Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

Huyu siku ile alipoambiwa maana ya Mayala ni njaa Rais aliona mbali sana
 
Mbona hujibu hoja nyingine?
Wewe Mbaguzi Mayala.
Mwandishi nguli kama wewe unaendekeza Ukada?
Pole sana, Hakuna Cha Kuisifia NEC hapo wakati wagombea wengine wanaenguliwa na wengine kutekwa.
Basi Tume iseme kuwa wale waliotekwa au kukamatwa waachiliwe kurudisha fomu kisha waendelee na kesi zao.

n waliotekwa wakiachiwa huru walete fomu zao kabla kipindi cha kampeni kuisha..


Kuwa Mkweli. Pascal
 
Neno mwanasheria nguli linatumika vibaya sana


 

Mkuu umeona post ya lini hii?
 
Futa hio mwanasheria nguli - u nguli wake upo wapi?
 
Soma Post yake ya leo hii utajua kuwa bado inaendelea kuchangiwa
 
Kijikomba kutafuta ukuu wa Wilaya kihivi,Utazeeka bila ya kuteuliwa.Hata Huyo anayeteua kwa maandiko haya anagundua mapema kwamba IQ yako Ni ndogo.HAWEZI KUKUTEUA.
 
Kama nec msingi wake ni rais inakuwaje huru
Mkuu Chiifu Kabi (kazi) Kula, hata Mahakama, Jaji Mkuu anateuliwa na rais, na mahakama inatenda haki. Hata Bunge, Katibu wa Bunge anateuliwa na rais na Bunge linatimiza wajibu wake.
NEC ni Tume Huru kwa mujibu wa katiba na sheria iliyounda Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
P
 
Ndomana h. Rungwe anawaletea ubwabwa+birian
Watu Aina hiyo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi umerudi tena!!!! amedeclare interest kama kawaida?
Mkuu Chale Mususa, naomba usisuse!, kuuliza kama uzi umerudi tena, is as if uliondoka na sasa umerudi,wakati in reality uzi huu upo na haukuwahi kuondoka.

Yes kwenye nyuzi zangu zote zenye hoja ambazo zinaweza kuleta conflict of interest, huwa nina declares interests.

Hii hoja ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa ni Tume huru, it's a straight forward issue, haina conflicts of interest hivyo haihitaji ku declare interest.
P
 
Huyu jamaa aidha yuko " very desperate" wakubwa wamwone wampe nafasi au anatumika.hawezi kutudanganya wooooooote. Yote maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…