Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Kwa mbaazi itakuwa kama ATC,Boing 019.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😆🤣Msukuma aliyezaliwa mwaka 1990 na Mchaga aliyezaliwa mwaka 1990 nani kati yao atakuwa na umri wa miaka mingi?
Dah!! Sikutegemea jibu kama hili kutoka kwakoTofauti kabisa kutokana na ukubwa wa tyre rotation
Sema tu v8 ina power kubwa zaidi ya passo.v8 ina speed, handling nzuri, superior suspensions systems,advance techs...
V8 zimetengenezwa kuwa salama katika uendeshaji wa speed kubwa, upigaji wa kona katika speed kubwa, handling nakadhalika, V8 ni gari zimetengenezwa kwa teknolojia ya juu katika suspensions systems , ni gari zenye teknolojia ya juu katika handling , stability kuliko passo.
Passo haina nafasi kwa v8
Usiangalie 180, angalia handling, comfortability', performance..... v8 ipo mbali.
Sio hp tu, gari ya kuipambanisha na LC labda ford raptor itaiacha LC kwenye handling, speed, accelaration, HP na n.k...... hata satety features raptor ipo mbali, ground clearance , lakini reliability LC inaiacha raptor mbali...Sema tu v8 ina power kubwa zaidi ya passo.
Ndio maana engine zina spec inaitwa Horse power
Rudi kwenye madaSio hp tu, gari ya kuipambanisha na LC labda ford raptor itaiacha LC kwenye handling, speed, accelaration, HP na n.k...... hata satety features raptor ipo mbali, ground clearance , lakini reliability LC inaiacha raptor mbali...
Passo sio class moja na V8, V8 ni gari nyingine, hata ukaribu haupo kuilinganisha na passo, hata ist ina out perform passo katika kila eneo...
Ukisoma comment ndo utajua sehemu ulipo!! Home of great thinkers. Naomba Mungu wakenya wasione uzi huu!!kitakachotokea ni sawa na unatembea na mtoto mdogo katika speed sawa, ni kwamba wewe utakua unatembea kawaida, ila mtoto ataonekana anakimbia ili kumaintain speed yako.wewe v8 na mtoto ndo passo, cjui nimeeleweka hapa.
Passo sio gari ni boda yenye tyre 4..Rudi kwenye mada
Hawa great thinkers sidhani kama wamesoma physics form two.Kudadeki alieleta Elimu kwa lugha ya Mkoloni ndie anaefanya watu wajichanganye hapa, huwezi kupima kasi bila Muda na huwezi kupima umbali bila kasi, Mtu anakuuliza anaetumia saa moja kutembea umbali wa km 80 akiwa na Passo au V8 nani anawahi kufika kimsingi hakuna Swali hapo ni chemsha bongo tu, Uwe mlefu au mfupi wote mkitumia Dk 10 kutoka ubungo kwenda kimala wote mtakuwa mmetembea umbali sawa tofauti mfupi atapiga hatua nyingi na mlefu atapiga hatua chache ila wote watakuwa wametembea umbali ule ule na kwa muda ule ule
Mada ni speed!!Passo sio gari ni boda yenye tyre 4..
Kwenye real life physics passo haiwezi outperform V8... elewa...Hawa great thinkers sidhani kama wamesoma physics form two.
V8 ni nini kwanza tuanzie hapa?Kwenye real life physics passo haiwezi outperform V8... elewa...
Ni gari aina ya LC toyota, yenye pistons 8 , wanaita LC 200, wengi wanaziita V8 kwa jina maarufu, japo V8 ni aina ya engine, mpya za sasa zina V6.V8 ni nini kwanza tuanzie hapa?
Speed ni nini?Ni gari aina ya LC toyota, yenye pistons 8 , wanaita LC 200, wengi wanaziita V8 kwa jina maarufu, japo V8 ni aina ya engine, mpaya za sasa zina V6.
umbali/muda = mwendokasiSpeed ni nini?
Kasi ni kipimo cha mwendo wa umbali kwa muda. Kasi ya 80 km/h inamaanisha gari linapita umbali wa kilomita 80 kwa kila saa moja.Hivi jamani Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo au kuna tofauti? Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.
Sasa tofauti ni wapi?