Sijabadilika popote wala chochote, Pasco ni yule yule, juzi, jana na leo.Pascal amebadilika once again. Maisha yanaenda kasi sana
Mmmhh, hivi unadhani hatukuona nyendo zako?Sijabadilika popote wala chochote, Pasco ni yule yule, juzi, jana na leo.
P
Mtu ni unajijua mwenyewe ukoje from deep inside yourself na sio watu wanakuonaje! Mimi ndio Pasco mwenyewe, ninakuambia hapa, sijabadilika, mimi ni yule yule, juzi, jana na leo, ila be free to assume anything.Mmmhh, hivi unadhani hatukuona nyendo zako?
Kazi iendelee tumuombee walau tupate DC wa JFHivi ndivyo ukuu wa wilaya unavyotafutwa
Mtu ni unajijua mwenyewe ukoje from deep inside, na sio watu wanakuonaje!. Mimi ndio Pasco mwenyewe, ninakuambia hapa, sijabadilika, mimi ni yule yule, juzi, jana na leo, ila be free to assume anything.
P
Unataka atoe mimacho na kuwafokea mabeberu (waliokuwa wanatoa chakula kwa bosi wake) kama Kabudi?Nakubaliana na mchambuzi 100% kwa Bashiru, but what has Mulamula done?
Just another hopeless human being winnning public support based on her qualifications but useless professional.
What do you know about penetrating the us market in any industry?Unataka atoe mimacho na kuwafokea mabeberu (waliokuwa wanatoa chakula kwa bosi wake) kama Kabudi? Au afanye ule upuuzi wa kunywa zile takataka za Madagascar? Tumetoka kwenye hizo siasa za kijinga za maigizo na propaganda, kubali tu hii ni new era na moyo wako utatulia.
Huyo Mama si ana miezi miwili tu kaka ofisini? How can we judge her now?What do you know about penetrating the us market in any industry?..