Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Tulimwambia kinana abutue kombolela atuokoe akajiona yeye yupo katikati ya wokovu amhofu nani? (kwa sasa anawindwa kama digidigi)

Tukamwambia Nnape "braza bunge msilizime jamani!" akatuona mafala (kiko wapi?)

Mzee makamba tulimwambia kumuomba atuokoe akatukejeli kuwa tutabatizwa kwa moto. (kwa sasa ananyolewa kavu bila maji)

Niishie hapo kwa sasa
 
Sasa kama unanukuu maneno ya standard 7 utakuwa na high price?

EMPTY SKUULED WEWE NA MSUKUMA MMEO
 
Kosa kubwa alilofanya Pascal ni kujitambulisha kuwa ni msukuma na akajulikana kuwa ni msukuma, atajuta kwa kipindi chote cha uongozi wa ndugu yake, hata aje na uzi gani huu atahusishwa na ukabila, too bad.
 
Uzuri wake Pascal anaijua Karma na anaiaminina kama ni kweli amemsnitch mwenzie asubiri matokeo ya alichopanda

Kwani kosa gani kafanya pascal?Hivi hilo gazeti linasomwa na pascal pekee? Hivi nini maana ya uhuru wa maoni na demokrasia? Hebu twambie ni vipi Pascal Kamchongea kaflag?
 
Namufahamu mama yake ni kada mkubwa wa CCM huyu kijana wake Erick bado mdogo wamuachie wamuonye aelewe awe Mzalendo kama vijana wenzake .Siku zote vijana uonywa sio kuwazima kabisa.Ebu angalia Museveni na Bob Wine ni kijana mdogo lakini anaonywa kila siku .Nchi yetu haiwezi kujengwa na wazee wanaokariri na wanaokwepa mabadiriko kama Mugabe. Bila kuwa na vijana wenye fikra mpya wa kupambana na challanges za mabadiriko ya sayansi na tekinorojia tutaendelea kuwa na sampuli ya watu wao kila kitu ni ndio hapo ujuwe kuna shida
 
Kuandika ukweli kuhusu yanayojiri nchini ni UZALENDO.

 
Ungesahihisha jina tu usingepungukiwa chochote.
Ndo maana nimeuliza. Nasahihisha vipi wakati ndani ya text yote anatajwa Fredrick? What if mwandishi anamaanisha Fredrick Kabendera kweli? KUULIZA SI UJINGA. NILITAKA KUJUA FREDRICK NI YUPI HUYO?
 
Pasko awaite waandishi wa habari ili kutoa ufafanuzi
 

Aliandika kulinda tumbo lake kwa mabeberu na watu walionyuma yake, mwache anyee ndoo kavuna alichokipanda...... tegemez hata Osama alikuwa nao na bado aliuawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…