Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

 
Ukweli unaujua kwamba anayezungumziwa si Fredrick na sioni kama ungepungukiwa chochote kwa kusahihisha jina husika.

Ndo maana nimeuliza. Nasahihisha vipi wakati ndani ya text yote anatajwa Fredrick? What if mwandishi anamaanisha Fredrick Kabendera kweli? KUULIZA SI UJINGA. NILITAKA KUJUA FREDRICK NI YUPI HUYO?
 
Hivi Pascal Mayalla ndo aliemtuma Erick kuandika huko The Economist ?.Kina Zitto na Membe ndo wanaomtuma hao ndo waliomponza.Eti mwandishi wa habari za kiuchunguzi ? Uchunguzi gani wakati alikuwa anasubiri Rais aongee ndo yeye achambue hotuba in a negative way. Nimesoma maandishi yake yote kule The Economist hakuna habari ya uchunguzi zote ni against projects anazofanya JPM mara eti Rais anapenda mega projects alitaka apende minor projects ? Haya kina Zitto wakamsaidie na kunyea ndoo huko Segerea.
 
Inawezekana ni mmoja Wa wale jamaa hua simuelewi pascal

Yap, mara nyingine ni vigumu kumuelewa Pasco lakini. Andiko lake dhidi ya lile la the Economist lililenga kujipendekeza kwa magu lakini sidhani kuwa alikuwa na nia ya kumuumiza Kabendera.

Siamini kuwa wazee wa kitengo walianza uchunguzi kujua nani anaandika for the Economist baada ya kosoma bandiko la Pasco. Siamini kama Pasco alikuwa na nia ya kumchongea Kabendera. Ninaamini kuwa watu wa kitengo wamekuwa wakinfuatilia Kabendera kwa muda mrefu na hatimaye wampata, japo kwa kuvunja Sheria!
 
I second you
 
Sasa kama unanukuu maneno ya standard 7 utakuwa na high price?

EMPTY SKUULED WEWE NA MSUKUMA MMEO
Ili kuonyesha we ni mjinga uelewa wako Mdogo,hujui hata ni nani anaewatukana wenzake ni wapumbavu,sasa unataka tumtaje hapa kwa jina au title ili muanze kutuwinda kama mlivyoleta Uzi mahsusi kupima upepo jamiiforums kwa Pascal.

Sasa hivi hatumtaji jina atatumaliza kwa kutumia akina mariamungu kama nyie.neno Msukuma na wapumbavu lingetosha uelewe ni nani namlenga,sasa kwa sababu ya zero brain huwezi kuelewa.
 
Mleta mada...kama ukimsoma vizuri pascal "between the line" kwenye mada zake basi utagundua hayupo kabisa upande wa jiwe...

Huo ndo ukweli! Ila pia ni rahisi kudhania kuwa anajipendekeza kwa Magu kuliko kudhania kuwa anamchongea Kabendera!
 
Namshangaa aliyeharibu tone yake la manii kukuleta duniani
 
Acha uchonganishi..Paschal Mayala aliandika alichokiona yeye ni sawa lakini kumbuka kwa mtu yoyote mzalendo hawezi kuacha kumtetea Rais Magufuli kwa mazuri mengi anayoyafanya kwa nchi yetu na aliejitoa Muhanga kuona nchi hii inafikia uchumi wa kati. Na ukisema Mayala analeta ukabila mbona mm nampenda na natambua kazi nzuri anayofanya Rais Magufuli kwani mm ni Kabila langu?? Halafu unaposema waandishi wamtenge Mayala kwani kuna mwandishi anamlisha Pascal Mayala au kumsomeshea watoto?? Mi niko upande wa Paschal Mayala kusema ukweli na kumpinga yyte anaetumika kwa namna moja ama nyingine kuichafua nchi yetu na Rais wetu mpenda JPM. Lingine kumzuia kiongozi yyte kufika kagera hiyo ni ndoto ya mchana unaota najua ukiamka utajiona ulivyokua Z..zu kuota ndoto hiyo. Ukipanick njoo hapa
 
"Always Pray feed on weak animal",
Alway nature is nature,
There is an end at every line, but also there is a cost to make a line,
A for Apple
B for Ball
But also A for Angels
And B for Boy
 
Mayalla atalaumiwa bure, circumstancial evidence hazi support tuhuma hizo, alishawahi uliza swali la msingi na kupuuzwa na ...kwa kumuita njaa, Alisha itwa ......kwa tuhuma za kuliita dhaifu na maandiko yake humu jf sikuhizi yamekua yakisadifu mtu alietishwa na mamlaka yake.

Kabendera alishindwa kusoma alama za nyakati.
Hata hivo nashauri watu waliokaribu nae wamshauri namna ya ku compromise na washtaki wake naamini kwa influence ya jammii ilivolipokea ataachiwa huru.
Jf tushauri namna anavoweza ku compromise na mamlaka kuliko kuponda mamlaka na kuleta ushabiki. Nadhani compromise ya suala hili ina maslahi mapana kwa nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…