Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Wanabodi, hizi tuhuma dhidi yangu kumhusu Kabendera, zilianzia hapa
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti hilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti hilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.
Mkuu Hufi Leo, kwanza sikujitokeza kujibu tuhuma hizi kwa kuzipuuzia tuu kuwa kwa vile huu ni uongo na uzushi, uongo mwingine na uzushi ukiuupuuzia tuu utayeyuka na kupita tuu kama upepo hivyo nilipuuza kwa matumaini ni upepo tuu na utapita. Lakini leo baada ya kifo cha mama yake, nimeona nisiendelee kunyamaza hivyo ndio nimejotokeza leo na kukujibu in points format.

Hatua yangu ya kwanza, ni kutuma Salaam maalum kwa rais Magufuli.
Kisha baada ya hapo ndipo nageukia kujibu hoja zako kwa kupangua hoja kwa hoja.

  1. Kwanza lazima watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?
  1. Hukuna uthibitisho kuwa ni andiko langu lilipelekea jarida hilo lifuatiliwe, hakuna uthibitisho wowote kuwa sasa jarida hilo linafuatiliwa na hakuna uthibitisho wowote kuwa Eric Kabendera ndie mwandishi wa makala mimi nilizokuwa nazileta humu.
  2. Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.
    Mimi sina uthibitisho wowote kuwa watu wa Idara nyeti walianza kufuatilia jarida lile baada ya bandiko langu humu jf, lakini kwa vile hata sisi humu jf hatujuani nani ni nani, its good to know that na pia sikuwahi kumjua mwandishi wa makala zile, I'm now learning from you.
  3. Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.
    Kwenye makala zangu nilikiwa naweka kila cha kweli na cha uongo, niliukubali ukweli na kuupinga uongo na sio kwa lengo la kujipendekeza kwa Msukuma mwenzangu. Kazi ya mwandishi wa habari ni kusema ukweli na kuandika ukweli, mimi ni mkweli, msema kweli na mwandika ukweli bila kujali ukweli huo utamfurahisha nani au kumchukiza nani.
  4. Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?
    Naendelea kusisitiza sikuwahi kumjua mwandishi ni nani, ila hata ningemjua, as long as anachoandika ni kweli, bado nisinge muita mwandishi yoyote kumuonya kwa kazi yake yoyote bali bado ningeendelea kukosoa au na mimi kuandika makala zangu kwenye magazeti yangu ninayoandikia. Hapa nilipo kuna waandishi wengi critical tunafahamiana na kuheshimiana, andiko lolote linajibiwa kwa andiko na sio kwa kuitana.
  5. Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.
    Hii ni personal opinion, kuna watu wenye roho za kishetani ambao wanafurahia binaadamu wenzao wanapopata matatizo, very unfortunately mimi sii miongoni mwa watu wa kundi hili, wanaonijua wananijua na wanaonisoma, wananisoma
  6. Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?
    Kwavile tangu mwanzo sikujua kama ni Eric Kabendera wala sikujua nini kitatokea, pia hili sikulijua.
  7. Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.
    Hili sii kweli
  8. Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.
    Ungeliweka hilo andiko
  9. Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.
    Waandishi wa habari wenye akili, hawawezi kulifanya hili
  10. Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure."
    Nimeunga mkono rai yako na mimi pia nampa pole sana Erick Kabendera kwa mapito anayopitia.P
Mkuu Sifi Leo, sasa baada Erick kuachiwa, nakuomba kwanza upitie kwa makini hii document hapa chini
EK 1.jpg

2317830_B09C51EC-5268-4692-BAD0-25CC90F0AF4A.jpeg


Baada ya kuiptia, na kwa vile hakuna yoyote aliyakuwa akijua Erick anashitakiwa kwa kosa gani, baada ya sasa kujua, ni vema ukawa mstaarabu kwanza kwa kuniomba msamaha kwa kunituhumu vitu ambavyo sio vya kweli, na pili ukaanzisha uzi mwingine na kunisafisha.

Kwa vile mimi ni Mzee wa kufundisha somo la Karma humu jukwaani, ukimtuhumu mtu yoyote kwa tuhuma za uongo, kwa kuamini kabisa kuwa anahusika na uovu fulani wakati kiukweli hahusiki, unakuwa exempted na adhabu ya karma kwa sababu wewe unaamini hizo tuhuma ni za ukweli kabisa. Hivyo wakati unapandisha uzi huu, kwa vile wewe Mkuu Sifi Leo, uliamini kabisa na kwa dhati kuwa mimi ndiye niliyemchongea Erick Kabendera, kwa sababu ya mabandiko yangu humu jf, kitu ambacho sii kweli, na kwa vile ulikuwa huujui ukweli by then, karma inakupa exemption kwa sababu uliamini kitu ambacho sii cha kweli ukidhani ni kweli, kwenye karma ukiamini kitu fulani kuwa ni kweli wakati sii kweli, unasamehewa.

Mfano kuna manabii wengi wa uongo, ambao wanamtumikia shetani, wakidhani ni Mungu, na shetani ni kweli anatenda miujiza ya kuponya, kutoa mapepo na kuwapa watu utajiri, "Jina na Yesu", hivyo hayo makanisa kufurika na waumini wakiamini kweli ni Mungu wa ukweli na yanayofanyika ni kwa jina la Yesu. Japo kiukweli hakuna chochote kinachofanyika kwa jina la Yesu, bali ni shetani ibilisi ame pose kama Mungu, na kutumia Jina la Yesu kufanyia miujiza, ila watu waamini, make believe, lakini kiukweli nguvu zinazotumika ni nguvu za giza. Karma inatoa msamaha kwa waumini wote hawa wanaomtumikia shetani kwa kuamini ni Mungu kwasababu wameaminishwa ni Mungu, wakifa, watasamehewa na kuingia peponi, kwasababu they are innocent victims, hawakujua kuwa wanayemuabudu na kumtumia ni shetani!.

Lakini akitokea mtu, akawaambia hayo yanayofanyika sio mafundisho ya Mungu, hivyo wanamtumikia shetani, wakiendelea kuabudu na kusali kwa manabii hao wa uongo, siku ya mwisho, hawatakwepa adhabu ya motoni, hawatasamehewa na watakwenda motoni kwasababu walijua.

Vivyo hivyo na kwako wewe, kwa vile wakati ukinituhumu hapa, you were innocent convinced it was me, na ukaamini, hakuna adhabu ya karma juu yako kwa tuhuma hizi kwangu, ila sasa umeujua ukweli, baada ya kuujua ukweli huu, sasa ni wajibu wako, kunisafisha, baada ya kuujua ukweli huu, usiponishafisha, hapa sasa ndipo adhabu ya karma itakapo kuja kuwa juu yako.

Sisi Wakristu wa kweli, tunaofuata mafundisho ya Mungu wa Kweli, na kufuata mafunzo ya Bwana wetu Yesu Kristo wa Kweli, tumefundishwa kusameme hata saba mara sabini, hivyo mimi kwa upande wangu, niliisha kusamehe toka siku ile ya kwanza ulipopandisha bandiko hili kwa kulipuuza, kwasababu ulikuwa hujui utendalo. Pia nimewasamehe wale wote walionituhumu ni mimi kwa kuamini kuwa kweli ni mimi.

Hivyo kwa upande wangu, uwe na amani kabisa, na wote mlionituhumu humu na kungine kote, miwe na amani, nimekusamahe na kuwasamehe wengine wote kwa roho safi na roho nyeupe, lakini ili karma isikushughulikie na wewe kwa upande wako, baada ya kuujua ukweli huu, do the right thing!.
Ubarikiwe sana.
Paskali.
 
Kwa yaliyojificha juu ya huyo mtu, na kwakuwa ulikua next target baada ya huyu, na kwakuwa external forces zimeokoa jahazi na kwakua karibu tunaingia kwenye fukuto la october hivyo si rahisi kushika mawili na itoshe tu tumshukuru Mungu.

Mwandishi wa kitabu cha KULI alisema.....


...."lakini yana mwisho".........
Mkuu Sifi Leo, sasa baada Erick kuachiwa, nakuomba kwanza upitie kwa makini hii document hapa chini
View attachment 1368525
Baada ya kuiptia, na kwa vile hakuna yoyote aliyakuwa akijua Erick anashitakiwa kwa kosa gani, baada ya sasa kujua, ni vema ukawa mstaarabu kwanza kwa kuniomba msamaha kwa kunituhumu vitu ambavyo sio vya kweli, na pili ukaanzisha uzi mwingine na kunisafisha.

Kwa vile mimi ni Mzee wa kufundisha somo la Karma humu jukwaani, ukimtuhumu mtu yoyote kwa tuhuma za uongo, kwa kuamini kabisa kuwa anahusika na uovu fulani wakati kiukweli hahusiki, unakuwa exempted na adhabu ya karma kwa sababu wewe unaamini hizo tuhuma ni za ukweli kabisa. Hivyo wakati unapandisha uzi huu, kwa vile wewe Mkuu Sifi Leo, uliamini kabisa na kwa dhati kuwa mimi ndiye niliyemchongea Erick Kabendera, kwa sababu ya mabandiko yangu humu jf, kitu ambacho sii kweli, na kwa vile ulikuwa huujui ukweli by then, karma inakupa exemption kwa sababu uliamini kitu ambacho sii cha kweli ukidhani ni kweli, kwenye karma ukiamini kitu fulani kuwa ni kweli wakati sii kweli, unasamehewa.

Mfano kuna manabii wengi wa uongo, ambao wanamtumikia shetani, wakidhani ni Mungu, na shetani ni kweli anatenda miujiza ya kuponya, kutoa mapepo na kuwapa watu utajiri, "Jina na Yesu", hivyo hayo makanisa kufurika na waumini wakiamini kweli ni Mungu wa ukweli na yanayofanyika ni kwa jina la Yesu. Japo kiukweli hakuna chochote kinachofanyika kwa jina la Yesu, bali ni shetani ibilisi ame pose kama Mungu, na kutumia Jina la Yesu kufanyia miujiza, ila watu waamini, make believe, lakini kiukweli nguvu zinazotumika ni nguvu za giza. Karma inatoa msamaha kwa waumini wote hawa wanaomtumikia shetani kwa kuamini ni Mungu kwasababu wameaminishwa ni Mungu, wakifa, watasamehewa na kuingia peponi, kwasababu they are innocent victims, hawakujua kuwa wanayemuabudu na kumtumia ni shetani!.

Lakini akitokea mtu, akawaambia hayo yanayofanyika sio mafundisho ya Mungu, hivyo wanamtumikia shetani, wakiendelea kuabudu na kusali kwa manabii hao wa uongo, siku ya mwisho, hawatakwepa adhabu ya motoni, hawatasamehewa na watakwenda motoni kwasababu walijua.

Vivyo hivyo na kwako wewe, kwa vile wakati ukinituhumu hapa, you were innocent convinced it was me, na ukaamini, hakuna adhabu ya karma juu yako kwa tuhuma hizi kwangu, ila sasa umeujua ukweli, baada ya kuujua ukweli huu, sasa ni wajibu wako, kunisafisha, baada ya kuujua ukweli huu, usiponishafisha, hapa sasa ndipo adhabu ya karma itakapo kuja kuwa juu yako.

Sisi Wakristu wa kweli, tunaofuata mafundisho ya Mungu wa Kweli, na kufuata mafunzo ya Bwana wetu Yesu Kristo wa Kweli, tumefundishwa kusameme hata saba mara sabini, hivyo mimi kwa upande wangu, niliisha kusamehe toka siku ile ya kwanza ulipopandisha bandiko hili kwa kulipuuza, kwasababu ulikuwa hujui utendalo. Pia nimewasamehe wale wote walionituhumu ni mimi kwa kuamini kuwa kweli ni mimi.

Hivyo kwa upande wangu, uwe na amani kabisa, na wote mlionituhumu humu na kungine kote, miwe na amani, nimekusamahe na kuwasamehe wengine wote kwa roho safi na roho nyeupe, lakini ili karma isikushughulikie na wewe kwa upande wako, baada ya kuujua ukweli huu, do the right thing!.
Ubarikiwe sana.
Paskali.


View attachment 1368525

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti hilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti hilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke, hata watumishi wa idara nyeti walianza kufatilia gazeti hilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia, kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100% ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure."

======
Hili andiko limekaa tenge, kweli nyani haoni kundule
 
Wanabodi, hizi tuhuma dhidi yangu kumhusu Kabendera, zilianzia hapa
Mkuu Hufi Leo, kwanza sikujitokeza kujibu tuhuma hizi kwa kuzipuuzia tuu kuwa kwa vile huu ni uongo na uzushi, uongo mwingine na uzushi ukiuupuuzia tuu utayeyuka na kupita tuu kama upepo hivyo nilipuuza kwa matumaini ni upepo tuu na utapita. Lakini leo baada ya kifo cha mama yake, nimeona nisiendelee kunyamaza hivyo ndio nimejotokeza leo na kukujibu in points format.

Hatua yangu ya kwanza, ni kutuma Salaam maalum kwa rais Magufuli.
Kisha baada ya hapo ndipo nageukia kujibu hoja zako kwa kupangua hoja kwa hoja.









Mkuu Sifi Leo, sasa baada Erick kuachiwa, nakuomba kwanza upitie kwa makini hii document hapa chini
View attachment 1368540
View attachment 1368542

Baada ya kuiptia, na kwa vile hakuna yoyote aliyakuwa akijua Erick anashitakiwa kwa kosa gani, baada ya sasa kujua, ni vema ukawa mstaarabu kwanza kwa kuniomba msamaha kwa kunituhumu vitu ambavyo sio vya kweli, na pili ukaanzisha uzi mwingine na kunisafisha.

Kwa vile mimi ni Mzee wa kufundisha somo la Karma humu jukwaani, ukimtuhumu mtu yoyote kwa tuhuma za uongo, kwa kuamini kabisa kuwa anahusika na uovu fulani wakati kiukweli hahusiki, unakuwa exempted na adhabu ya karma kwa sababu wewe unaamini hizo tuhuma ni za ukweli kabisa. Hivyo wakati unapandisha uzi huu, kwa vile wewe Mkuu Sifi Leo, uliamini kabisa na kwa dhati kuwa mimi ndiye niliyemchongea Erick Kabendera, kwa sababu ya mabandiko yangu humu jf, kitu ambacho sii kweli, na kwa vile ulikuwa huujui ukweli by then, karma inakupa exemption kwa sababu uliamini kitu ambacho sii cha kweli ukidhani ni kweli, kwenye karma ukiamini kitu fulani kuwa ni kweli wakati sii kweli, unasamehewa.

Mfano kuna manabii wengi wa uongo, ambao wanamtumikia shetani, wakidhani ni Mungu, na shetani ni kweli anatenda miujiza ya kuponya, kutoa mapepo na kuwapa watu utajiri, "Jina na Yesu", hivyo hayo makanisa kufurika na waumini wakiamini kweli ni Mungu wa ukweli na yanayofanyika ni kwa jina la Yesu. Japo kiukweli hakuna chochote kinachofanyika kwa jina la Yesu, bali ni shetani ibilisi ame pose kama Mungu, na kutumia Jina la Yesu kufanyia miujiza, ila watu waamini, make believe, lakini kiukweli nguvu zinazotumika ni nguvu za giza. Karma inatoa msamaha kwa waumini wote hawa wanaomtumikia shetani kwa kuamini ni Mungu kwasababu wameaminishwa ni Mungu, wakifa, watasamehewa na kuingia peponi, kwasababu they are innocent victims, hawakujua kuwa wanayemuabudu na kumtumia ni shetani!.

Lakini akitokea mtu, akawaambia hayo yanayofanyika sio mafundisho ya Mungu, hivyo wanamtumikia shetani, wakiendelea kuabudu na kusali kwa manabii hao wa uongo, siku ya mwisho, hawatakwepa adhabu ya motoni, hawatasamehewa na watakwenda motoni kwasababu walijua.

Vivyo hivyo na kwako wewe, kwa vile wakati ukinituhumu hapa, you were innocent convinced it was me, na ukaamini, hakuna adhabu ya karma juu yako kwa tuhuma hizi kwangu, ila sasa umeujua ukweli, baada ya kuujua ukweli huu, sasa ni wajibu wako, kunisafisha, baada ya kuujua ukweli huu, usiponishafisha, hapa sasa ndipo adhabu ya karma itakapo kuja kuwa juu yako.

Sisi Wakristu wa kweli, tunaofuata mafundisho ya Mungu wa Kweli, na kufuata mafunzo ya Bwana wetu Yesu Kristo wa Kweli, tumefundishwa kusameme hata saba mara sabini, hivyo mimi kwa upande wangu, niliisha kusamehe toka siku ile ya kwanza ulipopandisha bandiko hili kwa kulipuuza, kwasababu ulikuwa hujui utendalo. Pia nimewasamehe wale wote walionituhumu ni mimi kwa kuamini kuwa kweli ni mimi.

Hivyo kwa upande wangu, uwe na amani kabisa, na wote mlionituhumu humu na kungine kote, miwe na amani, nimekusamahe na kuwasamehe wengine wote kwa roho safi na roho nyeupe, lakini ili karma isikushughulikie na wewe kwa upande wako, baada ya kuujua ukweli huu, do the right thing!.
Ubarikiwe sana.
Paskali.
mimi skuombi radhi kamwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maadam mimi, nimeisha samehe, kwa maana hujui utendalo, huna haja ya kuomba radhi, na hata Mungu amekusamehe.
Ubarikiwe sana!.
P
 
Binafsi namuomba Mwenyez Mungu atupe maarifa watz tuweze kuondokana na JPM na ikiwezekana iwe ni marufuku kwa msukuma yeyote kugombea urais. Nchi hii imewah kupata marais kutoka makabila mbali mbali lakini hatukuwahi kuona unafiki wa kikabila kwa kiwango hiki.

Alikuwepo Nyerere mzanaki lakini hatuwaona wazanaki wakiwa wanafiki na wenye kuina nchi ni yao, Alikuwepo Mwinyi, Mkapa na Kikwete bt mambo yalikuwa utanzania tu wala sio umakonde au Ukwere. Wasukuma ni washamba Limbukeni sana. Lakini pia watu hawa hawashauriki na hawajiamini kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binafsi namuomba Mwenyez Mungu atupe maarifa watz tuweze kuondokana na JPM na ikiwezekana iwe ni marufuku kwa msukuma yeyote kugombea urais. Nchi hii imewah kupata marais kutoka makabila mbali mbali lakini hatukuwahi kuona unafiki wa kikabila kwa kiwango hiki.

Alikuwepo Nyerere mzanaki lakini hatuwaona wazanaki wakiwa wanafiki na wenye kuina nchi ni yao, Alikuwepo Mwinyi, Mkapa na Kikwete bt mambo yalikuwa utanzania tu wala sio umakonde au Ukwere. Wasukuma ni washamba Limbukeni sana. Lakini pia watu hawa hawashauriki na hawajiamini kabisa.
hakuna aliyeiona nchi ya kwao mkuu, hayo ni maneno ya vijiweni tuu, Ukiambiwa ulete ushahidi ama uthibitishe kauli yako utaweza?
 
Wanabodi, hizi tuhuma dhidi yangu kumhusu Kabendera, zilianzia hapa
Mkuu Hufi Leo, kwanza sikujitokeza kujibu tuhuma hizi kwa kuzipuuzia tuu kuwa kwa vile huu ni uongo na uzushi, uongo mwingine na uzushi ukiuupuuzia tuu utayeyuka na kupita tuu kama upepo hivyo nilipuuza kwa matumaini ni upepo tuu na utapita. Lakini leo baada ya kifo cha mama yake, nimeona nisiendelee kunyamaza hivyo ndio nimejotokeza leo na kukujibu in points format.

Hatua yangu ya kwanza, ni kutuma Salaam maalum kwa rais Magufuli.
Kisha baada ya hapo ndipo nageukia kujibu hoja zako kwa kupangua hoja kwa hoja.









Mkuu Sifi Leo, sasa baada Erick kuachiwa, nakuomba kwanza upitie kwa makini hii document hapa chini
View attachment 1368540
View attachment 1368542

Baada ya kuiptia, na kwa vile hakuna yoyote aliyakuwa akijua Erick anashitakiwa kwa kosa gani, baada ya sasa kujua, ni vema ukawa mstaarabu kwanza kwa kuniomba msamaha kwa kunituhumu vitu ambavyo sio vya kweli, na pili ukaanzisha uzi mwingine na kunisafisha.

Kwa vile mimi ni Mzee wa kufundisha somo la Karma humu jukwaani, ukimtuhumu mtu yoyote kwa tuhuma za uongo, kwa kuamini kabisa kuwa anahusika na uovu fulani wakati kiukweli hahusiki, unakuwa exempted na adhabu ya karma kwa sababu wewe unaamini hizo tuhuma ni za ukweli kabisa. Hivyo wakati unapandisha uzi huu, kwa vile wewe Mkuu Sifi Leo, uliamini kabisa na kwa dhati kuwa mimi ndiye niliyemchongea Erick Kabendera, kwa sababu ya mabandiko yangu humu jf, kitu ambacho sii kweli, na kwa vile ulikuwa huujui ukweli by then, karma inakupa exemption kwa sababu uliamini kitu ambacho sii cha kweli ukidhani ni kweli, kwenye karma ukiamini kitu fulani kuwa ni kweli wakati sii kweli, unasamehewa.

Mfano kuna manabii wengi wa uongo, ambao wanamtumikia shetani, wakidhani ni Mungu, na shetani ni kweli anatenda miujiza ya kuponya, kutoa mapepo na kuwapa watu utajiri, "Jina na Yesu", hivyo hayo makanisa kufurika na waumini wakiamini kweli ni Mungu wa ukweli na yanayofanyika ni kwa jina la Yesu. Japo kiukweli hakuna chochote kinachofanyika kwa jina la Yesu, bali ni shetani ibilisi ame pose kama Mungu, na kutumia Jina la Yesu kufanyia miujiza, ila watu waamini, make believe, lakini kiukweli nguvu zinazotumika ni nguvu za giza. Karma inatoa msamaha kwa waumini wote hawa wanaomtumikia shetani kwa kuamini ni Mungu kwasababu wameaminishwa ni Mungu, wakifa, watasamehewa na kuingia peponi, kwasababu they are innocent victims, hawakujua kuwa wanayemuabudu na kumtumia ni shetani!.

Lakini akitokea mtu, akawaambia hayo yanayofanyika sio mafundisho ya Mungu, hivyo wanamtumikia shetani, wakiendelea kuabudu na kusali kwa manabii hao wa uongo, siku ya mwisho, hawatakwepa adhabu ya motoni, hawatasamehewa na watakwenda motoni kwasababu walijua.

Vivyo hivyo na kwako wewe, kwa vile wakati ukinituhumu hapa, you were innocent convinced it was me, na ukaamini, hakuna adhabu ya karma juu yako kwa tuhuma hizi kwangu, ila sasa umeujua ukweli, baada ya kuujua ukweli huu, sasa ni wajibu wako, kunisafisha, baada ya kuujua ukweli huu, usiponishafisha, hapa sasa ndipo adhabu ya karma itakapo kuja kuwa juu yako.

Sisi Wakristu wa kweli, tunaofuata mafundisho ya Mungu wa Kweli, na kufuata mafunzo ya Bwana wetu Yesu Kristo wa Kweli, tumefundishwa kusameme hata saba mara sabini, hivyo mimi kwa upande wangu, niliisha kusamehe toka siku ile ya kwanza ulipopandisha bandiko hili kwa kulipuuza, kwasababu ulikuwa hujui utendalo. Pia nimewasamehe wale wote walionituhumu ni mimi kwa kuamini kuwa kweli ni mimi.

Hivyo kwa upande wangu, uwe na amani kabisa, na wote mlionituhumu humu na kungine kote, miwe na amani, nimekusamahe na kuwasamehe wengine wote kwa roho safi na roho nyeupe, lakini ili karma isikushughulikie na wewe kwa upande wako, baada ya kuujua ukweli huu, do the right thing!.
Ubarikiwe sana.
Paskali.
Watanzania wengi wana inferiority complex

Hawajiamini, wivu na wako addicted kutaka kupendwa kwenye social media

Wao kupewa likes, au kutaka kuonekana anakuchukia wewe ili apendwe na fulani sio hoja kwao

Hawa ni maskini wa akili wa kutupwa


Utajiumiza bure

just relax, live your life wenye brain zao wanakuelewa pia
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti hilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti hilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke, hata watumishi wa idara nyeti walianza kufatilia gazeti hilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia, kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100% ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure."

======Pale ikulu mwendazake alimjibu paschal mayala alisema mayala ni njaa kwamba hyo njaa inamsumbua
 
Back
Top Bottom