Basi ni kipanga hatarii....wampe jimboNasikia alirudi tena kusoma baada ya miaka zaidi ya kumi na kugraduate kwa GPA kali sana
Pascal Mayalla wewe ni mtabiri, mbashiri, nabii au trend reading analyst?Nilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.
Nikaja kukutane nae UDSM akisoma LLB na mimi nikisoma kozi ngumu kuliko zote pale chuoni, namkumbuka akinesanesa na pikipiki lake viunga ya UDSM au Mabibo Hostel nilipokuwa naishi.
Mwaka 2005 Au 2006 NIlikuwa napata lunch Hill Park, tukajikuta tuko meza moja, ila kwa vile alikuwa star sikumshobokea, Kama ilivyo desturi yangu ya kuwakaushia mastaa so hanijui, simjui.
Kwa bahati mbaya wote tulidisco chuo,Mimi nilidisco sababu ya ugumu wa masomo ila mwenzangu nasikia ilikuwa ni figisu figisu tu za prof mmoja sio sababu ya uwezo mdogo.
Baada ya kudisco nikakimbia nchi tena kwa mara ya pili. Sikuwahi kumuona tena zaidi ya kumsoma JF na mimi siangalii TV sijui yuko TV gani siku hizi.
Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.
Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu. Nafahamu yeye ni mkatoliki Mzuri ila afungue tu kanisa atapata wafuasi. Nafahamu pia anapenda siasa, madhabahuni pia ni sehemu sahihi ya kupiga siasa kama akina Mama Rwakatale, Kakobe, Gwajima, Pengo, Mtikila, Sheikh Ponda, Alhad Musa wote hao wanapiga siasa kwenye mimbari.
Atumie hilo pepo la utambuzi au roho mtakatifu aliyenae kuwafikia wengi.
Maana kila utawala unamsukumia kambo utadhani hana kitu kichwani na kwa umri wake sitegemei kuona akipata teuzi,
Ni ushauri tu.
Yuko vizuri kwa kweliPasco yuko vizuri kwakweli sema ndio hivo hatujui kiundani what really the obstacle behind
Ila kuna mda nae anasahau kabisa professional yake anaanza kushabikia pumba za ccm kuwin teuzi. He should learn the strong men are those who stend alone
Inaelekea yeye ndio alikuwa kichwa kwenye hiyo kozi ngumuKozi ngumu kuliko yote ni ipi?
Habari nyeti hawezi pata mtu back,unaweza kuwa unatumiwa na system Kwa kujua au kutojua Kwa kutumia hiyo hiyo career Yako Kwa sababu maalumuhivi kwanini kila mtu hapa bongo huwa anahusishwa na ushushushu. hamna kitu kingine cha kumfananishia mtu mpaka huo ushushushu. na huwa mnawajuaje hao mashushushu...? kama sio wenzenu...?
Wanajeshi,Tiss na TRA ndio wanashobokewa sana 🤣🤣Wabongo wanawashobokea sana watu wa mfumo sjui kitengo
Wanawaona watu wa ajabu
Ova
Mitandao siku hizi inafanya yote. Ukitumia mtandao vizuri hizo habari wanazoziona nyeti utakuwa wakwanza kuzipata🤣🤣🤣Habari nyeti hawezi pata mtu back,unaweza kuwa unatumiwa na system Kwa kujua au kutojua Kwa kutumia hiyo hiyo career Yako Kwa sababu maalumu
Toa upuuzi,Siri za Serikali ziko mtamdaoni?Mitandao siku hizi inafanya yote. Ukitumia mtandao vizuri hizo habari wanazoziona nyeti utakuwa wakwanza kuzipata🤣🤣🤣
Ndio...tatizo unajifungia ndani...Kuna majukwaa ukienda hizo Siri unakutana nazo au zinakufuata zenyewe. Jitahidi walau siku Moja Moja uwe unapenda kunywa maji ya kunywa pale Mamboz...chai unywe orchid, na chakula Cha mchana update pale epido. Hazitokua Siri 🤣🤣🤣Toa upuuzi,Siri za Serikali ziko mtamdaoni?
Kwani dunia hii ina siri, baada ya magu kufa kuna ambaye hakujua kuwa amekufa, kabla ya kitangazwa rasmiToa upuuzi,Siri za Serikali ziko mtamdaoni?