Passport kutolewa ndani ya siku 3

Passport kutolewa ndani ya siku 3

Passport na Leseni ya udereva inatakiwa vijana wapate ili kuangalia fursa popote pale mkifungiana wote ndani haisaidii kitu...kupata mambo mengi mara barua ya mwaliko wakati kuna Nchi wanatoa Visa ukifika hiyo barua ya nini hapo wapeni raia mikwaju pato la Taifa likue kupitia wao pia...
 
Maombi ya Passport Tanzania ni mengi kuliko Rwanda. Ni Rahisi kujua huyu ni raia wa Rwanda kuliko Raia wa Tanzania
Umesahau kua na sisi tulitakiwa kua na uwezo mkubwa wa kutoa passport kuliko Rwanda.
 
Bado wanaendelea Kuna siku niliona wamemzuia dada mmoja alivaa nguo ya kubana wakamrudisha,na siku nyingine Kuna brother mmoja alivaa suruali nyepesi Kama za kulalia naye walimrudisha.
Daaah Tanzania!!!
We have a long way to go.
 
Passport na Leseni ya udereva inatakiwa vijana wapate ili kuangalia fursa popote pale mkifungiana wote ndani haisaidii kitu...kupata mambo mengi mara barua ya mwaliko wakati kuna Nchi wanatoa Visa ukifika hiyo barua ya nini hapo wapeni raia mikwaju pato la Taifa likue kupitia wao pia...
Safi sana mkuu uko sahihi bongo mambo mengi ya muhimu wanaweka ugumu sana kufanikisha.
 
Mambo mengine ya ajabu, sasa uvae kama mtumishi wa umma ili iweje? Mi nadhani hizi mambo za dress code isiwe kipaumbele kiivo, sasa usije enda umevaa chupi (jokes)
Wanarudisha aisee, mwaka jana nilienda pale kumsindikiza mtu wakanikazia eti nivae kama mtumishi wa Umma, ilitokea mvutano mpaka mzee mmoja (nadhani ni mkubwa wao) akaingilia ndio nikapita..... mwaka ujao natarajia kwenda kurenew sasa nataka nijipange kabisaaaa.
 
Mimi nimepata ya kwangu bila ya msaada wa mtu yeyote kwa wiki 1 acha uoga andaa doc zako uende usisikilize maneno ya watu.sasa passport inapatikana kwa week moja tu mtu anaweza akajifanya kakusaidia kumbe imetoka kihalali kabisa
Yangu ilichukua siku 20....hakuna haja ya kuwa na mtu wa kukusaidia, chakufanya andka details zszo na maswali mengi.....kaz andka mkulima, nchi unayoenda sema kenya, lengo ni matembezi tu...... Viambatanisho hapo ni chet chako cha kuzaliwa, cha mzaz ama affidavit, barua ya mtendaji na copy ya kitambulisho cha taifa kwsha mchezo...ukiandka cjui ni mtumishi mahal..barua ya mwajr hapo...mambo ya shule...vyeti mzee mara admission letter..utasumbuka bure.
 
Yangu ilichukua siku 20....hakuna haja ya kuwa na mtu wa kukusaidia, chakufanya andka details zszo na maswali mengi.....kaz andka mkulima, nchi unayoenda sema kenya, lengo ni matembezi tu...... Viambatanisho hapo ni chet chako cha kuzaliwa, cha mzaz ama affidavit, barua ya mtendaji na copy ya kitambulisho cha taifa kwsha mchezo...ukiandka cjui ni mtumishi mahal..barua ya mwajr hapo...mambo ya shule...vyeti mzee mara admission letter..utasumbuka bure.
Na ukisema unaenda Kenya, UG, Congo huko unapewa ile temporary wakati watu wanataka zile za kisasa kabisa!
 
Wakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Hata kwetu kama NIDA na Uhamiaji wangekuwa taasisi moja nadhani mtu mwenye NIDA taarifa zake zinajitosheleza kupata passport. Shida ni pale vitu ulivyoombwa wakati wa NIDA, Uhamiaji nao wanavitaka tena na nyongeza juu kama chetu mama cha kuzaliwa
 
Back
Top Bottom