Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo dukani kwetu tutakuuzia suti Kali sana kwa Bei nafuuWanarudisha aisee, mwaka jana nilienda pale kumsindikiza mtu wakanikazia eti nivae kama mtumishi wa Umma, ilitokea mvutano mpaka mzee mmoja (nadhani ni mkubwa wao) akaingilia ndio nikapita..... mwaka ujao natarajia kwenda kurenew sasa nataka nijipange kabisaaaa.
Waendelee hivo hivo, pale ni Ofisini sio danguro. Hata Lugalo GMH ukienda na mavazi ya kwendea kujiuza utaishia getini.Bado wanaendelea Kuna siku niliona wamemzuia dada mmoja alivaa nguo ya kubana wakamrudisha,na siku nyingine Kuna brother mmoja alivaa suruali nyepesi Kama za kulalia naye walimrudisha.
Sasa tuluozaliwa enzi za sokoine cheti Cha kuzaliwa tunatoa wapi?Yangu ilichukua siku 20....hakuna haja ya kuwa na mtu wa kukusaidia, chakufanya andka details zszo na maswali mengi.....kaz andka mkulima, nchi unayoenda sema kenya, lengo ni matembezi tu...... Viambatanisho hapo ni chet chako cha kuzaliwa, cha mzaz ama affidavit, barua ya mtendaji na copy ya kitambulisho cha taifa kwsha mchezo...ukiandka cjui ni mtumishi mahal..barua ya mwajr hapo...mambo ya shule...vyeti mzee mara admission letter..utasumbuka bure.
Lol, shukrani lakini siwezi kuvaa suti sababu uhamiaji wanataka, nitavaa ninavyovaa siku zoteNjoo dukani kwetu tutakuuzia suti Kali sana kwa Bei nafuu
Baadhi ya wanawake na wanaume walikuwa wanatumia mavazi kushawishi wahudumiwe haraka! FATAL ATTRACTION.Nje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?
Miaka 10.Passport inakaa miaka mingap
Safi sanaaaa.Yapi....mi nimetinga na tshet na jeans na passport nimepiga picha na tshet.
Yeah ila...
Na kwa zenji haichukui muda kama huku... Kule ndani ya wiki una pata... Yani zile siku tano za kazi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo mengine ya ajabu, sasa uvae kama mtumishi wa umma ili iweje? Mi nadhani hizi mambo za dress code isiwe kipaumbele kiivo, sasa usije enda umevaa chupi (jokes)
Zenji hawana shida kama huku...Kuna jamaa zenji alifanya usajili asubuhi jioni akapigiwa simu akaichukue hakuwahi akaifuata asubuhi mapema.
Kuna ndugu yangu alikuwa anataka kwenda kenya akaambiwa akate ile temporary wamemkatalia kubwa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ndio mkuu mi walinizuia nisiingie na begi sio nguo tu.begi bora uache nyumbani manake kuna jmaa anajifanya anakuwekea kwa buku.
Hiyo nayo kali, yaan mavazi yanamshawishi mtu karne hii.... lolBaadhi ya wanawake na wanaume walikuwa wanatumia mavazi kushawishi wahudumiwe haraka! FATAL ATTRACTION.
Utawaambia wakupe nyingine tu.Vipi wakongomani wakiijaza na ile mihuri yao mikubwa
Kwa vile hamkosi mitandio, vitenge au khanga kwenye mikoba yenu bila shaka hukuaibika.Hapana, nilivaa Tshrt na jeans wakataka nivae skirt au gauni hapo ndio mtiti ulipoanza.
Kuna jamaa zenji alifanya usajili asubuhi jioni akapigiwa simu akaichukue hakuwahi akaifuata asubuhi mapema.
Ni kweli, wa huku mpakani huwa tunaingiaga tu na kutoka Ila yeye alikuwa anatokea na dar na alikuwa anafika mpk Uganda so aliamua tu ikiwezekana awe nayo ndio ikawa hivyoMi Kenya huwa naenda tu ata bila ya kuwa na hiyo passport, yaani kama natoka Mwanza naingia Dar.