Mkuu, ni kweli hujabadilika kwa maana bado ni Pascal na ukijitokeza tu popote tunakutambua ni wewe. Permanance ni nature ya kimbe chochote but as time goes on changes within a natural being is inevitable, biologically and socially.Sijabadilika popote wala chochote, Pasco ni yule yule, juzi, jana na leo.
P
Yani huyu mama Bora ya kabudi kwa jinsi nilivo mfatilia hata ongea yake ni tabu tupu kulinganisha na hyo CV yake alivopambwa had nikawaza alikuwa kweli huko nje ya nchi au alikuwa madongo kuinama?I agree with you ili ndio tatizo letu tunapenda kukuza watu sana based on their academic achievements wakati hatujui hata grades zao and so forth; wakati watu wenyewe ukiwasikiliza au ukiwafanyia performance appraisal hakuna results.
Mulamula is just an average diplomat, tofauti anavyotaka kukuzwa; Yericko is more security conscious kuliko yeye.
AMENPascal Mayalla, mifumo haijengwi kwa kuteua na kuweka watu wenye professionalism ktk nafasi zao stahiki kama akina Mulamula. Bali hujengwa kwa kuweka sheria, kanuni na taratibu madhubuti zitakazopelekea kujengeka kwa nguvu ya kitaasisi.
Huyu mama binafsi nitamkubali endapo atabadilisha katiba ili kupunguza mamlaka ya rais ya kuteua karibu kila mkuu wa taasisi, idara, mashirika na vyombo vya ulinzi na usalama. Hapa ndiyo panaharibu mifumo ya utendaji kazi.
Watu wanafika mahala wanatumikia vyeo kinyume na matakwa ya elimu zao ili kumfurahisha aliyewateua.
Bila katiba mpya hakuna mifumo ya kiuongozi atakayojenga mama SSH.
🤣 🤣🤣🤣Kwa hiyo sasa hutaki tena kukumbuka jinsi ulivyokuwa unajitahidi kuupaka rangi UDIKTETA ili sio tu kuupendezesha bali pia kuweka mzingira ya 'kutosahauliwa'?. Kama ni kweli basi ninakutakia heri ingawaje itabidi kukuangalia kidogo kabla sijakuamini.Mtu ni unajijua mwenyewe ukoje from deep inside yourself na sio watu wanakuonaje! Mimi ndio Pasco mwenyewe, ninakuambia hapa, sijabadilika, mimi ni yule yule, juzi, jana na leo, ila be free to assume anything.
P
Pasko ni mchambuzi?Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge.
Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii?
Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina kuhusiana na kile kinachoonekana kama anguko la msomi huyo.
View attachment 1817783
mbona unahangaika sana yaani unabadilikabadilika hata hueleweki tu umepoteza imani kwetu umekuwa Masaka madaraka leo unamsifia mamaRais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge.
Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii?
Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina kuhusiana na kile kinachoonekana kama anguko la msomi huyo.
View attachment 1817783
Ni kweli ujabadilika sababu bado Ni MNAFIKI MKUBWASijabadilika popote wala chochote, Pasco ni yule yule, juzi, jana na leo.
P
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge.
Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii?
Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina kuhusiana na kile kinachoonekana kama anguko la msomi huyo.
View attachment 1817783
Hiyo sasa ni husda. Kwani mama Mulamula kawakosea nini mpaka mumchukie hivyo.Huyu mulamula ana CV kubwa Ila hata kusoma hotuba ilikuwa Ina mshinda pamoja na pronunciation zisizoeleweka
Wow!Yani huyu mama Bora ya kabudi kwa jinsi nilivo mfatilia hata ongea yake ni tabu tupu kulinganisha na hyo CV yake alivopambwa had nikawaza alikuwa kweli huko nje ya nchi au alikuwa madongo kuinama?
Yule mother hamna kitu pale too much kupambwa heri ya kabudiWow!
Nilidhani ni mimi tu niliyekuwa namwona hayuko jinsi vile baadhi ya watu wanavyompamba!
Mimi simchukii huyo mother Ila jinsi alivopombwa humu na CV yake Mara new York sijui Nini lakini hata kusoma hotuba anatetemeka, bad pronunciation ni shida kwa kweliHiyo sasa ni husda. Kwani mama Mulamula kawakosea nini mpaka mumchukie hivyo.
Wewe mnafiki sanaHii ni yesterdays news!
PUbunge wa Bashiru Ali, wachambuzi wanasemaje? – DW – 01.04.2021
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge. Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii? Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina...p.dw.com