sana sasa.mimi naamini kama kuna mwandishi alikuwa makini na yuko vyema kichwani,alikuwa akusome kama mwalimu na sio kizabi zabina.

leo hii mchuma janga analila na watu wa nyumbani kwao,lakini wajinga fulani wanataka kutafuta mchawi kwa mambo simple kama haya.kabendera,azori,ben saanane,wote hawa wana maisha mabovu sana nyumbani kwao,labda tuseme,walijikuta wanafanya hata kazi za hatari ili wazinusuru katika lindi la umasikini,shida ikawa hawakuwa waangalifu.

RIP mama kabendera,mimi nachukulia kifo chako ni cha asili hakija sababishwa na mtu yeyote,na kama yupo basi ni mtoto wako aliyembeba mwenyewe miezi 9,msamehe bure.
 
Back
Top Bottom