Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo?

Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo?

Nafikir swali la kisayansi ni Je Nikiondoka na Paso kwenda Umbali wa KM 80 kwa spidi ya km 80 kwa saa je nitafika ndani ya lisaa limoja.Na Je iwapo gari itakuwa ni V8 na mwendo na umbali ni huo huo nitafika kwa lisaa limoja?Jibu ni Ndio.Hta hivyo gari kubw yenye injini kubwa inakuwa experience tofauti,air resistance tofauti na kwa sababu ya ukubwa wa tairi pia experience itakuwa tofauti.Kwa Ufupi ni kwamba Unapoendesha Passo kwa spidi sawa na V8,Hii injini ndogo inaweza kuwa inaumiza zaidi ni hivyo kufanya driving and stopping experience kuwa tofauti.Hivyo Basi Paso pamoja na kwamba inaweza kwenda hadi 180kph lkn V8 inakuwa nzuri na salama kwa kasi hiyo kuliko Passo so hawawezi kushindana
 
Ukienda kimahesaba za pysics na law zake zote ziko speed moja ila practically haziwezi kua sawa kwa sababu hii
1. Kwenye mlima passo ataanza kusieze kwa sababu engine ni ndogo na hivo itaachwa
assume sio mlimani ni barabara flat
 
Passo speed ya 180kmh kinapaa kinaenda na upepo kabisa
Passo kwa speed 180kmh, kinamuacha kwenye mtalo au ng'ambo ya barabara asome kuhusu acceleration facts and breaking , kwakifupi kwa mkimbio huo asitumie breki ghafula bila kupunguza mikimbio wa, umbile la gari,(,body speed) na mkimbio wa
injini ya gari.

Gari inapotembea kuna mikimbio 2, wa umbile la gari na mkimbio wa injini, unapo funga breki unapunguza mkimbio wa umbile la gari, (car body speed), unapo change down gear unapunguza speed ya engine

Ukisimamisha gari bila change down ya speed ya engine, abiria hupiga kelele, yaanI unatakiwa uanze kwanza kupunguze mkimbio wa injini kama gia ilikuwa namba tano unaileta 4,3,2 huku una minya breki kwa taratibu,(mkimbio wa umbile la gari)
 
Passo kwa speed 180kmh, kinamuacha kwenye mtalo au ng'ambo ya barabara asome kuhusu acceleration facts and breaking , kwakifupi kwa mkimbio huo asitumie breki ghafula bila kupunguza mikimbio wa, umbile la gari,(,body speed) na mkimbio wa
injini ya gari.

Gari inapotembea kuna mikimbio 2, wa umbile la gari na mkimbio wa injini, unapo funga breki unapunguza mkimbio wa umbile la gari, (car body speed), unapo change down gear unapunguza speed ya engine

Ukisimamisha gari bila change down ya speed ya engine, abiria hupiga kelele, yaanI unatakiwa uanze kwanza kupunguze mkimbio wa injini kama gia ilikuwa namba tano unaileta 4,3,2 huku una minya breki kwa taratibu,(mkimbio wa umbile la gari)
Uko sahihi mkuu ila Umewah kutembelea hiyo speed kwa gari ndogo km passo?
 
Uko sahihi mkuu ila Umewah kutembelea hiyo speed kwa gari ndogo km passo?
Kwa passo Sijawahi ila nilikuwa najadili kinadhalia zaidi lakini haya magari ambayo ni mepesi na hayajatanuka inatakiwa uiache roho yako nyumbani
 
Kwa passo Sijawahi ila nilikuwa najadili kinadhalia zaidi lakini haya magari ambayo ni mepesi na hayajatanuka inatakiwa uiache roho yako nyumbani
Mimi gari hizi ndogo speed kubwa ni 90/100km/hr zaidi ya apo napata waswasi
 
Mimi gari hizi ndogo speed kubwa ni 90/100km/hr zaidi ya apo napata waswasi
Haa gari ambazo siyo mopya huwa .zinachomoko vishikilia taili naogopa sana ilishawahi nitokea bahati nzuri speed ilikuwa ndogo nilipo kata kona tu nikashanga steering imekuwa ngumu kushuka naona kitu kimechomoka duu jina lake nimesahau
 
naona watu wanachanganya speed na acceleration.

mtoa mada ameassume passo imefikia speed ya 80 tayari na V8 imefikia speed hiyo hiyo.

Basically zitakuwa sawa tofauti ni kwamba engine ya passo itakuwa inazunguka zaidi. Ila speed zitakuwa SAWA na ndio maana tochi za askari wa barabarani ni ile ile kwa passo na kwa V8.

kuhusu Ukubwa wa tairi speed zitakuwa sawa ila tairi za passo zitaxunguka zaidi kwasababu ya udogo wake.
Haziwezi kuwa sawa mkuu
Hatua Yako na Usain bolt haziwezi kufanana ,hivyo mkiwa kwenye speed sawa lazima atakupita sababu ya urefu wa hatua zake
Complete frequency of V8 will cover more distance than Passo's tire
Speaking from thought not experience
 
Hakuna tofauti kwenye speed kwa kuzingatia kuwa speed hupatikana baada ya kugawa time taken kwenye distance travelled. Kitakacholeta utofauti ni kwamba V8 itatumia muda kidogo sana kufikia hiyo speed ya 80km/h kwasababu ya engine capacity kuwa kubwa wakati passo itatumia muda mrefu kufikia speed hiyo. lakini pia stability zitakua tofauti.Passo itaonekana kuweweseka wakati V8 itakua imetulia.
 
Haziwezi kuwa sawa mkuu
Hatua Yako na Usain bolt haziwezi kufanana ,hivyo mkiwa kwenye speed sawa lazima atakupita sababu ya urefu wa hatua zake
Complete frequency of V8 will cover more distance than Passo's tire
Speaking from thought not experience
Different Diameter of tyres, the more the diameter the more distance will be coverage per km/h, and engine capacity
 
Haa gari ambazo siyo mopya huwa .zinachomoko vishikilia taili naogopa sana ilishawahi nitokea bahati nzuri speed ilikuwa ndogo nilipo kata kona tu nikashanga steering imekuwa ngumu kushuka naona kitu kimechomoka duu jina lake nimesahau
Kama ndo una safari ndefu, miguu na breki ndo vitu vya kucheki. Uzuri inaonekana ww hukua speed sana, ungekuta unasimulia mengine
 
Passo ikiwa kwenye speed 80 haiwezi kulingana na speed 80 ya V8..
Kwa kifupi V8 ikiwa kwenye speed hiyo basi mwenye Passo itabidi aende Hadi speed 120,
Mfano mzuri ni magari kama discovery 4 kwenye odometer zinasoma speed 140 ndiyo mwisho ila jaribu kuivuata na gari yako yenye speed 180 utaona aibu itakayokupata
140miles per hour sio sawa na 140kilometers per hour rudi shule upate kujitambua
 
Tofaut ipo ktk:- Matairi, Horse power na CC... Haya mambo 3 ndio yanaleta utofauti... Maana yake hata ikiwa zote zipo speed 180 ktk barabara ya tambalale ila bado V8 itaipita Passo kwasababu hizo kuu 3...

Anyways tuwe serious ushawahi kuona Passo inatembea speed hata 100 😂😅 au unataka kujiua..?
 
Back
Top Bottom