Paschal Mayalla ni vyema atambue wanachodai CHADEMA sio ‘huruma ya Rais’ bali ni haki yao

Paschal Mayalla ni vyema atambue wanachodai CHADEMA sio ‘huruma ya Rais’ bali ni haki yao

Impactinglife

Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
41
Reaction score
99
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayala wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod
Mjadala wa leo wa moto sana
 
Hakuna mamlaka inayoweza kuleta hayo mnayotaka zaidi ya Rais!

Dharau zenu hazitawapa chochote! Hakuna nguvu ya Umma Wala upuuzi mwingine unaofanana na huo unaoweza kuleta hilo mnalotaka!

Kawaulizie wakina Marando, Lowasa, Sumaye hata Mbowe!
Mnajidanganya!
 
Watanzania wazalendo kwa nchi yao wanajiuliza kwa jinsi jua lilivyokali mwaka huu hivi ingekuwaje mgao wa umeme kama Hayati Magufuli asingejenga bwawa la umeme la mwl Nyerere?.
Ni majenereta mangapi yangeingizwa? Zingezaliwa Richmond ngapi?
Mwaka huu mvua ni chache nchi nzima na jua linatandika kwelikweli kiasi kwamba wakulima wamekosa mazao yao kwa kukauka shambani, lakini bado mafisadi yanaona aibu kutangaza mgao wa umeme kwa sababu wanaogopa watawaambia nini Watanzania kwa sababu wanajua bwawa lao la umeme walilojengewa na Rais wa wanyonge limekamilika na linauwezo wa kutoa megawati 2115.
Mafisadi kwa vikao vyao yanajiuliza sasa tutakula wapi? Na yanapofikia hiyo hatua humlaani Hayati Magufuli kwa kuanzisha ujenzi wa bwawa hilo na yakimaliza yanamlaani pia Rais Samia kwa kukubali kumalizia miradi yote iliyoachwa na Magufuli ikiwemo hilo bwawa la umeme.
Matarajio ya mafisadi ilikuwa ni kwamba pale tu Magufuli alipofariki na ujenzi wa bwawa ungeishia hapo.
 
Ukweli ni kwamba Paschal yuko kwenye mission maalumu ya kutumia kalamu yake ili kuwaaminisha watu kuwa mageuzi Tanzania hayawezekani mpaka rais aamue.Paschal Mayala ,historia ya nchi hii itakuhukumu kama mmoja wa watu wanaoshabikia unyongwaji wa demokrasia na wizi wa kura.
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Pascal Mayalla ni chawa wa mama, CHAWA lialia
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Pascal Mayalla
 
Mbona Mama huwa hapendi kuitisha mkutano na waandishi wa Habari?
Anaitisha anaongea nini? Huoni mikutano anayofanya? Huoni shughuli za kila siku.
Anaitisha aongee nini? Always ypo na waandishi wa habari kila kukicha.
Utaitisha waandishi wa habari uweke nao mkutano only if una jambo nao. Lissu ndio anachofanya. Anajambo anataka liruke ndio maana anaita mikutano, samiah kila siku yupo nao. Mikutano kila siku.
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mtoa mada kuwa makini na hy bangi unapouziwa, itakuwa wanachanganya na makapi.
Hayo mambo ya tundu lisu anayoongea mtatekeleza lini...

Kubali tu kuna mzungu alikuwa anayaNOTE hapo ataenda kutekeleza kwenye nchi yake...

Ikiwa amerika itapendeza ni aina nyingine ya utumwa😂😂😂😂Tunachukiana bure Utumwa uliisha lini😂😂😂💊💊💊💊💊💊💊💊💊💉💉💉💉💉💉💉usiku💉💉💉💊💊💊
 
Back
Top Bottom