Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Pascal Mayalla ni mtu makini sana. Vijana wa kileo tungelijifunza namna bwana huyu anavyoshauri bila kwa ujasiri bila hofu. Tanzania ingelikuwa mbali katika nyanja nyingi.

Mzee huyu sio mnafiki, nyeusi anaita nyeusi haijalishi kasimama mbele ya nani.

Huyu ni mtu muhimu kwa watawala kuwa nae karibu kwa ajili ya kuwashauri.

Hana uchawa, huyu angelimsaidia sana Mhe. Rais kumueleza tabia za wateule kabla Rais hajaingia aibu ya kuteuwa asubuhi na kutengua jioni.

Mzee huyu ni wakwenda nae vitani, huwa namfananisha na Kapt. George Mkuchika namna asivyochuja.
 
Pascal Mayalla wewe ni mtabiri, mbashiri, nabii au trend reading analyst?
 
hivi kwanini kila mtu hapa bongo huwa anahusishwa na ushushushu. hamna kitu kingine cha kumfananishia mtu mpaka huo ushushushu. na huwa mnawajuaje hao mashushushu...? kama sio wenzenu...?
Habari nyeti hawezi pata mtu back,unaweza kuwa unatumiwa na system Kwa kujua au kutojua Kwa kutumia hiyo hiyo career Yako Kwa sababu maalumu
 
Toa upuuzi,Siri za Serikali ziko mtamdaoni?
Ndio...tatizo unajifungia ndani...Kuna majukwaa ukienda hizo Siri unakutana nazo au zinakufuata zenyewe. Jitahidi walau siku Moja Moja uwe unapenda kunywa maji ya kunywa pale Mamboz...chai unywe orchid, na chakula Cha mchana update pale epido. Hazitokua Siri 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…