Pascal Mayalla tafadhali Jumamosi tuletee wataalamu wa sheria tujadili "Uhalali" wa ubunge wa Cecil Mwambe na Nimrod Mkono

Mkuu kama umeshindwa kuelewa facts zilizotolewa kwenye posts mbalimbali humu hata jumamosi wakimwalika Malaika hutoelewa na hutokubali.
 
May 15, 2020
Dodoma, Tanzania

Spika Job Ndugai - Nimrod Mkono ni mgonjwa muda mrefu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania, Mh. Job Ndungai, amesema bungeni kuwa mbunge na mwanasheria nguli Mzee Nimrod Elireheema Mkono ni mgonjwa kwa kipindi kirefu sana na ndiyo maana hajaonekana akihudhuria vikao vya Bunge kwa muda mrefu.


Source : ABC Habari

NIMROD MKONO

Tanzanian Member of Parliament
Advocates. Mkono & Co Advocates was founded in 1977 by the Firm's Managing Partner, Honourable Nimrod E. Mkono and remains the leading transactional law practice in Tanzania and East Africa. Mkono & Co. Advocates , Commonwealth Governance Partner
c.c johnthebaptist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…