Kumbe.Sasa Wachina au wahindi wakiomba passport huwa inachukua miaka mingapi kuipata?Maombi ya Passport Tanzania ni mengi kuliko Rwanda. Ni Rahisi kujua huyu ni raia wa Rwanda kuliko Raia wa Tanzania
Mimi nimepata ya kwangu bila ya msaada wa mtu yeyote kwa wiki 1 acha uoga andaa doc zako uende usisikilize maneno ya watu.sasa passport inapatikana kwa week moja tu mtu anaweza akajifanya kakusaidia kumbe imetoka kihalali kabisaMwenye uwezo wakunisaidia kupata passport ndani ya wiki naomba aje pm.
Ndio mkuu mi walinizuia nisiingie na begi sio nguo tu.begi bora uache nyumbani manake kuna jmaa anajifanya anakuwekea kwa buku.Nje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?
Rwanda ni mkoa na tz ni nchi tofautisha kwanza population ndio uhoji.Wakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Whaaaat? Hiyo kali ya mwaka.Ndio mkuu mi walinizuia nisiingie na begi sio nguo tu.begi bora uache nyumbani manake kuna jmaa anajifanya anakuwekea kwa buku.
Wanarudisha aisee, mwaka jana nilienda pale kumsindikiza mtu wakanikazia eti nivae kama mtumishi wa Umma, ilitokea mvutano mpaka mzee mmoja (nadhani ni mkubwa wao) akaingilia ndio nikapita..... mwaka ujao natarajia kwenda kurenew sasa nataka nijipange kabisaaaa.Kipindi nafuatilia pass yangu sikuwahi ona hizo mambo, labda wawe wameanza utawala huu.
Umeongea point sana mkuu.Bongo nchi ya kishamba sana kwenye ukanda wetu ,wanadhani passport ndio mwisho kumbe kuna Visa/Resident permit ya huko uendako.
Kama una ticket tayar na mwaliko wa huko uendako ukienda makao makuu unaipata ndani ya wiki.Mwenye uwezo wakunisaidia kupata passport ndani ya wiki naomba aje pm.
Bado wanaendelea Kuna siku niliona wamemzuia dada mmoja alivaa nguo ya kubana wakamrudisha,na siku nyingine Kuna brother mmoja alivaa suruali nyepesi Kama za kulalia naye walimrudisha.Nje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?
Kwa nini ni rahisi kujua raia wa Rwanda kuliko wa Tanzania?Maombi ya Passport Tanzania ni mengi kuliko Rwanda. Ni Rahisi kujua huyu ni raia wa Rwanda kuliko Raia wa Tanzania
Kumbe.Sasa Wachina au wahindi wakiomba passport huwa inachukua miaka mingapi kuipata?
swali zuri sana maana naona kuna watu wanatetea ujinga.Kumbe.Sasa Wachina au wahindi wakiomba passport huwa inachukua miaka mingapi kuipata?
Rwanda ni mkoa na tz ni nchi tofautisha kwanza population ndio uhoji.
Kwasababu mnasema Rwanda ina watu wachache kuliko Tanzania ndio sababu wanapata passport mapema kuliko Tanzania.Mada imewataja hao wahindi?
Vipi ulienda na miniskirt?Nje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?