Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umebadilika..kwan uongo.!! Wakati jpm ameingia ulionekana kutokubaliana na sera zake za vyombo vya habari..ila baada ya kutafsiri jina lako kwa kisukuma kwamba mana yake ni njaa.Sijabadilika popote wala chochote, Pasco ni yule yule, juzi, jana na leo.
P
uliongea point mkuu,Hii ni yesterdays news!.
P![]()
Ubunge wa Bashiru Ali, wachambuzi wanasemaje? – DW – 01.04.2021
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge. Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii? Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina...p.dw.com
Raisi ni taasisi sio mtu mmoja, raisi kama kiongozi wa taasisi anatakiwa kuwa na agenda yake ambayo wasaidizi wanatakiwa kumwelekeza njia sahihi ya kutimiza agenda zake kwa njia sahihi.Sidhani kama kuna haja ya kujimwambafai mzee, umeanza vizuri but unamaliza hovyo na "try me" and "distoy". Huyo Mulamula apewe muda, akichemka ataondolewa, Sidhani kama Samia ni mtu anayeweza kukaa na mteule goigoi. Kwa muda mfupi kaonesha naye ana guts (Rejea suala la Sabaya, chalamila, Kakoko na watu wachache ambao ameshawaondoa hadi wakati huu). Tangu achukue nchi sijaona bado mteule wake anayepiga maboko waziwazi naye anamchekea. Let's wait and see.
We una chuki binafsi na Na balozi Mulamula itakuwa,Nakubaliana na mchambuzi 100% kwa Bashiru, but what has Mulamula done?
Just another hopeless human being winnning public support based on her qualifications but useless professional...
What has she done?We una chuki binafsi na Na balozi Mulamula itakuwa,
Acha choyo na wivu. Muache waziri wetu afanye kazi yakeNakubaliana na mchambuzi 100% kwa Bashiru, but what has Mulamula done?
Just another hopeless human being winnning public support based on her qualifications but useless professional...
Mweh but don’t give her the credits she doesn’t deserve; nina uhakika Yericko Nyerere has more depth on security rationale kuliko Mulamula.Acha choyo na wivu. Muache waziri wetu afanye kazi yake
Mtu ni unajijua mwenyewe ukoje from deep inside, na sio watu wanakuonaje!. Mimi ndio Pasco mwenyewe, ninakuambia hapa, sijabadilika, mimi ni yule yule, juzi, jana na leo, ila be free to assume anything.
P
Ni kawaida ya Watz na sioni ajabuPascal amebadilika once again
Maisha yanaenda kasi sana
Hayo ni maoni yako, ila system haifanyi kazi kama unavyofikiria wewe, kwamba kila mpiga kelele anafaa kupewa cheo flani. Naamini hilo suala la Yericko you are just joking.Raisi ni taasisi sio mtu mmoja, raisi kama kiongozi wa taasisi anatakiwa kuwa na agenda yake ambayo wasaidizi wanatakiwa kumwelekeza njia sahihi ya kutimiza agenda zake kwa njia sahihi..
Uccm umeuacha au baada ya kuona uteuzi haupo umeuona uwe upande wetu tenaSijabadilika popote wala chochote, Pasco ni yule yule, juzi, jana na leo.
P
Mimi ni Kada wa kweli wa Chama cha Mapinduzi, karibu unisikie ni kada wa aina ganiUccm umeuacha au baada ya kuona uteuzi haupo umeuona uwe upande wetu tena
Vile vi Uzi vyako vya kumsifia jiwe hata katika mambo ya kipuuzi umeacha labda kwa sababu hayupoMtu ni unajijua mwenyewe ukoje from deep inside yourself na sio watu wanakuonaje!. Mimi ndio Pasco mwenyewe, ninakuambia hapa, sijabadilika, mimi ni yule yule, juzi, jana na leo, ila be free to assume anything.
P
Unataka awa attract wachina we boya nn Sera za wachina zilikwenda na mwenda zakeNakubaliana na mchambuzi 100% kwa Bashiru, but what has Mulamula done?
Just another hopeless human being winnning public support based on her qualifications but useless professional...
Hiyo siyo kazi ya mulamulaPascal Mayalla, mifumo haijengwi kwa kuteua na kuweka watu wenye professionalism ktk nafasi zao stahiki kama akina Mulamula. .Bali hujengwa kwa kuweka sheria, kanuni na taratibu madhubuti zitakazopelekea kujengeka kwa nguvu ya kitaasisi...
Yericko has depth kushinda Mulamula that’s a fact.Hayo ni maoni yako, ila system haifanyi kazi kama unavyofikiria wewe, kwamba kila mpiga kelele anafaa kupewa cheo flani. Naamini hilo suala la Yericko you are just joking.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiwaambia Bwana Paskalj Ni mpuuzi muwe mnaelewa[emoji116]
Mebeberu wana malengo na Tanzania? Waanza uzushi wa fujo baada ya JPM, CCM Kushinda. Wamzushia Magufuli ni dikteta. Kwanini tunanyamaza?
Wanabodi, Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya? Kabla ya hapo...www.jamiiforums.com