Wengi hawajaelewa unachotaka kujua ila kiufupi swali lako majibu yake ni ya Physics ila nitakujibu kiswalihi kufupisha, jibu ni kwamba inaweza kuwa sawa au mmoja wao anaweza kuwa mbele ya mwenzake, usishangae passo akiwa mbele ya V8 kwa speed hiyo hiyo, wengi naona wamefikilia passo hawezi kumzidi V8 kitu ambacho sio kweli,passo anaweza kumzidi V8 kwa speed hiyo hiyo,Mfano kama passo itakuwa imefungwa turbo itapata support ya turbo na kuongeza mzunguko wa engine hivyo itakuwa na acceleration kubwa kuliko V8, ndio maana wengi wanajiuliza why volkuswagen na audi gari ndogo kabisa zenge cc1300 lakini zinamzidi V8 yenye cc4000 mbali katika mwendo? Jibu ni moja tu teknolojia iliyotumika katika gari hizo inaongeza nguvu ya mzunguko katika engine na kufanya kuwa na speed kubwa na haraka zaidi ya engine zisizokuwa na hiyo teknolojia.Teknolojia hizo ni kama Turbo, Grand Tursimo(GT),Gti Gte,Twin turbo,Super charger n.k, jibu ni kwamba Zinaweka kuwa sawa au zisiwe sawa kutoka na factor mbalimbali.