Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo?

Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo?

Ndio nasema katika uhalisia passo itabaki nyuma..

Kwa physics za darasani ku ignore uhalisia zitakuwa sawa...

Upepo tu pekee ni fact moja kubwa kwa passo kuzidiwa..
Mkuu factor yoyote ikileta kikwazo kwa passo lazima na speed meter itashuka

Haiwezekani passo ikumbane na vikwazo na ipunguze speed halafu speed bado isome ilele

Speed ikisoma 180 maana yake hakuna kikwazo
 
Mkuu factor yoyote ikileta kikwazo kwa passo lazima na speed meter itashuka

Haiwezekani passo ikumbane na vikwazo na ipunguze speed halafu speed bado isome ilele

Speed ikisoma 180 maana yake hakuna kikwazo
Passo itakuwa outperfomed, nimeeleza vyema uwezo wa LC kukabiliana na air resistance kuliko passo..
 
Tofaut ipo ktk:- Matairi, Horse power na CC... Haya mambo 3 ndio yanaleta utofauti... Maana yake hata ikiwa zote zipo speed 180 ktk barabara ya tambalale ila bado V8 itaipita Passo kwasababu hizo kuu 3...

Anyways tuwe serious ushawahi kuona Passo inatembea speed hata 100 😂😅 au unataka kujiua..?
Mkuu hivyo ulivyo vitaja vitakua na mantiki iwapo haya magari yatakua yanashindana

Hapa magari hayashindani
Hapa tunataka kujua je speed ya 180 kwa passo ndio speed 180 kwa land cruiser
Jibu ni yes

Speed ni kipimo standard kwa kitu chochote kile iwe kina ruka kinatambaa au kunaogelea

Chombo kikiwa Speed 20km/hr haijalishi ni kani gani inatumika kupush chombo speed should be the same kwa kitu chochote kile
 
Passo itakuwa outperfomed, nimeeleza vyema uwezo wa LC kukabiliana na air resistance kuliko passo..
Kwanza ondoa mentality ya kwamba haya magari yanashindana
Kama yanashindana ipo wazi Passo atapitwa mbali

Swali linailiza je passo ikifanikiwa kufika speed 180 speed itakua sawa na Land Cruiser ikifika speed hiyo?

Jibu ndio
Speed zote dunia ni sawa mbele ya vipimo
Na ndio maana unaweza kupima kwa torch gari yoyote ile bila kujali ina ukubwa gani wa injini wala tairi

Tochi ya trafiki haipimi horse power wala mzunguko wa tairi
Inapima speed
 
Kwanza ondoa mentality ya kwamba haya magari yanashindana
Kama yanashindana ipo wazi Passo atapitwa mbali

Swali linailiza je passo ikifanikiwa kufika speed 180 speed itakua sawa na Land Cruiser ikifika speed hiyo?

Jibu ndio
Speed zote dunia ni sawa mbele ya vipimo
Na ndio maana unaweza kupima kwa torch gari yoyote ile bila kujali ina ukubwa gani wa injini wala tairi

Tochi ya trafiki haipimi horse power wala mzunguko wa tairi
Inapima speed
Mzee hujanielewa, nimesema ndio zitakuwa sawa, nikasema katika uhalisia ziwekwe Autobahn barabara imenyooka, zote 180 na zitembee kwa umbali, jinsi muda unavyokwenda v8 itaanza kuiacha passo taratibu kwa hio hio speed ya 180, yaani passo mshale ni 180 na v8 ni 180....

Passo itaanza kuzidiwa ku resist air resistance...

180 ya passo ni hio hio ya LC...

Nadhani umenielewa..
 
Mzee hujanielewa, nimesema ndio zitakuwa sawa, nikasema katika uhalisia ziwekwe Autobahn barabara imenyooka, zote 180 na zitembee kwa umbali, jinsi muda unavyokwenda v8 itaanza kuiacha passo taratibu kwa hio hio speed ya 180, yaani passo mshale ni 180 na v8 ni 180....

Passo itaanza kuzidiwa ku resist air resistance...

180 ya passo ni hio hio ya LC...

Nadhani umenielewa..
Mkuu unajua maana ya kipimo cha km/h ?

Km/h maana yake distance covered per hour

Speaking of 180km/h maana yake ni kwamba chombo chochote kile duniani ni LAZIMA ndani ya lisaa limoja kiwe kimemaliza hizi km180 net

Sasa kama ndani ya lisaa limoja passo itakua haijamaliza km180 maana yake ni kwamba ilikua haitembei speed hiyo
Itaangaliwa baada ya lisaa limoja ime cover umbali gani na umbali huo ndio itakua speed yake iliokua inatembea, na sio 180/h tena

Yaani iwapo Passo itakutana na resistance yoyote ile basi ni LAZIMA speed pia itashuka na haitakua tena 180/h

Unapaswa kujua maana ya speed kwanza kabla ya kukimbilia speed meter mkuu
 
Mkuu unajua maana ya kipimo cha km/h ?

Km/h maana yake distance covered per hour

Speaking of 180km/h maana yake ni kwamba chombo chochote kile duniani ni LAZIMA ndani ya lisaa limoja kiwe kimemaliza hizi km180 net

Sasa kama ndani ya lisaa limoja passo itakua haijamaliza km180 maana yake ni kwamba ilikua haitembei speed hiyo
Itaangaliwa baada ya lisaa limoja ime cover umbali gani na umbali huo ndio itakua speed yake iliokua inatembea, na sio 180/h tena

Yaani iwapo Passo itakutana na resistance yoyote ile basi ni LAZIMA speed pia itashuka na haitakua tena 180/h

Unapaswa kujua maana ya speed kwanza kabla ya kukimbilia speed meter mkuu
Physics nilipata O level hadi A level mzee, secondary huko nilishaongoza wilaya nzima kwenye math and physics...

Naamini hujanielewa..
 
Physics nilipata O level hadi A level mzee, secondary huko nilishaongoza wilaya nzima kwenye math and physics...

Naamini hujanielewa..
Kama umesoma hizo kitu nilitegemea uta challenge hoja zangu kwa manti lakini naona unajisifia tu

Kipimo cha speed Km/h maana yake nini?

Je km180/h maana yake nini?
 
Hapana,kwa sababu radius ya tires zao hazipo sawa
Trecta lina speed ngapi kwa matairi yale?
Au umewahi kuona matairi makubwa ya nyuma ya trecta yanayapita matairi madogo ya mbele?
 
Physics nilipata O level hadi A level mzee, secondary huko nilishaongoza wilaya nzima kwenye math and physics...

Naamini hujanielewa..
We jamaa ni kilaza aisee watu wote humu tumeelewa kasoro wewe tu.
Yawezekana huna akili timamu umekazania kusema factors kama upepo zitaathiri ushaambiwa zikiathiri speed haitokuwa hiyo Tena lazima itapungua we bado umekaza fuvu.

Ningekuwa teacher nngekuridisha kwenu ukaite mzazi akuchukue awe anakufundisha
 
Hivi jamani Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo au kuna tofauti? Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.

Sasa tofauti ni wapi?
Siyo sawa hata kwa toyota alphad inatofautiana alphad G ,aphad V
 
We jamaa ni kilaza aisee watu wote humu tumeelewa kasoro wewe tu.
Yawezekana huna akili timamu umekazania kusema factors kama upepo zitaathiri ushaambiwa zikiathiri speed haitokuwa hiyo Tena lazima itapungua we bado umekaza fuvu.

Ningekuwa teacher nngekuridisha kwenu ukaite mzazi akuchukue awe anakufundisha
Wewe ndiye huna akili timamamu...
Nimesema 180km/hr ya passo ni sawa na LC katika physics tuki ignore nguvu ya gari, air resistance n.k, lakini nimeeleza katika uhalisia LC V8 na passo zote zikiwa 180km/hr kwa umbali mrefu passo itaachwa taratibu kutokana na uwezo wake mdogo katika kukabiliana na air resistance...... hujaelewa nini hapo we kichwa maji...
Extrovert PureView zeiss na RRONDO naombeni mnieleweshe inawezekana siajelewa..
 
Hivi jamani Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo au kuna tofauti? Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.

Sasa tofauti ni wapi?
Kama zote zipo speed, 80km/h zinakuwa sawa tu, (kilo moja ya chuma ni sawa na kilo moja ya pamba!), tofauti IPO hapa, V8 Ina accelleration kubwa, mfano zikianza zote kuondoka pamoja, V8 itafika speed 80 ndani ya sekunde mbili, wakati huo Passo bado inajitafuta, wakati Passo inafika 80,V8 IPO mbali, na Passo haitaweza kuifikia V8, mpaka itakapo ongeza speed zaidi ya 80!
 
Mkuu factor yoyote ikileta kikwazo kwa passo lazima na speed meter itashuka

Haiwezekani passo ikumbane na vikwazo na ipunguze speed halafu speed bado isome ilele

Speed ikisoma 180 maana yake hakuna kikwazo
Uko sahihi kabisa na nimuongezee vipi kama passo hiyo ikiwa na Turbo hiyo factor ya upepo ataizungumzia maana engine ya cc900 ikiwa na turbo ni sawa na engine ya 6cylinder
 
Passo itakuwa outperfomed, nimeeleza vyema uwezo wa LC kukabiliana na air resistance kuliko passo..
Air resistance sio factor ya kuzungumzia kabisa maana body za gari zinaunda dinamic system katika body zake umbo dogo sio kikwazo ndo maana risasi ni ndogo ila inakata upepo vibaya sana so huna hoja kabisa ww unachofikilia ni ukubww tu gari ila sio Physics rudini msome physics.
 
Air resistance sio factor ya kuzungumzia kabisa maana body za gari zinaunda dinamic system katika body zake umbo dogo sio kikwazo ndo maana risasi ni ndogo ila inakata upepo vibaya sana so huna hoja kabisa ww unachofikilia ni ukubww tu gari ila sio Physics rudini msome physics.
Physics naielewa kuliko wewe
 
Back
Top Bottom