Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo?

Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo?

Nakubaliana na wewe..
Zipo factor zinazoweza kuathiri mwendokasi wa chombo katika Physics unaelewa nachomaanisha hata usafirishaji wa sauti au wave vipo vikwazo vinavyoweza kuathiri katika mwendokasi ,factors kama aina ya njia kama mwinuko lazima utaathiri mwendo wa chombo chako hivyo basi utaitaji power zaidi ili kumantain acceleration uliyokuwa umeanza nayo mwanzo apo V8 ataenda mbele ya passo coz power imembeba Nazungumzia acceleration katika speed hii ni topic nyingine ndio maana kuna gari zina acceleration ya 0'S to 100'S kwa sekunde 6 tu only six second inafika speed 100. Kinyume chake chake sasa hata passo hiyo inaweza mzidi huyo V8 katika speed hiyo hiyo 80k/h, chukulia mfano passo kafungwa technojia ya Twin Turbo anapata power na acceleration ya haraka so hizo ndio Factors kwa uchache zipo nyingi utaongezea zingine kama nimekosea. Kingine hizo Landcruser mnazozisifia kwa mbio hizo gari zimeundwa kutoa power ya kusafiri katika mazingira magumu na sio speed kabisa hazina ukubwa wa speed ndio maana kila siku mnalalamika why zinazidiwa na vi Volkuswagen na ukubwa wake huo?
 
Zipo factor zinazoweza kuathiri mwendokasi wa chombo katika Physics unaelewa nachomaanisha hata usafirishaji wa sauti au wave vipo vikwazo vinavyoweza kuathiri katika mwendokasi ,factors kama aina ya njia kama mwinuko lazima utaathiri mwendo wa chombo chako hivyo basi utaitaji power zaidi ili kumantain acceleration uliyokuwa umeanza nayo mwanzo apo V8 ataenda mbele ya passo coz power imembeba Nazungumzia acceleration katika speed hii ni topic nyingine ndio maana kuna gari zina acceleration ya 0'S to 100'S kwa sekunde 6 tu only six second inafika speed 100. Kinyume chake chake sasa hata passo hiyo inaweza mzidi huyo V8 katika speed hiyo hiyo 80k/h, chukulia mfano passo kafungwa technojia ya Twin Turbo anapata power na acceleration ya haraka so hizo ndio Factors kwa uchache zipo nyingi utaongezea zingine kama nimekosea. Kingine hizo Landcruser mnazozisifia kwa mbio hizo gari zimeundwa kutoa power ya kusafiri katika mazingira magumu na sio speed kabisa hazina ukubwa wa speed ndio maana kila siku mnalalamika why zinazidiwa na vi Volkuswagen na ukubwa wake huo?
Mzee unazungumza kuweka turbo as if ni kama kuweka maji kwenye galss wakati sio hivyo...

Gari kuiwekea turbo lazima uta upgrade na mambo mengine kuanzia ku upgrade ECU, ku modiffy clutch systems, fuel systems, ku modify compression ratio, kutumia head gaskets kubwa, ku modify camshaft , masuala ya valve n.k

Tunachozungumzia ni LC vs Passo, achana na masuala ya kutenegenezwa kwa jili ya speed or not, sote tunajua golf R inaweza kuiacha LC mbali hata GTI golf inaizidi LC.... LC ni family car... lakini LC si kuilinganisha na uchafu unaitwa passo..
 
Mkuu factor yoyote ikileta kikwazo kwa passo lazima na speed meter itashuka

Haiwezekani passo ikumbane na vikwazo na ipunguze speed halafu speed bado isome ilele

Speed ikisoma 180 maana yake hakuna kikwazo
Kumbe hujui...
Ukibadili hata size ya tyre ya gari inapelekea speedometer kusoma tofauti na mwendokasi wa gari wa uhalisia, mshale unasoma 140, halafu gari ipo 130km/hr , bado huelewi.
 
Kumbe hujui...
Ukibadili hata size ya tyre ya gari inapelekea speedometer kusoma tofauti na mwendokasi wa gari wa uhalisia, mshale unasoma 140, halafu gari ipo 130km/hr , bado huelewi.
Mkuu sasa nimekuelewa
Wewe hutaki tujadili km/h(speed)
Unataka tujadili specifically cheating kwenye SPEEDOMETER
(Just remember you cant cheat SPEED...... only speedometer)

NOW LETS DISCUSS ABOUT SPEEDOMETER
Speedometer za magari huwa zinasoma kuanzia kwenye gear box unapo engage gear na speed inakua CALCULATED kuanzia kwenye gearbox hadi kwenye matairi, ukibadili ukubwa wa chochote hapo utakua una CHEAT speedometer.

Yes ukibadili size ya tairi ni lazima speedometer itasoma UONGO sababu umeidanganya.
Iwapo utaiwekea Passo matairi makubwa zaidi ya size ya matairi yake yaliofanyiwa mahesabu ku calculate speedometer basi ujue Passo na V8 zote zikisoma 80 basi Passo inapaswa kuipita V8 kwasababu mzungu wa ukubwa wa ziada wa matairi ya passo uta cover umbali mkubwa zaidi kuliko mzunguko sahihi wa tairi la V8
So CHEATING ya calculation ya speedometer haiathiri speedometer na speed ya Passo pekee, inaweza kui favor Passo pia

Ndio maana sasa magari ya kisasa hayatumii tena mfumo huo
Yanatumia GPRS ambayo iko very accurate
Ukiwa km80/h ndio hiyo hiyo kwa vyombo vyooote duniani bila kujali dimensions ya tairi au ukinzani wa upepo wala ukubwa wa injini
 
Zipo factor zinazoweza kuathiri mwendokasi wa chombo katika Physics unaelewa nachomaanisha hata usafirishaji wa sauti au wave vipo vikwazo vinavyoweza kuathiri katika mwendokasi ,factors kama aina ya njia kama mwinuko lazima utaathiri mwendo wa chombo chako hivyo basi utaitaji power zaidi ili kumantain acceleration uliyokuwa umeanza nayo mwanzo apo V8 ataenda mbele ya passo coz power imembeba Nazungumzia acceleration katika speed hii ni topic nyingine ndio maana kuna gari zina acceleration ya 0'S to 100'S kwa sekunde 6 tu only six second inafika speed 100. Kinyume chake chake sasa hata passo hiyo inaweza mzidi huyo V8 katika speed hiyo hiyo 80k/h, chukulia mfano passo kafungwa technojia ya Twin Turbo anapata power na acceleration ya haraka so hizo ndio Factors kwa uchache zipo nyingi utaongezea zingine kama nimekosea. Kingine hizo Landcruser mnazozisifia kwa mbio hizo gari zimeundwa kutoa power ya kusafiri katika mazingira magumu na sio speed kabisa hazina ukubwa wa speed ndio maana kila siku mnalalamika why zinazidiwa na vi Volkuswagen na ukubwa wake huo?
Land Cruiser ina build power taratibu sababu haikuwa na Turbo na gear ratio nzuri ila kwa hizi V6 wameboresha na kufunga turbo nzuri na kujaza gear nyingi so gari ina build power haraka. Only drawback ni uzito wake compared na vigari vidogo kama volkswagen golf au polo.

Ila mfano gari kama runx ikifungwa V35A-FTS ile 3.5L inayotoa 410HP kweny cruiser with same ECU ya 260km/h trust me hakuna german car itasumbua. Kwa body ya runx horsepower zitafika 480HP kama sio 500HP kwenye huo uzito na pickup speed ya 0-100 huenda ikawa below 5 seconds.
 
Mzee unazungumza kuweka turbo as if ni kama kuweka maji kwenye galss wakati sio hivyo...

Gari kuiwekea turbo lazima uta upgrade na mambo mengine kuanzia ku upgrade ECU, ku modiffy clutch systems, fuel systems, ku modify compression ratio, kutumia head gaskets kubwa, ku modify camshaft , masuala ya valve n.k

Tunachozungumzia ni LC vs Passo, achana na masuala ya kutenegenezwa kwa jili ya speed or not, sote tunajua golf R inaweza kuiacha LC mbali hata GTI golf inaizidi LC.... LC ni family car... lakini LC si kuilinganisha na uchafu unaitwa passo..

Mzee unazungumza kuweka turbo as if ni kama kuweka maji kwenye galss wakati sio hivyo...

Gari kuiwekea turbo lazima uta upgrade na mambo mengine kuanzia ku upgrade ECU, ku modiffy clutch systems, fuel systems, ku modify compression ratio, kutumia head gaskets kubwa, ku modify camshaft , masuala ya valve n.k

Tunachozungumzia ni LC vs Passo, achana na masuala ya kutenegenezwa kwa jili ya speed or not, sote tunajua golf R inaweza kuiacha LC mbali hata GTI golf inaizidi LC.... LC ni family car... lakini LC si kuilinganisha na uchafu unaitwa passo..
Ni sahihi lakini muuliza swali anataka kujua gari hizi mbili zikiwa kwenye mwendo kasi wa 80km/h, mfano zinatoka Dar kwenda Tanga je kuna itayokuwa mbele ya mwenzake yaani itayowahi kufika kabla ya mwenzake? Pasipo kuzidi mwendokasi huo wala kupungua.
 
Hivi jamani Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo au kuna tofauti? Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.

Sasa tofauti ni wapi?
Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.

kumbe SUVs ni magari yenu hongera sana ndugu
 
Hio tunaita Rotation per minute (RPM) hapo inategemea na diameter za tires.
 
Kwa muktadha wako huu...... je una maoni gani kwa trecta lenye tairi dogo mbele na kubwa nyuma lakini tracta lina speed ilele?
Kwa fikra zako hizi mkuu
Unataka kusema kua hatua 100 za Hashim Thabit zitakua sawa na hatua 100 za joti Kwa sababu zote ni hatua
 
Kwa fikra zako hizi mkuu
Unataka kusema kua hatua 100 za Hashim Thabit zitakua sawa na hatua 100 za joti Kwa sababu zote ni hatua
Kuna tofauti kati ya hatua na mwendo
Mfano kumshika mtoto mkono mtembee pamoja yeye atakimbia wewe utatembea,
hatua tofauti lakini mwendo ni mmoja
 
Kuna tofauti kati ya hatua na mwendo
Mfano kumshika mtoto mkono mtembee pamoja yeye atakimbia wewe utatembea,
hatua tofauti lakini mwendo ni mmoja
Mkuu umemjibu vizuri sana ndugu yangu New City

Mimi nilidhani atatafakari kwanini trekta lina speed moja wakati matairi yanatofautia yeye kakimbili mfano mfu kabisa..... wewe na hatua zako hizo unaweza kumfukuza panya na usimpate kwa speed

Tatizo kubwa ni kwamba watu hawajui mwendo(speed) ni nini na inapimwaje?
 
Back
Top Bottom