hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
leo nitakuja
leo nitakuja
saa ngapi?
Kwa niaba ya JF family nasema ahsante!
Mgeni huyo afundishwe kuvinjari JF mapema.
Hahaaa pole Excel...
mi nshakusoma bana!! ntakuwa sji hivi hivi kwenu!
ntakuwa nna bullet proof, bandeji, painkiller, chapa shoka, salimia, action, na dawa zoote za kutuliza maumivu!!
mwanamke gani wewe unapiga ngumi namna hiyo? eeenh!
Hahaa uje na gari la wagonjwa kabisa....
na mitaa yenu ilivyo undefined, bora niite ffu wawe karibu kabisaa!!