Paschal Mayalla ni vyema atambue wanachodai CHADEMA sio ‘huruma ya Rais’ bali ni haki yao

Paschal Mayalla ni vyema atambue wanachodai CHADEMA sio ‘huruma ya Rais’ bali ni haki yao

Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Pascal yupo sahihi kuna matakwa ya Chadema lakini kumbuka pia CCM wana matakwa yao, ni wengi na yako wanayoyapenda wao. Shida ya Chadema wanadhani ya kwao tu ndio yatekelezwe hawajui majority ambao ni CCM pia wanayao wanataka yabakie. Chadema wajipange sana siasa za kiharakati hawafiki mbali.... zitaishia kwenye mitandao tu.
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Bila kupiga magoti HAKUNA No Reform, No Election na hakuna mtu yeyote atafanya chochote nchi hii zaidi ya kuropoka kama anavyoropoka Lissu. Lissu ni mtu "mdogo sana" kuwa na impact yoyote nchi hii.
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
P ni kaka yangu wa Ilboru. Naona tatizo la bro ni kama vile muda umempita ! Tatizo ni kwamba viongozi wa sasa hawana zile busara tena ni waongo
 
Ungewasikiliza CHADEMA leo usinge comment hivi... Aliyetoka Kwenye Meza ya majadiliano SIO CHADEMA ni CCM baada ya kukataa hoja zote walizojadili hapo Mwanzo... Let's put politics aside CCM Wana dai nini huku Mfumo mzima unawabeba...Lunatic!
Pascal yupo sahihi kuna matakwa ya Chadema lakini kumbuka pia CCM wana matakwa yao, ni wengi na yako wanayoyapenda wao. Shida ya Chadema wanadhani ya kwao tu ndio yatekelezwe hawajui majority ambao ni CCM pia wanayao wanataka yabakie. Chadema wajipange sana siasa za kiharakati hawafiki mbali.... zitaishia kwenye mitandao tu.
 
Anaitisha anaongea nini? Huoni mikutano anayofanya? Huoni shughuli za kila siku.
Anaitisha aongee nini? Always ypo na waandishi wa habari kila kukicha.
Utaitisha waandishi wa habari uweke nao mkutano only if una jambo nao. Lissu ndio anachofanya. Anajambo anataka liruke ndio maana anaita mikutano, samiah kila siku yupo nao. Mikutano kila siku.
Yes anatembea nao lakini huwa hatoi nafasi yakuulizwa maswali.
Yeye ni kuongea tu then ana sepa zake.
 
Yes anatembea nao lakini huwa hatoi nafasi yakuulizwa maswali.
Yeye ni kuongea tu then ana sepa zake.
Anaulizwa maswali gani? Yeye ni raisi, maswali gani wewe utamuuliza.
Wapo wateuliwa wake, ndio watoa majibu, yule ni raisi aisee😂😂😂msijisahau.
Raisi anatoa taarifa kwa niia rasmi either hotuba au mkutano uliopangwa.
Na duniani kuepuka maswali ya hapo kwa hapo, yanaweza chafua taswira au kuleta usiasa ndani. Yake. Yaani raisi yukoprone hivo, trump na yule wa ufaransa aaam atleast they try, kikwete alijitahidi nae. Ila wengi hapana raisi hawezi fanya unachosema. Ni a very big brand , president yyte.
So hata wewe ukiwa raisi protocol ya kwanza sio kuropoka ropoka.
 
Mawazo ya Heche, Tundu Lisu na Mnyika ukimuuzia mzungu anaweza kukupa €330,000,000 naenda zangu kuyauza fasta

👑👑👑👑utumwa wa dhahili👑👑👑👑Hayaji kutekelezwa👑👑

Hayo mambo ya tundu lisu anayoongea mtatekeleza lini...

Kubali tu kuna mzungu alikuwa anayaNOTE hapo ataenda kutekeleza kwenye nchi yake...

Ikiwa amerika itapendeza ni aina nyingine ya utumwa😂😂😂😂Tunachukiana bure Utumwa uliisha lini😂😂😂💊💊💊💊💊💊💊💊💊💉💉💉💉💉💉💉usiku💉💉💉💊💊💊
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mbona hakuna anayesema CCM wafanye nini yaani chaguzi mbovo halafu tunalaumwa wanaotekwa n kuibiwa kura bila kuhoji wahusika wakuu. Ni lini hawa wanahabari wamemuhoji Samia kuhusu haki na demokrasia? Mnasema utamaduni
 
Pascal yupo sahihi kuna matakwa ya Chadema lakini kumbuka pia CCM wana matakwa yao, ni wengi na yako wanayoyapenda wao. Shida ya Chadema wanadhani ya kwao tu ndio yatekelezwe hawajui majority ambao ni CCM pia wanayao wanataka yabakie. Chadema wajipange sana siasa za kiharakati hawafiki mbali.... zitaishia kwenye mitandao tu.


Kwa wanaopenda nchi kweli tungeona wanahoji hao watu wa serikali na kudai sheria bora, uhuru, na demokrasia
 
Hakuna mamlaka inayoweza kuleta hayo mnayotaka zaidi ya Rais!

Dharau zenu hazitawapa chochote! Hakuna nguvu ya Umma Wala upuuzi mwingine unaofanana na huo unaoweza kuleta hilo mnalotaka!

Kawaulizie wakina Marando, Lowasa, Sumaye hata Mbowe!
Mnajidanganya!
Unadhani kila siku ni ijumaa?
 
Wakuu nipo Live Jambo Tv namsikiliza Mheshimiwa Tundu A. Lissu Juu ya No reform no election akichambua kiundani matatizo ya kimfumo na kikatiba ya Mfumo wa uchaguzi na jukwaa la wahariri Tanzania.

Kuna huyu ndugu Paschal Mayalla wakati WA maswali na majibu Kwa mh. Lissu ameuliza swali ambalo halina maana ya dhima nzima ya mkutano huo. Anadai Kwanini CHADEMA msiende kumpigia rais magoti badala ya kutumia Njia Ambazo sio sahihi mkiomba uchaguzi uwe huru na haki kwani rais ni msikivu. Paschal anafanya makusudi au mahaba yamemzidi hajui kuwa rais ni candidate ambaye Naye Anataka ashinde uchaguzi huo how come atawasikiliza CHADEMA!?? Pili issue ya mabadiliko haitakiwi iwe Kwenye huruma za mtu as if he or she is Demigod

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kulinda na Kuitetea amani yetu sio jambo la kuoneana huruma bali ni jambo la msingi kabisa, lenye uzito tofauti kabisa na mambo yenu ya katiba na uchaguzi
 
Ungewasikiliza CHADEMA leo usinge comment hivi... Aliyetoka Kwenye Meza ya majadiliano SIO CHADEMA ni CCM baada ya kukataa hoja zote walizojadili hapo Mwanzo... Let's put politics aside CCM Wana dai nini huku Mfumo mzima unawabeba...Lunatic!
Ndio maana ya majadiliano, majadiliano ni kukubaliana na kukataliana. Nimesikiliza waliotoka ni Chadema ndio katibu mkuu kasema., Kwa mujibu waliyapitia yale waliyodhani mepesi japo yalichukuwa muda lakini walikubaliana ndio kaama mikutano na mengine kisa Chadema katika yale magumu baada kuona yanachukuwa muda mrefu wakasema tumeshaongea sana basi tutatuma barua na mtujibu kwa barua, sasa hapo nani aliyejitoa? hoja yako kukataliwa sio kushindwa mazungumzo ni sehemu. Nadhani nimekujibu Chadema ndio waliosusa.
 
Back
Top Bottom