Pennstatepro
Senior Member
- Nov 22, 2019
- 198
- 286
Vyeti mkuu nenda RITA unapata kwa cku moja tu do lazma.......Sasa tuluozaliwa enzi za sokoine cheti Cha kuzaliwa tunatoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyeti mkuu nenda RITA unapata kwa cku moja tu do lazma.......Sasa tuluozaliwa enzi za sokoine cheti Cha kuzaliwa tunatoa wapi?
Ni niliipata ndani ya 24hrsWakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Hii ni sahihi kabisa, hakuna nchi unaruhusiwa kusafiri bila kuwa na sababu za maana.Mfumo umetengenezwa kuzuia wananchi wasipate pasipoti ndio maana wanataka barua ya kazi, mwaliko, shule nk ili upewe pasipoti.
Inashangaza sana kwa kweli
Kama una tiketi ya kwamba unasafiri kwa haraka kwa hakika utaipata ndani ya simu 1 ama 2. Huduma za migration zimeboreshwa sana. Tusipumbazwe na maneno ya kuambiwaMwenye uwezo wakunisaidia kupata passport ndani ya wiki naomba aje pm.
Ofisi zote za ummaNje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?
Siku CCM iktoka madarakani ,huu upumbavu wa NIDA na Pale Uhamiaji utakwisha.
Urasimu mwingi sana.
Hii mbona sio International mkubwa ni ya kwendea hapo Kenya& Uganda basi
Vyeti mkuu nenda RITA unapata kwa cku moja tu do lazma.......
Hii ni sahihi kabisa, hakuna nchi unaruhusiwa kusafiri bila kuwa na sababu za maana.
Hata zile meli zinazokamatwagwa na mizigo haramu nchi za watu, huwa zimesajiliwa Zenji.Zenji hawana shida kama huku...
Hii ni sahihi kabisa, hakuna nchi unaruhusiwa kusafiri bila kuwa na sababu za maana.
Ndio inawezekanaNilikuwa sitanii mkuu.. Je unaweza pata passport ata kama hauna safari ya kwenda nje ya nchi yani kuwa nayo tu kwaajili ya emergenc?
Kanchi kadogo kama Kibiti huwezi fananisha na TzWakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Mkuu tuwe wakweli tu, waarabu na wahindi asili yao sio Tanzania. Hawa ni kwakua sisi ni wakarimu tu ndio maana nao wanajisikia kuwa wana haki ambayo kimsingi hawana kabisa. Kwa mfano mimi nikahamia India siwezi pewa ruhusa kumiliki ardhi au kuwa na pasi ya kusafiria ya India, ila kwa hapa wanapata kila kitu. Na bado wanatudharau wazawa, labda nahisi ni kwa ukarimu wetu uliopitiliza.warabu na wahindi waliozaliwa hapa wanatabu sana uhamiaji zinaletwa mafaili za mababu zao kuangalia waliingiaje tanzania kabla ya uhuru sasa anaeomba babu au mimi mbona hamuangalii wangoni waliingiaje kutoka sauth africa ndio asili yao au wasukuma waliingiaje kutoka ethiopia
Naunga mkono hoja. Kazi yako ni kufacilitate tu. Yes, kufacilitate.Mbona hata hapa kwetu inawezekana kwa siku moja tu [emoji16]
Wakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Mwenye uwezo wakunisaidia kupata passport ndani ya wiki naomba aje pm.
Nje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?
Kama una ticket tayar na mwaliko wa huko uendako ukienda makao makuu unaipata ndani ya wiki.
Ila Kama hauna safari ya haraka kwa kawaida unaipata ndani ya wiki 3.