johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naelewa kuwa wewe Pascal na mwenzio Dotto ni members humu na mmekuwa mkilipa umuhimu wa juu hili jukwaa katika kipindi chenu cha Jicho letu ndani ya habari.
Nakumbuka hata juzi ulimuuliza waziri wa habari mh Mwakyembe juu ya misukosuko ya kimahakama anayokumbana nayo mkurugenzi wa Jf mh Max.
Nikuombe tu kama kuna uwezekano kipindi kijacho tuletee ama wanasheria wabobezi au wanasiasa /wanahabari nguli watudadavulie hii sintofahamu ya ubunge wa Cecil Mwambe na ikiwezekana hata uhalali wa mbunge Nimrod Mkono ambaye hajaonekana bungeni kwa muda mrefu sana.
Mungu awabariki sana
Maendeleo hayana vyama!
Nakumbuka hata juzi ulimuuliza waziri wa habari mh Mwakyembe juu ya misukosuko ya kimahakama anayokumbana nayo mkurugenzi wa Jf mh Max.
Nikuombe tu kama kuna uwezekano kipindi kijacho tuletee ama wanasheria wabobezi au wanasiasa /wanahabari nguli watudadavulie hii sintofahamu ya ubunge wa Cecil Mwambe na ikiwezekana hata uhalali wa mbunge Nimrod Mkono ambaye hajaonekana bungeni kwa muda mrefu sana.
Mungu awabariki sana
Maendeleo hayana vyama!