Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!

Wanabodi,

Hii ni TV Program Alert, ambapo Tume ya Taifa ya Uchaguzi, inashiriki katika maonyesho ya kilimo ya Nane Nane katika uwanja wa Mwl. J.K Nyerere mjini Morogoro.

Ushiriki huo wa Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho, ni fursa nzuri kwa wale wote wenye madukuduku kuhusu Tume kama ni tume huru, na uchaguzi, kama ulikuwa huru na wa haki.

Kwa vile sii wote wataweza kutembelea banda hilo huko Morogoro, kwa faida ya wengi, nimetembelea banda hilo, na nitarusha vipindi maalum vya banda hilo ndani ya Nane Nane na PPR.

Leo Waziri Mkuu ametembelea banda la Tume, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva, Makamisha Mary Longway na Athina Omari, pamoja na msimamizi mbobezi, Spora Liana, watazungumzia uchaguzi uliopita.

Usikose kuangalia mfululizo wa vipindi vya Tume ya Uchaguzi kwenye Maonyesho ya Nane Nane, kipindi cha kwanza kinaanza leo saa 1:00-1:30 Star TV.

Kesho ni Channel Ten, keshokutwa ITV kisha TBC.

Karibuni msikie na kushuhudia jinsi ambavyo huwezi kudanganya matokeo ya uchaguzi wa rais, hivyo msidanganywe na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu bao la mkono kwenye matokeo ya urais!, hakuna kitu kama hicho!.

Paskali

UPDATE.
Kwa ambao hawakukiona kipindi hiki kiliporushwa kwa mara ya kwanza, leo na kesho, kuna fursa ya kuangalia marudio.

Leo Ijumaa, 05/08/2016, kipindi kitarudiwa Channel Ten, saa 2:30 usiku huu.
Kesho Jumamosi, 06/08/2016, kipindi kitarudiwa ITV saa 12:30 jioni!.

Wewe kama mwana jf, be the first to know!.

Paskali

Mleta uzi ina maana unasubiri mpaka tume itoe ufafanuzi ndio ujue kuwa sio huru? Kwa mtu yoyote mwenye akili timamu anajua tume hii sio huru, haya yanayotokea ni kusaidia wale wazito wa kuamini kuwa tume sio huru.
Mkuu tindo, kuona ni kuamini, unaweza kuangalia hiyo program na kuona jinsi uchaguzi unavyoendeshwa, na NEC japo sio Shirikishi lakini ni Tume Huru!. Kitu ambacho ni ukweli wa wazi, hakuna uchaguzi wowote very smooth, hata wa Marekani, dosari ndogo ndogo ni kitu cha kawaida, lakini dosari hizo, sio za kuathiri matokeo ya jumla ya uchaguzi. Tuambizane tuu ukweli, Tanzania kuna upinzani wowote wa maana wa kushindanisha na CCM?. Kwa track record ya JPM, kuna mtu wa kushindana nae akamshinda?.

P.
 
Mkuu tindo, kuona ni kuamini, unaweza kuangalia hiyo program na kuona jinsi uchaguzi unavyoendeshwa, na NEC japo sio Shirikishi lakini ni Tume Huru!. Kitu ambacho ni ukweli wa wazi, hakuna uchaguzi wowote very smooth, hata wa Marekani, dosari ndogo ndogo ni kitu cha kawaida, lakini dosari hizo, sio za kuathiri matokeo ya jumla ya uchaguzi. Tuambizane tuu ukweli, Tanzania kuna upinzani wowote wa maana wa kushindanisha na CCM?. Kwa track record ya JPM, kuna mtu wa kushindana nae akamshinda?.

P.
Kwa kifupi kwny matukio makubwa kama uchaguzi popote duniani huwa kunatokea changamoto ndogo ndogo.
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Huyu njaa hana lolote mpuuzi
 
Mkuu tindo, kuona ni kuamini, unaweza kuangalia hiyo program na kuona jinsi uchaguzi unavyoendeshwa, na NEC japo sio Shirikishi lakini ni Tume Huru!. Kitu ambacho ni ukweli wa wazi, hakuna uchaguzi wowote very smooth, hata wa Marekani, dosari ndogo ndogo ni kitu cha kawaida, lakini dosari hizo, sio za kuathiri matokeo ya jumla ya uchaguzi. Tuambizane tuu ukweli, Tanzania kuna upinzani wowote wa maana wa kushindanisha na CCM?. Kwa track record ya JPM, kuna mtu wa kushindana nae akamshinda?.

P.
Sasa kama ana record nzuri mbona hataki tume huru wala katiba mpya? acheni drama za kipuuzi watu wanatekwa na kuuliwa wewe unashangilia, umaskini isiwe chanzo cha kukosa akili huku tukitafuta teuzi za kijinga.
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Huyo ni mwanasheria nguli wa undumilakuwili,hajawahi shida hata kesi ya mtu kaiba kuku.
Yani ccm imejaa wachumia tumbo tu
 
Kweli kabisa Both NEC and ZEC ni huru kabisa. We see as the years go by the opposition are getting worse. The percentages keep dropping in the results, so these two organizations must be doing a very good job of being free and fair. Hongera kwao.
 
Kweli kabisa Both NEC and ZEC ni huru kabisa. We see as the years go by the opposition are getting worse. The percentages keep dropping in the results, so these two organizations must be doing a very good job of being free and fair. Hongera kwao.
Nileteeni Mayalla, Nileteeni Mayallaaa, Nileteeni Mayallaaaaaaaaaaaa....
 
Mkuu wakurochi , nimedanganya wapi?.
P
P.
Tume kuwa huru ni suala Pana Sana lenye kuhitaji busara na hekima zinazoelekeza watendaji kutii na kufuata Sheria, misingi na taratibu zilizoisimika na siyo kufuata takes la mtu aliyepewa mamlaka ya kuteua Wala chama Cha siasa!
Tume Haina wajibu wa kumuondoa mgombeaji wa nafasi walizozitangaza na badala Yake wanatakiwa wawasahihishe kwenye vigezo walivyokosea ili wakakataliwe na wapigakura! Huo ndio Uhuru wa tume. Ona ilivyofanya madudu ambayo naamini hata wewe yalikuduwaza!
Nature ya mwanasheria ni kuwa muumini wa haki siku zote! Unavyojitanabaisha kuwa mwanasheria huku ukishindwa kuiishi haki Basi utakuwa famba badala ya nguli! Wawezaje kuiona time kuwa huru huku ikiwa imekanyaga na kugalagaza haki matopeni? Nimekudiss from now on!
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu ZZK, Zitto , pokea baadhi ya nondo, zipime, mkiona zina sifa, zijumuishe katika maazimio ya kikao chenu cha TCD, leo yanayokabidhiwa Kwa kile kikosi kazi, yatue mezani Kwa Mama, ili sheria zifanyiwe mabadiliko kabla ya uchaguzi wa 2025.

NEC ni Tume huru, ifanywe tuu kuwa shirikishi.

Waliosusa waacheni wasuse, maana kama awamu ya 5, la katiba lilikuwepo kwenye ilani ya CCM, na hatukumlazinisha JPM kubadili katiba, sasa la katiba halimo kwenye ilani ya Samia, hivyo kumshiza au kumlazimisha Samia kukamilisha mchakato wa katiba mpya ni kumuonea!. Tunaweza kubadili baadhi ya sheria kandamizi na kuvibadili baadhi ya vipengele kandamizi vya katiba iliyopo, kuwezesha uchaguzi wa 2025, kuwa ni uchaguzi huru na wa haki, halafu mchakato wa katiba mpya ukaendelea, Kwa nafasi baada ya 2025.

Paskali
 
Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge.

Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba.

Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa kukutana na viongozi wa vyama vya upinzani na amemtaka mwenyekiti wa CHADEMA , Freeman Mbowe zamu yake ikifika aende bila kuweka masharti yoyote.

Source: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
teuzi zilimkosa hadi jamaa kaenda ahera....aendelee kubeti beti itaweza jibu
 
Mkuu ZZK, Zitto , pokea baadhi ya nondo, zipime, mkiona zina sifa, zijumuishe katika maazimio ya kikao chenu cha TCD, leo yanayokabidhiwa Kwa kile kikosi kazi, yatue mezani Kwa Mama, ili sheria zifanyiwe mabadiliko kabla ya uchaguzi wa 2025.

NEC ni Tume huru, ifanywe tuu kuwa shirikishi.

Waliosusa waacheni wasuse, maana kama awamu ya 5, la katiba lilikuwepo kwenye ilani ya CCM, na hatukumlazinisha JPM kubadili katiba, sasa la katiba halimo kwenye ilani ya Samia, hivyo kumshiza au kumlazimisha Samia kukamilisha mchakato wa katiba mpya ni kumuonea!. Tunaweza kubadili baadhi ya sheria kandamizi na kuvibadili baadhi ya vipengele kandamizi vya katiba iliyopo, kuwezesha uchaguzi wa 2025, kuwa ni uchaguzi huru na wa haki, halafu mchakato wa katiba mpya ukaendelea, Kwa nafasi baada ya 2025.

Paskali
Ujinga

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Yohane Mbatizaji, hoja yangu hii inaendelea kuunga mkono

Mkuu Mhe. Mwigulu Nchemba, asante sana kulizungumzia hili la Tume huru ya uchaguzi.

Tupo pia tuliolizungumza sana lakini Watanzania wanahitaji kuelimishwa kikamilifu kuhusu hili ili lieleweke vizuri, na hata Watanzania wenyewe kwa ridhaa zao na kwa ujumla wao, kwenye uchaguzi wa October, waki amua kuichagua CCM tuu and only CCM katika uchaguzi Mkuu huru na wa haki na bila waangalizi wowote kutoka nje, hivyo CCM ndio pekee ikachaguliwa naomba tuu watuelewe.

Hili la Tume huru tumelijadili sana humu

Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

TV Prog. Alert: Tume ya Uchaguzi, NEC, Yajibu Hoja za JF Kuhusu Uchaguzi Huru na Wa Haki!

Kailima Ramadhan: Uchaguzi 2015 ulikuwa huru na wa haki, CHADEMA imeshindwa kihalali! Hakuna upendeleo kwa CCM, NEC ni Tume huru

Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz

TV Program Alert: Msidanywe na Wanasiasa Kuhusu Uchaguzi Mkuu: Ulikuwa Huru na wa Haki!. Shuhudia!

Ila naomba siku ukipata muda au nafasi, urejee kwenye bandiko lako hili,
Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020
Kuna swali hujalijibu ila pia you are free kutoyajibu depending on how busy you are.
P
sasa ulisifia nini Pascal? CCM hawawezi kuachia nchi kwa uchaguzi..........nilijua na nimetoa harsh comment kwako maana kwa level yako unajua fika kuwa ccm haiwezi kuleta tume huru maana wanajua ikiwepo wanaondoka....
Tatizo la Tume yetu ya uchaguzi ni tume huru ila ilikuwa sio shirikishi!, kwenye muswada huu bado sijauona huo ushirikishi, hivyo huu ni mvinyo ule ule wa zamani ila kwenye chupa mpya!.

P
 
Back
Top Bottom