Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
ongezea nyama hapa mkuurotation zinaweza kuwa sawa lakini hata ukubwa wa tairi nao unaongea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ongezea nyama hapa mkuurotation zinaweza kuwa sawa lakini hata ukubwa wa tairi nao unaongea.
Ukubwa wa tairi kwenye kucover distance. Ukubwa wa V8 ukiwa unacover 1.8m basi wa Passo unacover 1.2m hivyo zikiwa kwenye mwendo sawa V8 kutokana na ukubwa wa tairi zake itakuwa mbele licha ya rotation kuwa sawaongezea nyama hapa mkuu
Mjongeo na kasi ni kitu kimoja. Vyote vinamaana mwendoMjongeo utakua sawa ila zitakua na kasi tofauti
Askari wa barabarani na tochi zao wanapimaje?? Sababu kwenye vibao vya 50 wakipima v8 wataona km inaenda 60 wakat kiuhalisia yupo kwenye 50. Au inakaaje hiiHaiwez kuwa sawa kulingana na power ya hizo engine ya V8 ina nguvu kubwa msukumo mkubwa kuliko Passo pamoja na ukubwa wa tairi hiyo n fact nyingine tena ndio maana mwenye bus kubwa akitembea 120 wewe mwenye gari ndogo kumshika mpaka ukanyage 150 kuendelea kutokana na gari yako.
Iliwahi kututokea tukiwa mbeya jamaa wa V8 tuliyekuwa tunafahamiana nae alitupita maeneo ya vwawa pale tukienda tunduma tukamuuliza anatembea na speed ngap akasema yupo kwenye 80 na sisi tulikua na 90 labda n sababu ya miinuko pia sijajua kwa tambarale ila nadhan haziwezi kuwa sawa
Kwa sababu ya size ya tairi askari wakipima speed wataona km v8 ameover speed.naona watu wanachanganya speed na acceleration.
mtoa mada ameassume passo imefikia speed ya 80 tayari na V8 imefikia speed hiyo hiyo.
Basically zitakuwa sawa tofauti ni kwamba engine ya passo itakuwa inazunguka zaidi. Ila speed zitakuwa SAWA na ndio maana tochi za askari wa barabarani ni ile ile kwa passo na kwa V8.
kuhusu Ukubwa wa tairi speed zitakuwa sawa ila tairi za passo zitaxunguka zaidi kwasababu ya udogo wake.
sijajua mnachotaka kujua passo inatembea hadi speed 120 na iko control vizuri tu passo aliwahi nipita nikiwa na Rav4 niko speed 80 sasa cjui mnaanzaje kuidhau engine engine ya passo.Tofaut ipo ktk:- Matairi, Horse power na CC... Haya mambo 3 ndio yanaleta utofauti... Maana yake hata ikiwa zote zipo speed 180 ktk barabara ya tambalale ila bado V8 itaipita Passo kwasababu hizo kuu 3...
Anyways tuwe serious ushawahi kuona Passo inatembea speed hata 100 😂😅 au unataka kujiua..?
Kwa hiyousiijitutumue kununua gari kubwa, ukidhani una advantage kubwa sana dhidi ya gari ndogo. Nunua gari kubwa kwa sababu maalumu za kitaalamu sio kufata mkumbo.naona watu wanachanganya speed na acceleration.
mtoa mada ameassume passo imefikia speed ya 80 tayari na V8 imefikia speed hiyo hiyo.
Basically zitakuwa sawa tofauti ni kwamba engine ya passo itakuwa inazunguka zaidi. Ila speed zitakuwa SAWA na ndio maana tochi za askari wa barabarani ni ile ile kwa passo na kwa V8.
kuhusu Ukubwa wa tairi speed zitakuwa sawa ila tairi za passo zitaxunguka zaidi kwasababu ya udogo wake.
Unataka kutuaminisha kwamba mwenye V8 akiangalia dashboard yake ambayo inasoma 50km/h akipigwa tochi katika mwendo huo, tochi itaonyesha mwendo tofauti na huo?Kwa sababu ya size ya tairi askari wakipima speed wataona km v8 ameover speed.
Kwa nadharia hii kama trekta likiwa na spidi ya 40km/h na Land cruiser V8 ikiwa kwenye spidi ya 40km/h for a given distance.Haziwezi kuwa sawa mkuu
Hatua Yako na Usain bolt haziwezi kufanana ,hivyo mkiwa kwenye speed sawa lazima atakupita sababu ya urefu wa hatua zake
Complete frequency of V8 will cover more distance than Passo's tire
Speaking from thought not experience
Hujaelewa swali au makusudi?Ukienda kimahesaba za pysics na law zake zote ziko speed moja ila practically haziwezi kua sawa kwa sababu hii
1. Kwenye mlima passo ataanza kusieze kwa sababu engine ni ndogo na hivo itaachwa
Sio kweli hiyo 140 uliyoiona ipo katika miles na sio km jaribu ku convert itakupa 220+km/h.Passo ikiwa kwenye speed 80 haiwezi kulingana na speed 80 ya V8..
Kwa kifupi V8 ikiwa kwenye speed hiyo basi mwenye Passo itabidi aende Hadi speed 120,
Mfano mzuri ni magari kama discovery 4 kwenye odometer zinasoma speed 140 ndiyo mwisho ila jaribu kuivuata na gari yako yenye speed 180 utaona aibu itakayokupata
Msukuma 😂😂😂Msukuma aliyezaliwa mwaka 1990 na Mchaga aliyezaliwa mwaka 1990 nani kati yao atakuwa na umri wa miaka mingi?
Nilikuwa ninajua una akili kumbe ni zeroTofauti kabisa kutokana na ukubwa wa tyre rotation
Duuu!Ukubwa wa tairi kwenye kucover distance. Ukubwa wa V8 ukiwa unacover 1.8m basi wa Passo unacover 1.2m hivyo zikiwa kwenye mwendo sawa V8 kutokana na ukubwa wa tairi zake itakuwa mbele licha ya rotation kuwa sawa
..... hapana; inapondeka pondeka na kuyeyuka kabisa.Passo speed ya 180kmh kinapaa kinaenda na upepo kabisa