Pastor Myamba afunga ndoa

Pastor Myamba afunga ndoa

Nukta5

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2014
Posts
1,182
Reaction score
1,288
pmyamba.jpg

Pastor Myamba na Mkewe Praxceda wakionyesha pete zao za ndoa

Sio muvi wala maigizo bali ukweli ni kwamba Mwigizaji machachari wa Bongo Movie anayezitendea haki scene za uchungaji, Pastor Myamba ameaga rasmi maisha ya ubachela baada ya kufunga pingu za maisha na mchumba wake wa kipindi kirefu aitwae Praxceda hapo jana.Akionekana kuwa mwenye furaha isyo na kifani, Myamba aliweza kushea baadhi ya picha za ndoa yake kwenye ukurasa wake wa Facebook ikiwemo zawadi baab kubwa ya kitita cha pesa zilizokuwa zimewekwa kwenye kitololi walizozawadiwa na wanakamati.

myamba.jpg

Mr na Mrs Myamba wakitoka nje ya kanisa baada ya tendo la kufunga ndoa kumalizika

10366016_663090263769538_6333748377141053981_n.jpg

MR & MRS Myamba wakiwa ufukweni katika picha ya pamoja na wapambe wao

10429810_663075520437679_2989363226723639304_n.jpg

Nikuite nani Pesa???? Mr & Mrs Myamba wakionyesha minoti waliozawadiwa na kamati ya harusi

10557394_663068567105041_8675681308966855784_n.jpg
pastor-myamba.jpg

Pastor Myamba na Praxceda siku ya send off



Chanzo: LaryBway Blogu
 

Attachments

  • Capture1.jpg
    Capture1.jpg
    27.8 KB · Views: 1,057
Duuu hizo ni hela kweli au photoshop
 
Nahisi hii ni ile staili sawa na ya kitchen party ya kuazima vyombo kwa ajili ya show off lolz..

Otherwise tunarekodi movie.
 
Hajaoa msanii mwenzake!!? Km ameenda kuchukua kijijini pole yake,mzigo lazima upigwe. Bora angemuoa uwoya au shamsa akajua moja kuwa ana kahaba ndani! Haya pastor Miyamba karibu kwenye maisha yaliyojaa stress!
 
Duuu hizo ni hela kweli au photoshop

Ni photoshop,milion 250 usiku kwenye ukumbi wa sherehe?.kaka jambazi na team yake lini amestaafu kazi?


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom