Paschal Mayalla ni vyema atambue wanachodai CHADEMA sio ‘huruma ya Rais’ bali ni haki yao

Paschal Mayalla ni vyema atambue wanachodai CHADEMA sio ‘huruma ya Rais’ bali ni haki yao

Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Na sio haki ya CDM pekee,Bali ni haki na hitaji la wananchi.
 
Anaulizwa maswali gani? Yeye ni raisi, maswali gani wewe utamuuliza.
Wapo wateuliwa wake, ndio watoa majibu, yule ni raisi aisee😂😂😂msijisahau.
Raisi anatoa taarifa kwa niia rasmi either hotuba au mkutano uliopangwa.
Na duniani kuepuka maswali ya hapo kwa hapo, yanaweza chafua taswira au kuleta usiasa ndani. Yake. Yaani raisi yukoprone hivo, trump na yule wa ufaransa aaam atleast they try, kikwete alijitahidi nae. Ila wengi hapana raisi hawezi fanya unachosema. Ni a very big brand , president yyte.
So hata wewe ukiwa raisi protocol ya kwanza sio kuropoka ropoka.
Kiwango chako cha elimu ni kidogo sana. Rais wa nchi anatakiwa kuulizwa maswali na kuyatolea ufafanuzi, angalia Rais wa Marekani anavyofanya ziara zake anakuwa anaulizwa maswali popote pale alipo. Fuatilia mambo. Rais wetu ni mungu mtu kila kitu kipo chini yake.
 
Hatujasema bila Reforms tutasusia, tumesema bila reforms tutahakikisha Uchaguzi haufanyiki kabisa.
Good strategy but unattainable,mamlaka imeamua kupuuza,CCM nayo kwa kupitia Wasira imeyapuuza.
Bunge nako si covid19 wala mbunge wenu mmoja wa jimbo wanaekoleza muswaada bungeni.
Wananchi nao wako busy kusaka mkate.
Katika mazingira kama hayo imegeuka vita ya chama kimmoja vis umma.
Vyama vingine navyo havijajitokeza kuunga mkono hoja ya Chadema.

Kwa lugha ya Raisi Trump you have no card to set a deal.
Tafuta njia ya mazungumzo na mkuu wa nchi mapema iwezekanavyo kabla bunge alijavunjwa.
Kwani yajayo yanasikitisha.....
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Bahati mbaya PM hajui kuwa kwenye zile 4R imo REFORM ambayo kwa bahati mbaya aliyependekeza 4R halijui hilo! Ndiyo maana niliwahi kusema hizo 4R zilifyatuka kwa bahati mbaya tu kutoka kwenye mtutu. Pamoja na yote ujue huyo PM haipendi Chadema na hasa Mbowe na Lissu.
 
Kiwango chako cha elimu ni kidogo sana. Rais wa nchi anatakiwa kuulizwa maswali na kuyatolea ufafanuzi, angalia Rais wa Marekani anavyofanya ziara zake anakuwa anaulizwa maswali popote pale alipo. Fuatilia mambo. Rais wetu ni mungu mtu kila kitu kipo chini yake.
Kwahiyo hujaona nimeongelea kwamba trump hufanya hivo. Alafu weee huna akili wewe. Hujui kusoma au. Mimi nimeongelea maraisi wengi hawafanyi hivo na nimetoa sababu. Mpuuzi wewe, uwe unasoma. Ushawahi ona interview ya kagame, magufuli, raisi wa brazil? Gadaffi au ramaphosa. Umewahi ona kama hizi za mwenyekti weny wa chadema. Use your common sense madafaka. Soma nilichoandika kenge blu ww
 
Hakuna mamlaka inayoweza kuleta hayo mnayotaka zaidi ya Rais!

Dharau zenu hazitawapa chochote! Hakuna nguvu ya Umma Wala upuuzi mwingine unaofanana na huo unaoweza kuleta hilo mnalotaka!

Kawaulizie wakina Marando, Lowasa, Sumaye hata Mbowe!
Mnajidanganya!
Hizi ni dharau za wazi dhidi ya Umma wa Watanzania.
Nguvu ya umma iliyotumika kwenye '"arab springs" hukuiona au hukuielewa!!??

Kweli madaraka huleta kiburi.
Kiburi chako hakika kipo mwishoni mwishoni.
 
Back
Top Bottom